Eng Hersi usijaribu kumsajili Djibril Silla wa Azam

Eng Hersi usijaribu kumsajili Djibril Silla wa Azam

Engeneer kalogwa mze! Sajili zake nyingi misimu hii 2 zinafeli, anashindwa kuelewa Yanga wana wachezaji wazuri ukitaka kusajili sajili mchezaji mzuri zaidi ya waliopo, na siyo unasajili kina Ikombolo na wafukuza upepo!
🤣😂
 
Back
Top Bottom