Ndio maana nkasema sio mtaalamu wa bei, lakini niliwahi kuulizia engine ya Spacio (nafikiri ni same engine na ist) nikaambiwa 2M.....2m imekuwa injini ya treni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nkasema sio mtaalamu wa bei, lakini niliwahi kuulizia engine ya Spacio (nafikiri ni same engine na ist) nikaambiwa 2M.....2m imekuwa injini ya treni?
Mcheki 0714045070 anauza injini pale ilala hutajutaNdio maana nkasema sio mtaalamu wa bei, lakini niliwahi kuulizia engine ya Spacio (nafikiri ni same engine na ist) nikaambiwa 2M.....
Nahitaji Bodykits za Altezza zile za pembeni mbili, unamjua yeyote mkuu? Nikihitaji engines nitamchekiMcheki 0714045070 anauza injini pale ilala hutajuta
Mcheki huyo huyo mpembaNahitaji Bodykits za Altezza zile za pembeni mbili, unamjua yeyote mkuu? Nikihitaji engines nitamcheki
Usikute unayoita gari ni "PASSO"Nakubaliana na wewe mkuu nilinunua engine mpya ilinitesa hadi nikauza gari,
khaa....jamaa unadharau wewe....kumbuka hakuna chombo cha moto kinachouzwa laki mbili...Usikute unayoita gari ni "PASSO"
Mkuu acha dharau.Usikute unayoita gari ni "PASSO"
hahahahaUsikute unayoita gari ni "PASSO"
kiongozi nimemcheki lakini amenambia hana bodykitsMcheki huyo huyo mpemba
Ni kweli sina BAISKELI ya nn kwangu?Mkuu acha dharau.
Sijawai kumiliki Passo ila siwezi kuidharau kama unavyofanya, inaonekana huna hata baiskeli
Subiri punde nitakuulizzia nitakupa na contacts. Ila njia nzuri Ni wewe mwenyewe kuzunguka madukani hususani Ilala au Tandalekiongozi nimemcheki lakini amenambia hana bodykits
Msaada bei ya gear box nissan caravan QD 32 manual,nnaweza kupata kwa bei gan?
Sent using Jamii Forums mobile app
2017 nilipata 7A kwa 1.3m complete. Tafuta fundi ambae ndo atabadilisha hilo jiko au unadhani utaweza kubadili kwa kuangalia Youtube. acha ubahiliWakuu kwa engen ya 7a_fe hapo ilala ntaipata kwa kiasi gani? na je nitaijuaje engen hii bado iko poa au imechoka? na zinapokuja hizo engen zinakuwa zimeandikwa zimetembea umbali gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida si ubahili ninachotaka kujua je nikipacho ndio chenyewe kiubora kutokana na maswali yangu.2017 nilipata 7A kwa 1.3m complete. Tafuta fundi ambae ndo atabadilisha hilo jiko acha ubahili
Una utaalamu wa mambo ya magari au kama mimi dereva honi?Shida si ubahili ninachotaka kujua je nikipacho ndio chenyewe kiubora kutokana na maswali yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko visiwani mkuu ndo shida yenyeweSubiri punde nitakuulizzia nitakupa na contacts. Ila njia nzuri Ni wewe mwenyewe kuzunguka madukani hususani Ilala au Tandale
Jamaa anauza engine kwa bei yaghari kweli 5A ya corolla anauza M. 1.8 nimechoka kabisaaMcheki 0714045070 anauza injini pale ilala hutajuta