much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Si majukwaa ya siasa yapo na ya michezo yapo?Akili za vijana wa TZ.
What is this?
Lema yupo sahihi hizi simba na yanga zife tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si majukwaa ya siasa yapo na ya michezo yapo?Akili za vijana wa TZ.
What is this?
Lema yupo sahihi hizi simba na yanga zife tu.
Na Mimi nawaza hili sana maana kama vita anayopigwa sio poa ilihali ni mtafuta riziki kama wengineManara amewakosea nn jaman
Sio Sawa kabisa. Simpendi Manara Kwa mdomo wake lakini hii hapana.
Kwani huyo ni Manara 😏?Sio Sawa kabisa. Simpendi Manara Kwa mdomo wake lakini hii hapana.
Wala mwenyewe hajali,yeye na Yanga hadi mautiDullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Yanga mhurumieni huyu mzee siyo fresh hivyo mnavyomfanyia.Wala mwenyewe hajali,yeye na Yanga hadi mauti
Mtoto wa kiume jiangalie
Kwa hiyo unataka kumchagulia marafiki? Hizi mambo eti mshikaji wangu kakosana na fulani basi na mimi nimchukie wapi na wapi. Kila mtu na maisha yake mkuu.Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Yule balozi aliwekwa pembeni katika mazingira ya kutatanisha, sijui kwa nini maana mpaka leo sijasikia skendo inayomuhusuUnashangaa manara bado hajapangiwa kazi tu, mbona hukuhoji kuhusu Ombeni sefue.
Kutupigia makelele ya mobeto kwenye tamashaManara amewakosea nn jaman
Itakufa CDM na hizo zitabaki. Kwani zinawazuiaje wasichukue nchi?Akili za vijana wa TZ.
What is this?
Lema yupo sahihi hizi simba na yanga zife tu.
😀😀😀Pangeni foleni tu, wote mtapata dozi
Yule Balozi kipindi akiwa CS,alikua anatoa siri za pale mjengoni! Kila akipanga kitu mzee Magu,kabla hajalifanyia kazi,linakua lishafika nje hasa kwa JK na cycle yake!!Yule balozi aliwekwa pembeni katika mazingira ya kutatanisha, sijui kwa nini maana mpaka leo sijasikia skendo inayomuhusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba wote watapigwa nao? Au mimi ndo sijaelewa? [emoji38][emoji1787][emoji1787]
Alijichanganya mwenyeweIle siku alipisema tu kwamba alikuwa amefungiwa lakini akaongezewa mshahara nikajua kibarua kishaota nyasi swala la salary ni privacy matter what if kama priva Ali kamwe na Abdul azizi licha ya kufanya kazi na kujituma hawakuongezewa ina maana unamtengenezea boss uhasama.