Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣.
Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.
Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.
Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.
Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝
Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.
Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣
Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃♂️🏃♂️
Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂
Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.
Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.
Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.
Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝
Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.
Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣
Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃♂️🏃♂️
Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