Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

Feisal hana bifu na Yanga Bali ana bifu binafsi na kiongozi wa Yanga (eng hers).

Je Umechukua mchumba wake (mpenzi) wake??

Nini umemfanya kijana huyu mpaka kuamua kabisa Bora aachane na mpira lakini siyo kufanya kazi na wewe??

NALIA NGWENA nimeweka pembeni ushabiki nimejiuliza sana haya maswali kwa jicho la tatu bila Shaka Kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia na bwana mdogo Feisal Salumu anafukia (anaficha) hataki kuweka wazi.

NALIA NGWENA nitafurahi sana Kama Eng hers utakuja hadharani kuzungumza nini ulichomfanya Feisal lakini usipojibu mashabiki tutabaki na mashaka makubwa na kuwa wachezaji wetu huko avic town Kuna Mambo ya ajabu wanafanyiwa.

Nawasilisha hoja.
Dharau si unajua mbongo akiwa chawa wa mwarabu 🤣🤣
 
Feisal hana bifu na Yanga Bali ana bifu binafsi na kiongozi wa Yanga (eng hers).

Je Umechukua mchumba wake (mpenzi) wake??

Nini umemfanya kijana huyu mpaka kuamua kabisa Bora aachane na mpira lakini siyo kufanya kazi na wewe??

NALIA NGWENA nimeweka pembeni ushabiki nimejiuliza sana haya maswali kwa jicho la tatu bila Shaka Kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia na bwana mdogo Feisal Salumu anafukia (anaficha) hataki kuweka wazi.

NALIA NGWENA nitafurahi sana Kama Eng hers utakuja hadharani kuzungumza nini ulichomfanya Feisal lakini usipojibu mashabiki tutabaki na mashaka makubwa na kuwa wachezaji wetu huko avic town Kuna Mambo ya ajabu wanafanyiwa.

Nawasilisha hoja.

Kosa la Eng Hersi ni kufanya Usajili wa maana hivyo Feisal haonekani kabisa na ndiyo imemjengea beef na mla urojo Amijei.
 
Bongo ni nomaa

Nilikuaga nacheza mpira kuna kiongozi wa timu alitakaga nimfanye ndio awe ananipa namba kwenye mechi cha ajabu ni mwanaume, nikaachaga kabsa kujishughulisha na ball nikaona nifanye inshu zingine nimeona huyo kataka nimfanye je? Wakinitaka mimi je? si itakuwa balaha nikakimbiaga ball sasa hivi nna harakati zingine

Pengine mkuu anataka amle fei kidonda au anataka yeye aliwe kidonda na fei yote yanawezekana
 
Bongo ni nomaa

Nikikuwga nacheza mpira kuna kiongozi wa timu alitakaga nimfanye ndio awe ananipa namba kwenye mechi cha ajabu ni mwanaume, nikaachaga kabsa kujishughulisha na ball nikaona nifanye inshu zingine nimeona huyo kataka nimfanye je? Wakinitaka mimi je? si itakuwa balaha nikakimbiaga ball sasa hivi nna harakati zingine

Pengine mkuu anataka amle fei kidonda au anataka yeye aliwe kidonda na fei yote yanawezekana
Inafikirisha sana hiii.
 
Bongo ni nomaa

Nikikuwga nacheza mpira kuna kiongozi wa timu alitakaga nimfanye ndio awe ananipa namba kwenye mechi cha ajabu ni mwanaume, nikaachaga kabsa kujishughulisha na ball nikaona nifanye inshu zingine nimeona huyo kataka nimfanye je? Wakinitaka mimi je? si itakuwa balaha nikakimbiaga ball sasa hivi nna harakati zingine

Pengine mkuu anataka amle fei kidonda au anataka yeye aliwe kidonda na fei yote yanawezekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hyo ukakataa mchezo wa kukanyagana
 
Feisal hana bifu na Yanga Bali ana bifu binafsi na kiongozi wa Yanga (eng hers).

Je Umechukua mchumba wake (mpenzi) wake??

Nini umemfanya kijana huyu mpaka kuamua kabisa Bora aachane na mpira lakini siyo kufanya kazi na wewe??

NALIA NGWENA nimeweka pembeni ushabiki nimejiuliza sana haya maswali kwa jicho la tatu bila Shaka Kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia na bwana mdogo Feisal Salumu anafukia (anaficha) hataki kuweka wazi.

NALIA NGWENA nitafurahi sana Kama Eng hers utakuja hadharani kuzungumza nini ulichomfanya Feisal lakini usipojibu mashabiki tutabaki na mashaka makubwa na kuwa wachezaji wetu huko avic town Kuna Mambo ya ajabu wanafanyiwa.

Nawasilisha hoja.
walio mjaza akavimba wameshamtoroka hawaoni tena. So hana budi kumchagua, kumtaja na kumlaumu yeyote ndani ya yanga eti ndio awe tatizo kwake kuendelea kuwa Yanga. Huu ni ukosefu wa hoja ya msingi yenye mashiko na itakayoeleweka kwa wadau na wanamichezo kwa ujumla. Angekua na sababu ya maana na kueleweka hata kama angekua anabanwa na Sheria hii shida ingekwisha kitambo sana . Tuepuke na tamaa za kufanikiwa haraka na Kiburi isoona mbele
 
Feisal hana bifu na Yanga Bali ana bifu binafsi na kiongozi wa Yanga (eng hers).

Je Umechukua mchumba wake (mpenzi) wake??

Nini umemfanya kijana huyu mpaka kuamua kabisa Bora aachane na mpira lakini siyo kufanya kazi na wewe??

NALIA NGWENA nimeweka pembeni ushabiki nimejiuliza sana haya maswali kwa jicho la tatu bila Shaka Kuna kitu kikubwa nyuma ya Pazia na bwana mdogo Feisal Salumu anafukia (anaficha) hataki kuweka wazi.

NALIA NGWENA nitafurahi sana Kama Eng hers utakuja hadharani kuzungumza nini ulichomfanya Feisal lakini usipojibu mashabiki tutabaki na mashaka makubwa na kuwa wachezaji wetu huko avic town Kuna Mambo ya ajabu wanafanyiwa.

Nawasilisha hoja.
Ujinga mtupu..!!! Sasa huko CAS anaenda kumshitaki Hersi?
 
Back
Top Bottom