Eng Hersi Saidi: Anayemtaka aje mezani hatumtaki, Sasa tunamuuza

Eng Hersi Saidi: Anayemtaka aje mezani hatumtaki, Sasa tunamuuza

Dogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo,leo hii ana nyumba dar nyumba zenj na nyumba ya familia pale fuoni full mageti,zenj anatembelea harrier dar anatembelea crown pambavu halafu leo bila shukran anadai mln 4 ndogo!
👇🏾
... mama yake akisema Feisal ameteseka sana huku akiomba TFF itende haki, hapo nikakumbuka habari kuwa ilifikia wakati Feisal anapewa viatu vyote vya kushoto kumbe kweli.
 
Makolo yanazidi kumponza Fei, yanalipa kisasi Cha byuti byuti pale kirumba
 
Dogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo,leo hii ana nyumba dar nyumba zenj na nyumba ya familia pale fuoni full mageti,zenj anatembelea harrier dar anatembelea crown pambavu halafu leo bila shukran anadai mln 4 ndogo!
Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
 
'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...

Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?

Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...

Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Ule mkataba una vipengele vyake mambo ya fadhila peleka udundukani
 
Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
Ule ni mkataba sio dayworker bro..lazima vipengele vizingatiwe
 
ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣.

Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.

Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.

Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.

Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝

Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.

Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣

Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃‍♂️🏃‍♂️

Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂
Hoja ya kipumbavu kabisa.
 
Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
Fei alikua sahihi kudai kuboreshewa mkataba na si yeye tu kila mfanyakazi ana haki ya kudai maslahi zaidi,shida inakuja njia alizotumia,hamna utaratibu wa kudai stahiki au kuvunja mkataba wa namna ile duniani,mnaotetea mjue tu dogo amepotoshwa
 
ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣.

Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.

Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.

Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.

Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝

Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.

Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣

Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃‍♂️🏃‍♂️

Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂
Ujinga ni kipaji na mleta mada umebarikiwa iko kipaji.
 
Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
M.4 kwako ni hela ya maandazi!!?? Kweli JF kila mtu tajiri.
 
'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...

Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?

Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...

Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
MBUMBUMBU WAPUMBAVU SANA....WANASHABIKIA ISSUE YA HUYO PUNGA KWA NGUVU ZOTE...SHENZI TAIPU
 
Mbona Yanga hawasemi ukitaka kuvunja mkataba masharti ni yapi?

Hakuna mkataba unaolamishana utekelezaji kama upande mmoja unaona hauna maslahi.

Ila zinakuwepo fidia ama mazungumzo tena ya marejeo ikibidi kuachana nao.
 
'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...

Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?

Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...

Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Kajikomoa mwenyewe kwa kushikiwa akili na MADUNDUKA
 
Dogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo...
Mil4 sio ndogo tatizo akiangalia mchango wake kwa timu na wanacholipwa wakina makambo anaona anapunjwa
 
Back
Top Bottom