Eng Hersi Said kumkaribisha Dullah Makabila Yanga, ni mbinu ya kumfukuza Manara Yanga

Eng Hersi Said kumkaribisha Dullah Makabila Yanga, ni mbinu ya kumfukuza Manara Yanga

1000011400.jpg
 
Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day

Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Wala mwenyewe hajali,yeye na Yanga hadi mauti
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-193139.jpg
    Screenshot_20240817-193139.jpg
    371 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1713799997765.jpg
    FB_IMG_1713799997765.jpg
    53.3 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1718345913057.jpg
    FB_IMG_1718345913057.jpg
    35.8 KB · Views: 3
Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day

Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Kwa hiyo unataka kumchagulia marafiki? Hizi mambo eti mshikaji wangu kakosana na fulani basi na mimi nimchukie wapi na wapi. Kila mtu na maisha yake mkuu.
 
Yule balozi aliwekwa pembeni katika mazingira ya kutatanisha, sijui kwa nini maana mpaka leo sijasikia skendo inayomuhusu
Yule Balozi kipindi akiwa CS,alikua anatoa siri za pale mjengoni! Kila akipanga kitu mzee Magu,kabla hajalifanyia kazi,linakua lishafika nje hasa kwa JK na cycle yake!!
 
Ile siku alipisema tu kwamba alikuwa amefungiwa lakini akaongezewa mshahara nikajua kibarua kishaota nyasi swala la salary ni privacy matter what if kama priva Ali kamwe na Abdul azizi licha ya kufanya kazi na kujituma hawakuongezewa ina maana unamtengenezea boss uhasama.
 
Ile siku alipisema tu kwamba alikuwa amefungiwa lakini akaongezewa mshahara nikajua kibarua kishaota nyasi swala la salary ni privacy matter what if kama priva Ali kamwe na Abdul azizi licha ya kufanya kazi na kujituma hawakuongezewa ina maana unamtengenezea boss uhasama.
Alijichanganya mwenyewe
 
Back
Top Bottom