Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Mtu anatoa ombi halafu anataka na mrejesho wa mtakapofikia kama una akili timamu lazima ujiongeze.

Huyo mpemba akisaini Simba hii dinner watailaani sana waliokuwa wamedhamiria kumkomoa.

Halafu tuhuma zake alizotoa juzi hazitojibiwa tena hivyo kuaminika ni za kweli.
 
Kuna madhara makubwa sana endapo klabu kama klabu itashindwa kusimamia misingi ya taratibu zake na kusuluhisha migogoro na kesi za kimpira kwa kutumia tu mapendekezo ya wana siasa. Je Mama Samia anatoa ushauri kama nani? Je ni kama mtu mwenye ufahamu wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa mpira? au Kama
Wewe ndio yule wanaemuita HAJI ?
 
Mtu anatoa ombi halafu anataka na mrejesho wa mtakapofikia kama una akili timamu lazima ujiongeze.

Huyo mpemba akisaini Simba hii dinner watailaani sana waliokuwa wamedhamiria kumkomoa.

Halafu tuhuma zake alizotoa juzi hazitojibiwa tena hivyo kuaminika ni za kweli.
Wamuache aende kwan wachezaji si wapo Duniani kote shida ni nini ? Au ndio roho za kichawi kuwangiana na kuwekeana kauzibe ?
 
Hili liwe fundisho kwa mawakala wa wachezaji.
Lazima kuwa na kipengele katika mkataba kinachoonesha.

1. Timu ikitaka kuvunja mkataba wa mchezaji muda wowote ifate kanuni gani.
Kuna wakati mchezaji anabadilikia kutabia au anaisaliti timu na anatakiwa kuachwa lazima kuwa na kipengele cha namna ya kumwacha.

2. Mchezaji akitaka kuvunja mkataba wake na timu kama Dejeni wa Simba.
Kuna wakati mchezaji anataka kuiacha timu yake na kuondoka kama kafanyiwa hujuma flani au kudharauliwa au kuvunjiwa heshima kama Fei toto.
Lazima kuwe na kipengele cha namna ya kuachana na timu yake.

Kucheza mpira ni ajira kama ajira nyingine.
Mchezaji kama amepoteza imani na timu yake na anataka kuondoka kumkatalia ni hakuna tija kwake na wala kwa timu.
Sheria lazima ziongee kwa mambo kama haya.
 
Habari wanajamvi.

Leo amesikika Rais wa Tanzania Akimdadavulia Rais wa Yanga SC Bw Eng Hersi Said kwa lengo la
kumuhimiza ahakikishe Mchezaji Feisal Salum anapata haki yake.

Ninacho fahamu kuwa Mama Samia hana ufahamu sahihi wa kinacho endelea baina ya mgogoro uliopo kati ya Yanga SC na Mchezaji husika. Hisia zake kama Mzanzibar ndizo zimempelekea kusukumwa kutoa mapendekezo yake pasi na kuhitaji kulifahamu zaidi swala hilo.

Ndugu Hersi Said, unapaswa kucheza karata zako makini mno kwenye hilo. Kumbuka Mama Samia ametumia gharama kiduchu sana kwenye kampeni ya zawadi za kila goli, Dinner la Ikulu pampja na usafiri wa ndege. Kumbuka hajafanya haya si kwa mapenzi ya dhati na masuala ya michezo, bali alilenga zaidi kuilaghai taasisi ya michezo ili iache kusimamia misingi ya kisheria na kikanuni ya michezo.

Kwa kawaida, ni muhimu kwa Rais wa nchi kuzingatia majukumu yake kikatiba na kutofautisha majukumu ya mamlaka nyingine za kiserikali na taasisi mbalimbali. Mgogoro kati ya klabu na mchezaji ni suala la kisheria ambalo linapaswa kusuluhishwa na mamlaka husika za sheria na kanuni za michezo.

Rais Samia Anahitaji Elimu zaidi.

Kwa hiyo Rais wa nchi kuingilia kati ktk mgogoro kama huo unaweza kusababisha mchanganyiko wa majukumu na kuingilia uhuru wa mamlaka nyingine. Ni muhimu kwamba kila mamlaka ifanye kazi yake. Kitendo cha Rais kuwapa Incentives mbalimbali basi isiwe sababu ya kuhalalisha kuingiliana ki mamlaka katika mihimili inayo jitegemea kiutendaji.

