Engineer Hersi akili na personality yake hastahili kuwepo kwenye football ya Tanzania

Gifted with oratorical speech,i love this young guy,the president of young african football club of Tanzania.
 
hadhi yake ni kubwa kuliko kukaa na vilaza huku kwenye mpira wetu unaoendeshwa kihuni huni!
Sasa kama unalikiri hili si anapaswa kuwa huko kuondoa hao vilaza na kufanya kuendeshwe bila uhuni? Mtu bora anapelekwa sehemu bora au sehemu isiyo bora ili akapaboreshe? Matokeo ya ubora wake yataonekana vp kama atapelekwa mahala palipoboreshwa na wenzake?
 
Mjadala umeufunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…