Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe kusema kweli ujio wa manara yanga siku upenda'jamaa yule simtakinawe yanga Bora aende kwaoDullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Alikosea kuonyesha kuwa hamkubali mkulu.Yule balozi aliwekwa pembeni katika mazingira ya kutatanisha, sijui kwa nini maana mpaka leo sijasikia skendo inayomuhusu