blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Ok ipo..Utalisikia jitu linasema linasema hakuna covid Tanzanzania
Unataka tufanyeje!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok ipo..Utalisikia jitu linasema linasema hakuna covid Tanzanzania
kijinga Stpid wewe umeelewa nini?What do u mean!? Uchochezi wa kijinga!?
Hawa jamaa jina hili la nyumbu linawastahili kabisa!Yaani nyumbu badala ya kuchukua hatua kujikinga wanahangaika kulazimisha waambiwe ipo. Acheni ujuha jikinge wewe na ndugu zako endelea na maisha!
Juzi nilikua kwenye pantoni na mask yangu nyomi kibao, watu wakawa wananishangaa, na wengine wanaongea unawasikia kabisa wanaambizana, "hawa wanaovaa mask ndo vibaraka was mabeberu hawa".Chukua tahadhari individually au mpk muambiwe na Sirikali?
Nashangaa sana na watu, kama serikali imekaa kimya haikufanyi wewe usjichukue tahadhari wewe ndio kichwa cha family panga mambo yako na sheria zako ya serikali waachie wenye mamlaka. Hata kama serikali itasema ndio watu hawatakufa?? mbona jamii za ki asia hata wazungu wanavaa mask kwani wameambiwa na mtu? hakuna sheria imekataza mtu kuvaa mask au kuepuka mikusanyiko.Chukua tahadhari individually au mpk muambiwe na Sirikali?
Watu wanazidi kwenda kwa mtu fulani kutopenda kuweka wazi hali ya afya nchini, alaaniwe kwa ushenzi huu.😷😷😷😷😷
acha iwe kwani kupost shingi ngapiR.I.P Engineer Mushubila
Kila mtumishi wa serikali anayekufa akija kuandikwa humu JF si itakuwa ni vurugu sasa?
Ya kweli haya? Kama ni kweli basi ni Kweli. Ninaomba watanzania waambiwe hakuna COVID ila iliyopo jirani ni hatari hivyo tuchukue tahadhari na wote tuambiwe kuvaa Baraka na sanitizer na hatua nyinginezo ikiwemo mikusanyiko isiyo ya lazima. Kimya kingi kitaua wengi ndugu zanguni. Kwani nasema uongo?Sanitaizer imefika mpaka Chato,wageni leo wamepimwa na kupewa sanitaizer...RIP na pole kwa wafiwa
Na kiongozi ukuonekana na mask maana yake uko kinyume na boss wako. Yaani wana risk afya zao kwa woga. Mungu wasaidie.Watu wanazidi kwenda kwa mtu fulani kutopenda kuweka wazi hali ya afya nchini, alaaniwe kwa ushenzi huu.
Hivi wanachoficha ni kitu gani, kwani kuumwa ni dhambi? Hapa watawala wanafeli sana...
What do u mean!? Uchochezi wa kijinga!?