Eng. Hersi, Senzo na Kocha Nabi tunaomba mtuachie klabu yetu!

Eng. Hersi, Senzo na Kocha Nabi tunaomba mtuachie klabu yetu!

pole mwanangu, tushirikiane mashabiki wa yanga tusiende uwanjani ila kusisitiza suala letu la ushindani kimataifa

#𝙣𝙖𝙗𝙞 𝙤𝙪𝙩
#𝙝𝙚𝙧𝙨𝙞 𝙤𝙪𝙩
Mi mwenyewe natamani tuanzishe kampeni ya kutokwenda uwanjani maana sasa imetosha kutolewa hatua za awali.

Lazima En.hersi tukitolewa hatua hii atupe sababu za msingi maana hii bado ni timu yetu wanachama.
 
Ibenge aliwaambia hao Simba ni wakubwa sana hata kama mnawafunga huko kwenye ligi yenu hamkumsikia.

Ibenge kwa Simba kwa Mkapa kafa mechi zote kwa timu alizozifundisha.

Alivyoona anakuja kucheza na Yanga akawa anatabasamu tu.
 
Ibenge aliwaambia hao Simba ni wakubwa sana hata kama mnawafunga huko kwenye ligi yenu hamkumsikia.

Ibenge kwa Simba kwa Mkapa kafa mechi zote kwa timu alizozifundisha.

Alivyoona anakuja kucheza na Yanga akawa anatabasamu tu.
MAKOLO siku mkichukua kombe lolote la CAF nimekaa pale mniite JIBWA [emoji117][emoji38]

Maana si midomo hiyo Ndugu zangu MAKOLOKOLO FC A.K.A MBUMBUMBU [emoji13]
 
MAKOLO siku mkichukua kombe lolote la CAF nimekaa pale mniite JIBWA [emoji117][emoji38]

Maana si midomo hiyo Ndugu zangu MAKOLOKOLO FC A.K.A MBUMBUMBU [emoji13]
Sio tukuite jibwa sema tukuoe kabsa. Kuitwa jibwa hakutakuadhiri weka details zako na contacts zako na syra yako (utambulisho wako jumla). Unaongea hayo huku jf hatuonani.
 
Yanga ni timu yenye mamilioni ya mashabiki duniani kote! Mashabiki wawili hawawezi kamwe kubeba hisia na dhamana ya mashabiki wengine waliobaki!

Na ndiyo maana mpaka kesho natambua fika siyo mashabiki wote wa simba ni mbumbumbu! Hata mtoa kauli Ismail Aden Rage, naamini na yeye analitambua hilo.
Na ile ukimtoa mzee kikwete na mzee manara na yule mmoja waliobaki wote ni hamnazo pale vinyesi fc. Kumbe ummoja wao. .?
 
MAKOLO siku mkichukua kombe lolote la CAF nimekaa pale mniite JIBWA [emoji117][emoji38]

Maana si midomo hiyo Ndugu zangu MAKOLOKOLO FC A.K.A MBUMBUMBU [emoji13]
Sisi tunapiga pesa za CAF za kila mwaka.
Piga hesabu pesa inayopatikana hadi hatua ya robo fainali halafu uje kuniambia.
Pia tuna weka heshima Africa kwa kuto kuwa jamvi la wageni.
 
Ibenge aliwaambia hao Simba ni wakubwa sana hata kama mnawafunga huko kwenye ligi yenu hamkumsikia.

Ibenge kwa Simba kwa Mkapa kafa mechi zote kwa timu alizozifundisha.

Alivyoona anakuja kucheza na Yanga akawa anatabasamu tu.
Ibenge pia kuna game moja alipigwa nje ndani.. Home and Away

Kumbe pia aliwaambia kuwa nyie mnawafunga Simba kwa kupitia milango isiyokuwa sahihi na mazagazaga mengine.

Lakini Simba SC ni wakubwa kuliko nyie, nyie Ukongwe tu unawabeba.
 
Nabi amefikia mwisho uwezo wake ni wakati sasa wa kumleta kocha mpya mzuri ili aendeleze pale tulipofikia.Timu inatengeneza nafasi nyingi ila magori hamna!wachezaji wanaback pass wakati tunahitaji ushindi
 
Habarini Wanajangwani wenzangu.

Tunajenga kikosi cha aina gani!?
Kwanini kimataifa kila siku iwe kilio kwetu!?

Hapana. Tunahitaji mabadiliko ndani ya klabu yetu, kuanzia uongozi, wachezaji mpaka benchi la ufundi. Tunahitaji kikosi kitakachotoa upinzani kwa timu za kimataifa na si kutamba Ligi Kuu peke yake.

Kuna muda najisikia wivu ninavyoona wenzetu Simba wanavyotinga mpaka hatua za robo fainali michuano ya Africa, lakini nabaki sina namna kwa sababu Yanga niliirithi mwenyewe kwa baba angu.

Ila ni mpaka lini tutaitwa majina ya kukera na wapinzani huko mitaani kama wamatopeni, utopolo, chura fc, wazee miamala n.k? Yaani kila siku yanga ndiyo iwe timu ya kubinuliwa na wapinzani kimataifa. Hapana, imetosha sasa!