Rais Samia anahitaji mrejesho, Basi ni wasaa sahihi kuhakikisha anaandikiwa mrejesho wa kumuelimisha kuwa masuala ya migogoro ya kisoka/kimpira yana namna yake ya kutatuliwa. Muelewesheni kuwa zipo sababu za msingi kwanini hili suala linakawia kufikiwa tamati.

Ni vyema akafahamu kuwa uvunjwaji wa taratibu na mchezaji yeyote wa klabu ni lazima kuadhibiwe pasi na kujali kama huyu ni mchezaji wa kizanzibar, wa bara au wa kimataifa. Na hukumu kwa mchezaji wa namna hiyo hautotokwa kwa upendelea wa kibusara eti kwa kisingizio kuwa mchezaji ni mzawa au la.

Mshaurini Rais kuwa licha ya kuyafurahia mafanikio haya madogo ya klabu, kuna watu nyuma ya pazia ambao wanawekeza pesa zao na wasingependa kuona wanapata hasara ktk biashara ya mauzo ya wachezaji. Tukiruhusu kuingilia maamuzi ya taasisi huru ambazo zina sheria zake za usuluhishi basi tunajiweka katika nafasi ya kuwafukuza wawekezaji aina ya wakina GSM na Mo Dewji katika mpira wa Tanzania.

Kuna madhara makubwa sana endapo klabu kama klabu itashindwa kusimamia misingi ya taratibu zake na kusuluhisha migogoro na kesi za kimpira kwa kutumia tu mapendekezo ya wana siasa. Je Mama Samia anatoa ushauri kama nani? Je ni kama mtu mwenye ufahamu wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa mpira? au Kama
Wasomali na mambo ya kanuni sijui sheria wapi na wapi?
 
Ombi la Rais wa Nchi akimaliza,kulitamka linageuka kuwa amri ambayo lazima itekelezwe. Na wako watakaofuatilia kuhakikisha inatekelezwa ima unapenda au la.

Mchezaji huyu hawezi kucheza yanga tena labda Rais wa yanga asiwepo.

Hivyo yanga itangaze kumuuza. Kama hatokei wa kumnunua basi imdai fidia kama kipengele hiko kiko kwenye mkataba. Ama imsamehe bure aende zake akasajiliwe na timu nyingine. Liwe jua ama mvua amri ya mkuu wa nchi lazima itekelezwe na ioonekane imetekelezwa. Hiyo ndio gharama yanga wamelipia kwa kwenda ikulu kula dinner bila ya Feisali kuwa sehemu ya wahudhuriaji. Na kaalikwa nyumbani kwenda kusema yuko huru mgogoro ukisha tatuliwa.
 
Hii ngoma inamalizikia pale TFF, I mean, Karia ndo atakuwa mbuzi wa kafara.

Ile kesi ambayo Yanga wamepeleka TFF itatoka ruling kuwa Fei toto ana haki ya kuvunja mkataba.

Fa masihara nini! Mpewe hadi eneo la kujenga uwanja af muanze kubinya binya wapemba wakat mama yupo! Bangladesh
 
Mualiko wa ikulu umekua mchunguu, pilau limegeuka boko boko.

Sahivi ndo mnajua serikali haitakiwi kujihusisha na masuala ya soka? Alipokua anatoa ndege ya serikali buree? Na gharama zote zile? Mbna mlikua hamu muambii hilo??

Tulieni dawa iwaingie vizuriii, na ameshasema hivyoo, kinachotakiwa ni utekelezaji tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] patamu hapoooo.
Biriani, Pilau, Sharubati Zimeishia Kooni Wameshindwa Kumeza Kwa Uchungu Mwingi Hasa Rais Alipogonga Kisu Cha Uchungu Kuhusu Feitoto
Aachwe Aende Atakapo Bila Sharti, FIFA Wanawazoom Wanasiasa Tanzania
 
Rais Samia amesema "ANAOMBA" wakalimalize swala la Feisal, hapendezwi na ugomvi. Hajasema kama kuwalazimisha au kama amri. Ni "OMBI" ametoa ambalo linaweza likakubaliwa au kukataliwa na hao viongozi wa yanga!!!

Kosa lake ni nini hapo? Mipaka gani achunge?
Ombi la Rais popote duniani ni amri
 
Back
Top Bottom