Eng Victor: Namshukuru Mungu kwa Ujasiri alionipa wa kujiokoa na kuokoa wengine kwenye Ndege, naelekea Muhimbili kwa matibabu zaidi

Kwahio Majaliwa alipiga mlango upi kwa kasia ukafunguka? Au kulikuwa na milango miwili?
Pumbavu zake yule kijana muhuni wa kijiweni aliwachota vilaza wakachoteka. Na hili linanifanya niwaze kama kwa hizi akili tulizochotewa kwa kuukubali uhuni ule kama tutakaa tuendelee kifikra! Yani tunakaa tunakubaliana na upuuzi wa mtu mmoja zero kichwani halafu tunaanza kuupa mapambio.
 
Chama kimeshika hatamu....kwa hisani ya Majaliwa. Na sasa analindwa na koplo mzima.
 
Tukishirikisha akili..
Mlango wa ATR huwezi kufunguliwa na kasia.
Kumbuka mlango wa hii ndege ukifunguka unabadilika kuwa ngazi.
Tena unafunguka kwa kurudi chini
Mkuu umemwanga point moja ya msingi ambayo watu hawaioni,
 
Ina maana system ya ndege bado ilikuwa inafanya kazi hata baada ya ndege yenyewe kusambaratika kiasi kile!?
Wataalam tupeni "ilim"
Emergency exit inafunguliwa manually tu sio kwamba Kuna kitufe kinahitaji umeme au mfumo wa kilektroniki ila tu inahitaji utaalamu Ili kuweza kuung'oa maana una maeneo ya kuulegeza kabla ya kuusukuma nje
 
Nlichogundua waTanzania hampendi facts! Sasa Engineer anayesafirishwa kwa ndege kweli anahitaji ajira ya zimamoto more over million 5? Sidhani.

Media ndio imemhoji otherwise sijaona aliposema anataka attention au recognition na serikali
Kweli kabisa!
 
Victor anasema muda wote wa Uokoaji alikuwa ameuzuia mlango kwa mkono takribani Dakika 40-60 na baada ya kuhakikisha Watu wote wametoka aliuachia mlango Ukajifunga kwa sababu ni wa hydroulic
Dakika au Sekunde ?, Si angeweka kitu kama Kasia au mikono yake haikuchoka ?

Unajua dakika 60 ni saa nzima ? Kwahio yeye katika Uokozi huu alishiriki kushikilia mlango ?

Hii kitu tangia itokee inaleta maswali mengi kuliko majibu na huenda ukweli mwisho wa siku ukawa ni wa version kama tano au sita hivi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…