Kwamba wote watapigwa nao? Au mimi ndo sijaelewa? 😆🤣🤣Pangeni foleni tu, wote mtapata dozi
Manara amewakosea nn jamanDullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa
Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia
Hersi akili kubwa
Akili za vijana wa TZ.Dullah Makabila na Manara wana uhasama mkubwa. Manara alimwoa aliyekuwa mke wa Dullah Makabila (zaylisa) huu mzozo ulikuwa mkubwa hadi Makabila akatunga wimbo wa kumkejeli Manara wa mzungu pori
Dullah Makabila aliyekuwa shabiki wa Yanga alihamia Simba na kufanya tamasha la Simba day
Sasa Leo kaitab,Rais wa Yanga ameonekana yupo na Dullah Makabila, Sasa hii ina maana Manara anafukuzwa kiaina Yanga, hapo ni akili zake ajiongeze, najua kesho ataamka analia Hersi akili kubwa
Yaani inafikirisha sanaAkili za vijana wa TZ.
What is this?
Lema yupo sahihi hizi simba na yanga zife tu.
AahaaaaKwamba wote watapigwa nao? Au mimi ndo sijaelewa? 😆🤣🤣
Unashangaa manara bado hajapangiwa kazi tu, mbona hukuhoji kuhusu Ombeni sefue.Kwamba huyu Mwanachama Wa Kawaida Wa Yanga Bwana Manara Mpaka Leo hii bado hajapangiwa Kazi nyingine inashangaza Sana..!
Msimfanyie hivyo Mwenzenu nyie Utopolo.!
Aliwazalo majinga.......Kwamba wote watapigwa nao? Au mimi ndo sijaelewa? 😆🤣🤣
Kwani akibaki utopoloni kuna tatizo?Arudi umbumbumbuni