Eng Hersi Said kumkaribisha Dullah Makabila Yanga, ni mbinu ya kumfukuza Manara Yanga

Eng Hersi Said kumkaribisha Dullah Makabila Yanga, ni mbinu ya kumfukuza Manara Yanga

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day

Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
 
Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa
Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day

Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia
Hersi akili kubwa
Manara amewakosea nn jaman
 
Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day

Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Akili za vijana wa TZ.
What is this?
Lema yupo sahihi hizi simba na yanga zife tu.
 
Kwamba huyu Mwanachama Wa Kawaida Wa Yanga Bwana Manara Mpaka Leo hii bado hajapangiwa Kazi nyingine inashangaza Sana..!

Msimfanyie hivyo Mwenzenu nyie Utopolo.!
 
Back
Top Bottom