Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

NAKAZIA
 
Wewe ndio takataka ambazo zikishavimbiwa mihogo tu basi kazi ya kuropoka tu.

Subirini tukose kombe ili mfurahi vizuri then rejoice na enemy of Yanga.
 
Majobless mmegeuza hili jukwaa kuwa la hovyo kabisa, maana huna kazi ya kufanya zaidi ya kupost pumba tu frequently.

Fuseeki.
Maneno yako ni pumba sana nipo Jf mwaka wa 9 Sasa.

Sema wewe ndiyo kuku kishingo humu mnataka tuisifie yanga hata Kama inafanya ujinga
 
Fei anaona kwamba habembelezwi Kwa kiwango kile alichotegemea.

Ni Kama mwanamke aliyebipu kuachika ili kupima upendo alionao mumewe lakini kakuta mume naye anakuwa sitaki nataka
[emoji16]
 
Yaani wachezaji wote mpaka wa Yanga Princes hawana bifu na Eng Hers...!!!

Yeye tu...ndio anachukiwa....!!??

Apeleke upuuzi wake kwa mama Ake...
Hii sio point Bali ni ujuha ,Kwan haiwezekan mtaan ukakosana na mmoja tu na wengine mkawa peace?
Vitu vidogo km hivi huwez hata kufikirisha akil si Bora ukae kimya tu.
Yaan unataka kuaminisha umma Ili eng. Aonekane ni mbaya basi alipaswa agombane au apishane na wachezaj wote?[emoji706][emoji706]
 
Kosa la Eng Hersi ni kufanya Usajili wa maana hivyo Feisal haonekani kabisa na ndiyo imemjengea beef na mla urojo Amijei.
Kwenye hizo sajili ni Nan anamzid kiwango fei?
Muda mwingine watz tuache unafki kisa tu hatak kuendelea kuwepo yanga .
Mchezaj akiwa yanga anakua wa maana akitaka kutoka mnasahau Kila kitu ,huo ni ushamba na umaskin wa fikra
 
Kale ugali na Sukari huko....mwehu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…