Eng Hersi usijaribu kumsajili Djibril Silla wa Azam

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Djibril Sillah amegoma kuongeza mkataba pale Chamazi
Mkataba wake unakoma June, 2025

Inaelezwa kuwa Djibril Sillah yupo kwenye mazungumzo na uongozi wa Yanga na uwezekano mkubwa akatua timu ya wananchi msimu ujao

Rai yangu Kwa Eng Hersi na viongozi wengine wasijaribu kusajili hili garasa

Silla ni mchezaji wa kawaida mno
Tushapigwa Kwa Dube tusichukue tena wavimba macho wengine
 
Tulia mafisi wala mizoga kila aliye watoboa mnabeba!
 
Na hivyo mnapenda kuwachukua wanaowafunga Simba..sasa sfr hii mnachukua zimwi linalowatesa nyie wenyewe..maana linawalamba kila mkikutana...hahahhaah
Jobe aliwafunga ngapi?
 
Na hivyo mnapenda kuwachukua wanaowafunga Simba..sasa sfr hii mnachukua zimwi linalowatesa nyie wenyewe..maana linawalamba kila mkikutana...hahahhaah
Hii inaitwa kama huwezi kumzuia mnunue🤣

Na anaweza akaenda uto game zidi ya Azam akajifunga😃


Hapo ndo utajua jasiri haachi AsilišŸ˜‚
 
Nani anatemwa?.
 
Hersi amebanwa na majukumu ya CAF, acha awasainishe walau ambao tayari wameshaletwa bongo, vinginevyo hata hao hatutaweza kuwapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…