Eng. Hersi Said (rais wa Yanga) umemtendea nini Feisal Salum mpaka akuone Kama kijipu chungu hataki kabisa kufanya kazi na wewe?

unapata faida gani kuchafua watu humu? either wanafanya au hawafanyi can't you mind your own business? thread imegeuka kua mambo ya ushoga why don't you behave like a man?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mtu kazi unayoo. Poleeeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaaa, maelezo yote haya nilijua bas hata unafuatilia hili sakata kwa Weledi, kumbe umeweka ushabiki na upashkunaa mbelee

Sasa mie wala sijisumbui tenaa kuhangaika kuandika vitu ambavyo nlisha andika, wengine pia waliandika, na Fei alitolea ufafanuziii pia.

Tukutane baada ya CAS.
 
Km sio ugoroo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitolee bangi zako, mwenyewe kasema hana tatizo na mkataba wala mshahara bali manyanyaso bali ananyanyaswa, mmesikia CAS wanasuluhisha ndoa wajinga wa kipemba nyie
 
Kwa sheria zipi wakati hataki kwenda kuzungumza na uongozi
Fei: nilizungumza masaa sita na Hersi.

Hersi: Fei ana nidhamu, anadanganywa, option ni tatu tu. Aje tumuongezee maslahi, aje amalizie mkataba, timu inayomtaka ije.

Fei: Sina timu inayonitaka, Sipo tayari kufanya kazi na Hersi bora nikae mtaani.

TFF: Wewe ni mchezaji wa Yanga tumeshamaliza hilo. Nenda kakae nao.

Umeelewa nini?
 
Nitolee bangi zako, mwenyewe kasema hana tatizo na mkataba wala mshahara bali manyanyaso bali ananyanyaswa, mmesikia CAS wanasuluhisha ndoa wajinga wa kipemba nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umevurugwaaa?? Hebu relaaaaaaxx
 

Naandika facts siendeshwi na ushabiki ,nimekuelewa ngoja tuone huko CAS kama atatoboa.

Makolo Mchangieni pesa za kuendesha kesi maana hamkufuata utaratibu kumchukua.
 

Sikiliza tena Clip ya masoud utaelewa.
 
Reactions: Tsh
Maneno ya Feisal ya kulishwa tumesikia akifundishwa kwenye clip kwa hiyo hana credibility ya kusema alikaa masaa sita na Hersi, wapi, lini? Maana hata mwanasheria wa Yanga amerudia msimamo wa Yanga. Kwenye huo mkutano ulifanyika bila wawakilishi?


Hersi amesema ana nidhamu ila kuna watu nyuma yake, alipata wapi sh 112m za kuilipa Yanga wakati anakula ugali na sukari?

Katika option tatu alizopewa alikubali na kutekeleza ipi?

Kama hataki kufanya kazi na Hersi ni maamuzi yake na amekubali hana matatizo na mkataba wala mshahara bali manyanyaso, kwa hiyo afuate mkataba hii siyo ndoa kuna wachezaji wangapi Yanga waliosema wananyanyaswa na Hersi? Hizo ni hila ya wasiopenda mafanikio ya Yanga chini ya uongozi wa Hersi.

TFF wameona hakuna hoja za kisheria kukubali kuruhusu uvunjwaji holela wa mkataba wakiwa ni wasimamizi wa mpira nchini. Aliambiwa kakutane na Yanga kitu ambacho yeye na wawakilishi wake hawataki kufanya.

Nilichoelewa ni kundi la wapumbavu waliokuwa wanamdanganya wamemuacha solemba na yuko uchi hataki kuchutama
 
Nataka nikufahamisheni kuhusu wa Zanzibari

Wazanzibari wakweli usiwachezee kwenye utu wawo.
Mfano kaja kuomba chakula ananjaa, kama utampa chakula na kumtupia chini sahani basi atakuwachia mwenyewe chakula chako na ataondoka na njaa yake hatokula.

Huwezi kumnyanyasa mzanzibari katika utu wake.
Feisal kadhalilishwa utu wake dio maana bora umaskini kuliko kurudi yanga ikiwa walomdhalilisha wapo bado.

Yanga hawamhitaji Feisal kwanini wanamzuwiya? wamefika Final bila ya feisal. Lakini chiyo sababu hawataki timu ingine imchukuwe akaja kuwapa taabu.
 
Noted [emoji3578]
 
Feisali sio mwehu kwamba from nowhere tu amchukie engineer, lazima Kuna kitu kibaya sana fei hataki kusema tu
 
Bega kwa bega na wewe, kwa.mimi hata akitoa maelezo.bado sitamuamini nitabaki na yangu ninayoyawaza basi, haiwezekani kijana aumie namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…