Eng Hersi Said Simamia Misingi ya Kanuni na Sheria za Mpira. Mshauri Rais Samia asivuke Mipaka

Kaona mpemba mwenzake anaathirika mjini akamsemea unadhani angekuwa anaitwa Magigi Ng'wanampilimbi Magigi angehangaika nae

Huyo angekula jeuri yake!
 
Utashangaa simba watakavyomdaka fastaaaaaa. Yanga wamepoteza mchezaji kizembe kweli alafu mambo ya chuki zisizo na msingi ukimuangalia herisi anavyojifanya mpole nyoooo kumbe kashetani tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wasomalii mchezooo?? Uwiiii
Kakutana na wapemba, wana mnyoosha.
 
Nyie si mlisema Fei ana haki sasa hamuoni umuhimu wa kutafuta haki kwenye mamlaka za kisoka ili waliomfanyia dhuluma waadabishwe ?
Ikiwa ipo namna fupi ya kuipata haki, hakuna haja ya kuifata ile ndefu maana zote zinaishia sehemu moja.

Hizo ni hesabu za kawaida kabisa.
 
kategwa,kategeka, chezea muhimili uliochimbia chini nyinyieee....na asitekeleze kile alichoambiwa Mama tuone mwisho wake.
Umenikumbusha mbali sana enzi za Mzee baba JPM, alimjibu Mayalla "Mihimili ipo mitatu, ila kuna mmoja umejichimbia chini kuliko mingine"

[emoji23]
 
🤣🤣wakati akipokea ndege ya serikali bure hakuvuka mipaka?wakti akipokea mil 20,ilhal walofungwa nyumban hakuvuka mipaka?puliiizzzz,sikuzote masikini hana sauti,imeisha hiyooo
imeisha kwa wajinga sio kwa mtu smart km injinia...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wasomalii mchezooo?? Uwiiii
Kakutana na wapemba, wana mnyoosha.
Na akileta ujuaji atajikuta karudishwa Mogadishu mtaani kwao kabisa alipozaliwa baba yake mzazi[emoji3][emoji3].Ombi la Mama lazima litekelezwe na mrejesho anausubiri. Wapemba wanaupiga mwingii hadi unamwagikia [emoji23][emoji23][emoji23]
 


bali alilenga zaidi kuilaghai taasisi ya michezo ili iache kusimamia misingi ya kisheria na kikanuni ya michezo.
 
Hata Marekani ana sera ya kutoongea na magaidi ila panapo maslahi makubwa kwake hua anapindisha huu msimamo thats why alizungumza na Taliban nchini UAE. So kama kumsamehe Feisal Hersi anapata lile eneo katikati ya mji wa Daslam basi hilo lifanyike haraka
 
Ikiwa ipo namna fupi ya kuipata haki, hakuna haja ya kuifata ile ndefu maana zote zinaishia sehemu moja.

Hizo ni hesabu za kawaida kabisa.
Hii ni hesabu za mbovu watu intelligent hawawezi kuwa na hesabu kama hizo ,mfano unadai hela yako ukazungushwa mdaiwa anadai wewe tapeli haumdai ila mwisho wa picha baada ya shinikizo au sababu zozote binafsi anaamua kukupa pesa akidai kuwa amekuonea huruma kwa vile unadhiki.

Je ,ni Sawa kuridhia kwa vile umempata haki yako huku bado shutuma zimebaki ? mimi nisingekubali kulipwa mpaka akiri hadharani kuwa mimi sio tapeli na yeye ni mkosaji hapo nitakubali kupewa haki yangu.
 

Hawana cha Sheria. Wa TZD ni wabishi wabishi sana.

Maagizo ya Rais ni wao wakae kwenye meza na wa sort out ASAP.

Hizo sheria za mikataba na blah blah nyingine wabaki nazo wao.

Hersi bado ni mchanga sana kwenye governance ya nchi hii, Hana impact yoyote ; anaweza kupandishwa na kushushwa kwa kadiri inavyotakikana.

Ajifunze kutofautisha kati ya hisia na sheria na maagizo ya mamlaka.

He is not a robot ...... kwamba sheria inasema hivi au vile : he has to use his mind properly on how to balance and handle things.

Or else , Machaguo ni yake.
 
Upendeleo kwa wazanzibari unampofusha, hakika hafai kura kiongozi wa jamuhuri ya muungano
 
Wewe ni shabiki wa Simba bila shaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…