Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama ameagaNani anatemwa?.
Nishatulia mletewe silah aliwaua bacca akala umeme au sio game ile!Tulia kolo
Huyo atakaye toa hiyo pesa kwa garasa lile atakuwa chizi!Azizi ki anauzwa billion 3
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nimecheka mnooHii inaitwa kama huwezi kumzuia mnunue🤣
Na anaweza akaenda uto game zidi ya Azam akajifunga😃
Hapo ndo utajua jasiri haachi Asili😂
Yupo alipo nkonkoniVipi Chikwende yupo wapi?.
Msyuuu hebu lala maana ushaanza kupagawa..Jobe aliwafunga ngapi?
Haya mambo ni magumu sana🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nimecheka mnoo
Sawa mjukuu wa mzee magoma...😃😂🤣Sawa mwanachama mtiifu wa Rage
Tena Chama wamshukuru sana kwa kuwasaidia kuishia Robo Fainali! 😀😀😀😀Bonge la mchezaji kama Chama 😁
Kamala ndio nani?Chama akapiga free kick dk ya 87
Kamala akaitema
Beki T Kijili akajifunga😂
Jobe Ayubu Kwasakwasa.Ndo Jobe
Kizazi cha Azam TV hakiwezi kumjua Jobe Ayub "Kwasakwasa"Jobe Ayubu Kwasakwasa.
Unao ubavu wa kupingana na rais wewe?Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi
Mkataba wake unakoma June, 2025
Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao
Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa
Silla ni mchezaji wa kawaida mno
Tushapigwa Kwa Dube tusichukue tena wavimba macho wengine
Engeneer kalogwa mze! Sajili zake nyingi misimu hii 2 zinafeli, anashindwa kuelewa Yanga wana wachezaji wazuri ukitaka kusajili sajili mchezaji mzuri zaidi ya waliopo, na siyo unasajili kina Ikombolo na wafukuza upepo!Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi
Mkataba wake unakoma June, 2025
Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao
Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa
Silla ni mchezaji wa kawaida mno
Tushapigwa Kwa Dube tusichukue tena wavimba macho wengine