👇🏾Dogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo,leo hii ana nyumba dar nyumba zenj na nyumba ya familia pale fuoni full mageti,zenj anatembelea harrier dar anatembelea crown pambavu halafu leo bila shukran anadai mln 4 ndogo!
... mama yake akisema Feisal ameteseka sana huku akiomba TFF itende haki, hapo nikakumbuka habari kuwa ilifikia wakati Feisal anapewa viatu vyote vya kushoto kumbe kweli.
Kwa kweli, sasa analialia tu mara mama yake, hiyo ni kuomba public sympathy tu.Dogo alijichanganya sana
Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"Dogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo,leo hii ana nyumba dar nyumba zenj na nyumba ya familia pale fuoni full mageti,zenj anatembelea harrier dar anatembelea crown pambavu halafu leo bila shukran anadai mln 4 ndogo!
Ule mkataba una vipengele vyake mambo ya fadhila peleka udundukani'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...
Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?
Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...
Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Ule ni mkataba sio dayworker bro..lazima vipengele vizingatiweUlitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
Hoja ya kipumbavu kabisa.ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣.
Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.
Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.
Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.
Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝
Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.
Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣
Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃♂️🏃♂️
Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂
Yote majaaliwa nduguHuyu mama alishindwa kutoa mahitaji kwa mtoto wake ikafikia hatua huyu dogo akawa anaokoteza mtaani kama hana wazazi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Fei alikua sahihi kudai kuboreshewa mkataba na si yeye tu kila mfanyakazi ana haki ya kudai maslahi zaidi,shida inakuja njia alizotumia,hamna utaratibu wa kudai stahiki au kuvunja mkataba wa namna ile duniani,mnaotetea mjue tu dogo amepotoshwaUlitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
Hakika...!! Hisia Zake Zinamtuma Kua Hii Yanga ni Akina Mzee Msol😂Dogo alijichanganya sana
Ujinga ni kipaji na mleta mada umebarikiwa iko kipaji.ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣.
Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu.
Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa karibu na Feisal wakasemezana na kushirikiana na dada zao Azam Fc "Inabidi tuwachanganye Yanga kuelekea mechi ya Azam.
Akadanganywa mtoto kuwa atafanyiwa Practical Mwezini kwa sababu huko hakuna kambi za Osama,
Hapo yanga watachanganyikiwa na hyo mechi Azam mtashinda.
Kuanzia hapo Sisi simba sc tutapita na kuchukua ubingwa.Wakawatumia WACHAMBUZI wa mchongo ili Wawachanganye zaidi mashabiki wa yanga ,benchi na uongozi kwa ujumla😝
Yanga watagoma kumuachia kwa sababu ya mkataba,nawe goma kurudi na kumbuka Wewe ndo injini yao pale watatetereka tu tutachukua ubingwa tuwafurahishe DUNDUKA wetu,wewe ndo unaamua matokeo mengi ya Yanga.
Wakati wanafanya hvyo pengo la points lilikuwa5️⃣ sasa ni 8️⃣.
🤣
Sisi ndo yanga sc tulioshiriki kupigania uhuru wa nchi hii. Ukijua hivi sisi tunajua vile.
NA RAIS KATANGAZA KUMUUZA SASA KAONA HANA FAIDA TENA🏃♂️🏃♂️
Makolo + Madunduka Pesa Mnayo?😂
Kwa hiyo wewe ndiye Mzee Sunday, au Mstaafu JMK?Huna ubongo wenye akili!
M.4 kwako ni hela ya maandazi!!?? Kweli JF kila mtu tajiri.Ulitaka atembelee makalio kwamba huo mpira anacheza kwa faida ya nini na nani kwa mfano"
Et fadhila pelekeni ujinga huko mnampa hela ya mandazi mara mbili aliwaomba mkae mezani mkamchomolea.
MBUMBUMBU WAPUMBAVU SANA....WANASHABIKIA ISSUE YA HUYO PUNGA KWA NGUVU ZOTE...SHENZI TAIPU'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...
Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?
Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...
Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Kajikomoa mwenyewe kwa kushikiwa akili na MADUNDUKA'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...
Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?
Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...
Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Halafu simsikii baba ni mama tu. Jimbo liko wazi nini tuanze kampeni?Huyu mama alishindwa kutoa mahitaji kwa mtoto wake ikafikia hatua huyu dogo akawa anaokoteza mtaani kama hana wazazi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mil4 sio ndogo tatizo akiangalia mchango wake kwa timu na wanacholipwa wakina makambo anaona anapunjwaDogo ndio hana fadhila,wakati anakuja Yanga alikua anavaa ndala na mshahara wake jku ulikua analipwa laki na nusu,nyumba yao fuoni ilikua ya udongo...