TANZIA Eng. Mushubila wa TANROADS afariki dunia

TANZIA Eng. Mushubila wa TANROADS afariki dunia

Yaani nyumbu badala ya kuchukua hatua kujikinga wanahangaika kulazimisha waambiwe ipo. Acheni ujuha jikinge wewe na ndugu zako endelea na maisha!
Hawa jamaa jina hili la nyumbu linawastahili kabisa!
 
Huko katika project kama wanajipenda basi inabidi wafanye vipimo vya corona sio kitu kibaya. Mimi niko na kampuni ili uriport ni lazima ufanye kipimo kufanya usalama wa wafanyakazi wote.

Sasa hatari hapa ikiwa mtu kama mtu hutachukuwa tahadhari kulinda family yako kwamba mimi nimekuwa expose mazingira fulani nijitenge ili kuepusha balaa kwa wengine. na lazima tujuwe wengi wanapata lakini bila kupata madhara yoyote na wengine inawachukuwa vibaya Haina maana kupata wewe labda hujisikii kitu unaweza kumpa mtu mwingine ikamletea shida,

kikubwa usjiwazie wewe tu ndio maana wanaweza kupata watu 50 na wawili tu wakapata tabu lakini haina maana tuchukuwe risk ni kila mtu kutumia akili bila kuongozwa na mtu. TUJIONGEZE
 
Chukua tahadhari individually au mpk muambiwe na Sirikali?
Nashangaa sana na watu, kama serikali imekaa kimya haikufanyi wewe usjichukue tahadhari wewe ndio kichwa cha family panga mambo yako na sheria zako ya serikali waachie wenye mamlaka. Hata kama serikali itasema ndio watu hawatakufa?? mbona jamii za ki asia hata wazungu wanavaa mask kwani wameambiwa na mtu? hakuna sheria imekataza mtu kuvaa mask au kuepuka mikusanyiko.

Tatizo labda ni ile hali ya serikali kuacha mikusanyiko mikubwa kama clubs watu wanahemeana na au matamasha ya muziki hilo jukumu lao. Wewe jiangalie kama wewe na family yako jikinge, sio kwamba huwezi kupata unaweza kupata ila umekuwa umefanya juhudi kujikinga mengine tumuachie Mungu.
 
Sanitaizer imefika mpaka Chato,wageni leo wamepimwa na kupewa sanitaizer...RIP na pole kwa wafiwa
Ya kweli haya? Kama ni kweli basi ni Kweli. Ninaomba watanzania waambiwe hakuna COVID ila iliyopo jirani ni hatari hivyo tuchukue tahadhari na wote tuambiwe kuvaa Baraka na sanitizer na hatua nyinginezo ikiwemo mikusanyiko isiyo ya lazima. Kimya kingi kitaua wengi ndugu zanguni. Kwani nasema uongo?
 
N
Watu wanazidi kwenda kwa mtu fulani kutopenda kuweka wazi hali ya afya nchini, alaaniwe kwa ushenzi huu.
Na kiongozi ukuonekana na mask maana yake uko kinyume na boss wako. Yaani wana risk afya zao kwa woga. Mungu wasaidie.
 
Korona haipo mbona wageni kutoka ethiopia wamepewa sanitizer.. je rais anawajali wageni kuliko raia wake?
 
Back
Top Bottom