Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

rais katoa ombi hajaelekeza wala kulazimisha,yanga watamwita fei na waongee ili wamuuze au alipe gharama za kuvunja mkataba
 
Ilo sio ombi ni agizo mkuu kauli ya Raisi wa nchi ni agizo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
"Sweet command" ni pale mkubwa anaposema NAOMBA.
GSM ni mfanyabiashara anaelewa madhara ya siasa.... Alietoka kauli ni mwanasiasa na mkuu wa nchi... Kukaza shingo Kwa GSM ni kujitia kitanzi kibiashara
 
Hapo ni kumwuliza Fei anataka nini kufanyike na mwenyewe ndio aamue cha kufanya.
Unamlazimisha kulipa faini akigoma utaendelea kumshikilia ?

Ajira za wachezaji mpira ni lazima ziwe sasa na vipengele vitakavyo mruhusu mchezaji kuondoka muda wowote na pia kuruhusu vilabu kumwacha mchezaji muda wowote pale utakapo onekana inafaa.

Ajira za kulazimishana na kung'ang'aniana zimepitwa na wakati.

Unasaini mkataba wa kazi wa miaka mwili.
Ukitaka kuondoka fanya hili na hili.
Tukitaka kukuondoa tutafanya hili na hili.
Full stop.
 
Week hii hii feitoto anakuwa mchezaji Huru tayari kuungana na Mnyama mkali
 
"Sweet command" ni pale mkubwa anaposema NAOMBA.
GSM ni mfanyabiashara anaelewa madhara ya siasa.... Alietoka kauli ni mwanasiasa na mkuu wa nchi... Kukaza shingo Kwa GSM ni kujitia kitanzi kibiashara
Nakumbuka ile kauli ya "GHALIB WEWE FANYA BIASHARA MIMI SITAKUBANA" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uliwahi kuona mtu aliemkatalia rais kitu maisha yake kwenye jamii yanakuaje?
 
Halafu wanakimbilia kuandika uzi mrefu kama gazeti, tena kwa kujitutumua kweli!!! Rais Samia katoa "OMBI", ombi ambalo linaweza likapokelewa au likakataliwa na viongozi wa yangu! Hayo ni maamuzi yao sasa!
Hakunaga ombi la rais linalokataliwa...kama umewahi ona mtu aliekataa ombi la rais tupe jina..na baada ya kukataa ameishije...
 
Wanataka kumponza Eng.wao yaani aanze kubishana na mamlaka ! Hilo swala la Fei hata mwezi hautaisha tutasikia limefika tamati
 


Amshauri nani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuingilia mambo ya kisoko Ni ujinga endapo sheria zitakanyagwa mm nitaiandikia caf barua kulalamika serekali ya Tanzania kuingilia mambo ya mpira
Wakati Serikali ya Tanzania inaingilia mambo ya mpira kwa kununua magoli haukuandika barua CAF,wakati Serikali inaingilia mambo ya mpira kwa kutoa ndege kwenda Algeria haukuandika barua CAF,wakati Serikali inatoa dinner Ikulu haukuandika barua CAF,Leo hii uje uandike barua CAF kwa ugonvi kati ya Fei toto dhidi ya Eng. Hersi ? Kuwa serious
Pilau ya Ikulu imegeuka shubiri
 
Na kumrelease ni lazima maana kijana ataihujumu timu..ref: Sir A Fergason na M. United, alikua akikuona tuu hata umeanza kususa mazoez anakupga bench akiona una akili mbili anakuuza
 
Kuingilia mambo ya kisoko Ni ujinga endapo sheria zitakanyagwa mm nitaiandikia caf barua kulalamika serekali ya Tanzania kuingilia mambo ya mpira
Kwahiyo wewe unataka Fei toto achezee Yanga hata kama hataki? Akiwafungisha kwenye mechi mtamlaumu?
 
(Kwa kawaida, ni muhimu kwa Rais wa nchi kuzingatia majukumu yake kikatiba na kutofautisha majukumu ya mamlaka nyingine za kiserikali na taasisi mbalimbali. Mgogoro kati ya klabu na mchezaji ni suala la kisheria ambalo linapaswa kusuluhishwa na mamlaka husika za sheria na kanuni za michezo.)

[emoji867]Raisi katoa ombi hakulazimisha
kuomba kuna mwili kukubaliwa au kutakatiwa
hajalazimisha kuvuja sheria
 
🫱🏼‍🫲🏽🫱🏼‍🫲🏽🫱🏼‍🫲🏽🫱🏼‍🫲🏽🫱🏼‍🫲🏽 kuna mijitu mijinga sana muulize gharama ya ndege kwenda Algeria na kurudivna kwenda Mbeya apige hesabu ya nauli ya watu 250×2 Tz -Algeria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…