Hapo kuna watu wanataka kuingizwa cha kike, kesho watapanda ndege kuonana na huyo mmiliki wa Kaizer chiefs.
Ikumbukwe hawa Kaizer hawana lolote wala hawana maajabu maana juzi tu walipigwa mbili kwa Mkapa kama sikosei, halafu hao ni rafiki zake Hersi.
Hersi akitaka kusajili huwa anasajili kimya kimya, acha makolo wakashikishwe.