Naanza kuamini viongozi mnafanya tabia chafu za kununua mechi za Ligi Kuu, maana haiwezekani michuano ya nje ndiyo tushindwe ila ya ndani tumudu.

Kwa pamoja tushirikiane kuutoa huu uongozi madarakani, ikiwezekana Wanajangwani tusiende uwanjani, maana ndiyo kunapowapa viburi.

Tunaomba mtuachie timu yetu,
Daima mbele nyuma mwiko
Timu yenu imewashinda mmebaki kuongelea timu bora, yaani unaongelea uchafu wa mwenzako wakati kwako ndo kuna uvundo wa karne, Rage akukosea aisee
 
Na ile ukimtoa mzee kikwete na mzee manara na yule mmoja waliobaki wote ni hamnazo pale vinyesi fc. Kumbe ummoja wao. .?
Hivi unapata wapi ujasiri wa kushikiliwa akili na mtu kama Haji Manara! Mimi nina haki kabisa ya kuyakumbusha maneno ya Ismail Aden Rage, kutokana na ukweli kwamba jamaa ana akili.

Na huwa hakurupuki. Akisema kitu basi ujue kina uhakisia. Mfano mzuri ni pale alipowaita mbumbumbu! Mpaka leo hiyo hali bado inawatesa mashabiki wengi wa simba.
 
Nabi amefikia mwisho uwezo wake ni wakati sasa wa kumleta kocha mpya mzuri ili aendeleze pale tulipofikia.Timu inatengeneza nafasi nyingi ila magori hamna!wachezaji wanaback pass wakati tunahitaji ushindi
Nabi amefikia mwisho, kwani ulimuajiri wewe! Ukitoa tamko la kumuondoa ili kumleta kocha mwingine, tutakuunga mkono!

Ila kama huna mamlaka ya kumuondoa, basi unatakiwa utulie wananchi wacheze mpira. Kwa taarifa yako mashabiki wa Yanga tuna imani kubwa na timu yetu. Kuanzia kwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.
 
Ndio tumeona nyie bila zile bahasha za kaki hamna kitu. Wepesi tu. Mkuu nyie wakulalamika tu. Mkijitambua itawasaidia. Mpira sio maneno yale mnayo jazwa.
Sasa kama hizo bahasha mpaka timu yako inazipokea, shida iko wapi? Na tarehe 23 mtazipokea tena! Maana hakuna namna nyingine.
 
Sio tukuite jibwa sema tukuoe kabsa. Kuitwa jibwa hakutakuadhiri weka details zako na contacts zako na syra yako (utambulisho wako jumla). Unaongea hayo huku jf hatuonani.
Ukimuoa Mama yako kwa mara ya 1000 inatosha sana maana atakuwa ameshaota nakoz za ukahaba na laana popote pale duniani [emoji16]
 
Nabi amefikia mwisho, kwani ulimuajiri wewe! Ukitoa tamko la kumuondoa ili kumleta kocha mwingine, tutakuunga mkono!

Ila kama huna mamlaka ya kumuondoa, basi unatakiwa utulie wananchi wacheze mpira. Kwa taarifa yako mashabiki wa Yanga tuna imani kubwa na timu yetu. Kuanzia kwa wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.
Povu hilo halikusaidii kitu
 
Habarini Wanajangwani wenzangu.

Tunajenga kikosi cha aina gani!?
Kwanini kimataifa kila siku iwe kilio kwetu!?

Hapana. Tunahitaji mabadiliko ndani ya klabu yetu, kuanzia uongozi, wachezaji mpaka benchi la ufundi. Tunahitaji kikosi kitakachotoa upinzani kwa timu za kimataifa na si kutamba Ligi Kuu peke yake.

Kuna muda najisikia wivu ninavyoona wenzetu Simba wanavyotinga mpaka hatua za robo fainali michuano ya Africa, lakini nabaki sina namna kwa sababu Yanga niliirithi mwenyewe kwa baba angu.

Ila ni mpaka lini tutaitwa majina ya kukera na wapinzani huko mitaani kama wamatopeni, utopolo, chura fc, wazee miamala n.k? Yaani kila siku yanga ndiyo iwe timu ya kubinuliwa na wapinzani kimataifa. Hapana, imetosha sasa!

Naanza kuamini viongozi mnafanya tabia chafu za kununua mechi za Ligi Kuu, maana haiwezekani michuano ya nje ndiyo tushindwe ila ya ndani tumudu.

Kwa pamoja tushirikiane kuutoa huu uongozi madarakani, ikiwezekana Wanajangwani tusiende uwanjani, maana ndiyo kunapowapa viburi.

Tunaomba mtuachie timu yetu,
Daima mbele nyuma mwiko
Kolo katika ubora wako...
 
Pole sana Senzo mbona alishasepa!

Tatizo hamuishii kununua mechi tu,ila na wachambuzi kwa ajili ya propaganda na uongo uongo wa mwingi.

Ingekuwa leo ni mwamuzi wa hapa kwetu,angelaumiwa Karia sana.
Lakini hizi ndiyo mechi za kimataifa
Watasema karia msomali anawajali jirani zake
 
Back
Top Bottom