TANZIA Eng. Mushubila wa TANROADS afariki dunia

TANZIA Eng. Mushubila wa TANROADS afariki dunia

Sasa ndugu yangu hili unajuwa haliwezekani, Mkuu kila mara anatumia nguvu hata katika kampeni kuwa hakuna corona sababu ya maombi mpaka juzi amekuwa anasisitiza hilo kwa maana hiyo hawezi kugeuka kauli zake itaonekana wana responsibilty katika haya yaliyotokea ila kwa bahati mbaya viongozi wote mpaka chama waoga kusema ukweli. Hili hawatasema tufe mpaka basi ugonjwa ukimbie wenyewe. Jichunge na chunga family yako na watu wako.

Mkuu ninakuelewa.

Ndani ya uwezo wangu ninajitahidi kujihami na ugonjwa huu. Bila ya hofu pia ninawahamasisha wote naoweza kuwafikia. Katika jamii ya majuha sote hatuwezi kuwa majuha.

Kwenye note ya pili ya maelezo yako: kwa hakika ufafanuzi zaidi ulioutoa, mbona hiyo ndiyo iliyo tafsiri halisi ya neno "insanity" kutokea katika lugha ya mabeberu?

What a shame to be driven by insanes!

No wonder we are in this situation at last.
 
A a, tuchukulie kwamba hali inalazimisha iwe hivyo, hebu to a ushauri wako kwa hatua ambazo watu wanapaswa kuanza kuchukua kuanzia hivi sasa kabla ya hiyo tarehe 10 kufika. Usiongee tu mambo kutoka hewani. Fafanua na hatua za kuchukua. Jukumu la Serikali: "Total lockdown, JWTZ take full charge to enhance the order". The issue is extremely rampant!

Kwamba kuanza kushauri jiwe si bora ingekuwa kushauri binadamu?

Pana ugonjwa hatari unauwa baina yetu, kwani hata tuko kisiwani basi? Kwani sisi wa kwanza kuchukua hatua kuhami watu wetu?

Kama nia ipo tunashindwa kujifunza hata kutoka kwa wenzetu na wengine hata walio hohehahe kabisa kuliko sisi? Tumebakia kujidanganya kuwa Mungu katenda maajabu. Wako wapi wapendwa wetu wengi tu?

Kwa hakika hatuna udhuru wowote kuwa nini hatujui wala nini. Yote yanafahamika ni ukichwa jiwe tu na hilo ndiyo lililo angamio letu.

Wenzetu wameagiza chanjo tayari kuanza kuhami walio hatarini zaidi yaani watumishi wa afya na wazee.

Sisi tumeagiza midege. What a contrast?!
 
Kuna harufu ya barakoa au nasema uongo ndugu zangu ?
Hiyo harufu ianzie kwako na ndugu zako. Kuna mpumbav mmoja juzi ananipigia akishangilia uzushi wa korona nchini. Nilimtukana sio siri.

Watu tunasali kila siku tuepuke hiki kikombe nyie mnavuta hatufu ya barakoa. Ingekuwa barakoa ni suluhisho wazungu wangekufa kama kuku vile?

Acheni upumbavu
 
Hiyo harufu ianzie kwako na ndugu zako. Kuna mpumbav mmoja juzi ananipigia akishangilia uzushi wa korona nchini. Nilimtukana sio siri.

Watu tunasali kila siku tuepuke hiki kikombe nyie mnavuta hatufu ya barakoa. Ingekuwa barakoa ni suluhisho wazungu wangekufa kama kuku vile?

Acheni upumbavu
Mbona povuuu mkuu nn shida ?
 
Juzi nilikua kwenye pantoni na mask yangu nyomi kibao, watu wakawa wananishangaa, na wengine wanaongea unawasikia kabisa wanaambizana, "hawa wanaovaa mask ndo vibaraka was mabeberu hawa".
Na wewe ungewashangaa jinsi ambavyo hawajavaa barakoa na nyomi yote hiyo ya Kigamboni
 
Back
Top Bottom