Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini gharama ya kumwaga oil kila 2000-3000km inazidi gharama ya kununua long life engine oil. Ni vile hatupigi hesabu za mbali.Kila ukivuta stick unaona kitu iko safi? Hizo ndio Oil za kuweka aisee sema umaskini tu unasumbua wamatumbi wenzangu
Kimsingi hii imenigusa sana yani! Ni upuuzi kumwaga oil mara 3 kwa 180,000 wakati kwa 100,000 tu unaweza kudunda nayo miezi 3Lakini gharama ya kumwaga oil kila 2000-3000km inazidi gharama ya kununua long life engine oil. Ni vile hatupigi hesabu za mbali.
Nimetembea miezi 6. Tangu nifanye service December 2020 nimekuja kufanya service tena few days agoKimsingi hii imenigusa sana yani! Ni upuuzi kumwaga oil mara 3 kwa 180,000 wakati kwa 100,000 tu unaweza kudunda nayo miezi 3
Thats a great amount of space sema nzuri kama gari haina leaks maana viscosity ya hio oil ni nyepesi sanaNimetembea miezi 6. Tangu nifanye service December 2020 nimekuja kufanya service tena few days ago
Mkuu grade ya oil imewekwa kutokana na hali ya hewa. 5W30 iko poa kwenye cooler regions (Manufacturers wengi wanaweka hii kutokana na mazingira yao, watumiaji wengi ughaibuni hua wanabadili oil grade ikifika winter au summer) but kwa joto la bongo, kuna muda inakua kama maji, viscosity inapungua, engine damage itatokea in the longrun (dalili hua zinaanza na leakage). 5W40/10W40 kwa bongo zinafaa. Kwa engine ilozeeka, 20w50 bongo itafaa.Sana aisee jawabu ni 5W~30 nothinG more
Msaada IST CC 1500 nitumie Oil ipi Mkuu?Tumia 5w40
Wakikujibu, tafadhali naomba Kujua pia Kiasi cha Oil IST CC 1500.Hello!
Naomba ufafanuzi juu ya lita za injini oil ngapi yafaa kuweka katika gari:
Aina: Toyota crown Athlete
Injini size: 2490cc
Yom: 2006
Maana nimeona google ni lita 6.6 lakini kuna mafundi wana sema lita 6 na wengine lita 5.8. Pia humu sijaona kutolewa ufafanuzi zaidi ya ufafanuzi wa recommended oil viscosit ya 5W40
Pia je oil za uturuki kama Afroturco Lubricants Zafaa kwa alietumia? Maana kuna changamoto nimeambiwa hizi oil zenye majina kama total Quartz, Castrol et al inabidi ujitahidi sana kununna kwa maajent kwani zinachakachuliwa sana na wauzaji wadogo wadogo
RRONDO
Extrovert
et al
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134]20w50 sio mbaya ila sio long life. 5w20 haifai kabisa kwa gari hio.
5w 30Msaada IST CC 1500 nitumie Oil ipi Mkuu?
5w 30