ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi
Mkataba wake unakoma June, 2025
Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao
Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa
Silla ni mchezaji wa kawaida mno
Tushapigwa Kwa Dube tusichukue tena wavimba macho wengine
Mkataba wake unakoma June, 2025
Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao
Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa
Silla ni mchezaji wa kawaida mno
Tushapigwa Kwa Dube tusichukue tena wavimba macho wengine