Engineer Hersi ashinda Uenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika African Clubs Association, hongera kijana

Engineer Hersi ashinda Uenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika African Clubs Association, hongera kijana

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
1701356051836.png

Haya haya tuliopigwa mabao 5, tulisema sisi ni wakubwa tukawa tunawadanganya wanachama kuwa sisi ni wakubwa, sasa Leo huko CAF rais wa Yanga Injinia Hersi ameshinda Uenyekiti wa vilabu Afrika na ndio Rais wa kwanza wa African clubs.

Ameshinda huku Try again akiwa anaangalia, tuendelee kujiita wakubwa.
 
Kila siku unaendelea kuweka alama ya kiuongozi licha ya umri wako mdogo, kuiongoza Yanga kimafanikio na kwa uweledi ni moja ya chachu iliyokufanya ukubalike na viongozi wenzako wa vilabu BARANI AFRIKA na kukupa nafasi iyo adhimu!

Endelea kuchapa kazi na uwekeze kwenye vitendo zaidi badala ya maneno, tunaamini unatengeneza njia nzuri zaidi kuzikwaa nafasi nyeti kwenye uongozi wa soka la Afrika!

Kipindi unaingia yanga walikuita mhuni, msela na majina mengine mengi lakini unawaonyesha kwamba uko very smart kwenye suala la kiuongozi na unaendelea kuwafunga midomo, ikumbukwe kwenye mkutano huo pia aliudhuria mwenyekiti wa Simba bwana Try again!
 
Tumetoka kusema juzi hapa, hizo shughuli zote hastahili kwenda huyo Salim kwa cheo chake wala kwa uwezo wake binafsi. Kajula ndiye mtendaji wa shughuli za kila siku za Simba na ana ucheshi na pia anazungumza kiingereza kilichonyooka ila wamemfanya CEO wa kufungua magroup ya whatsapp.
 
Sawa Vp Nafasi Hiyo Ina Lolote La Kusaidia Taifa Ama Namna Gani
 
Kila siku unaendelea kuweka alama ya kiuongozi licha ya umri wako mdogo, kuiongoza yanga kimafanikio na kwa uweledi ni moja ya chachu iliyokufanya ukubalike na viongozi wenzako wa vilabu BARANI AFRIKA na kukupa nafasi iyo adhimu!

Endelea kuchapa kazi na uwekeze kwenye vitendo zaidi badala ya maneno tunaamini unatengeneza njia nzuri zaidi kuzikwaa nafasi nyeti kwenye uongozi wa soka la afrika!

Kipindi unaingia yanga walikuita mhuni, msela na majina mengine mengi lakini unawaonyesha kwamba uko very smart kwenye suala la kiuongozi na unaendelea kuwafunga midomo, ikumbukwe kwenye mkutano huo pia aliudhuria mwenyekiti wa Simba bwana Try again!
Mhuni Ni mhuni tu.
 

Haya haya tuliopigwa mabao 5, tulisema sisi ni wakubwa tukawa tunawadanganya wanachama kuwa sisi ni wakubwa, sasa Leo huko CAF rais wa Yanga Injinia Hersi ameshinda Uenyekiti wa vilabu afrika na ndio Rais wa kwanza wa african clubs.

Ameshinda huku Try again akiwa anaangalia, tuendelee kujiita wakubwa
Hersi anapata urais baada ya wengine waliotakiwa kukataa.

Try Again kasema siyo kilichompeleka huko.

Katumbi kakataa,alibadilisha mawazo.

Mamelod wakasema hawajafikiria hilo, not interested.

Klabu ambazo zilitakiwa uraisi Ni:

Al Ahly
Simba
Horoya
Asec Mimosas
Sundowns
To Mazembe

Wote alikataa.
 
Hersi anapata urais baada ya wengine waliotakiwa kukataa.

Try Again kasema siyo kilichompeleka huko.

Katumbi kakataa,alibadilisha mawazo.

Mamelod wakasema hawajafikiria hilo, not interested.

Klabu ambazo zilitakiwa uraisi Ni:

Al Ahly
Simba
Horoya
Asec Mimosas
Sundowns
To Mazembe

Wote alikataa.
Leta supporting documents hapa
 
Hersi anapata urais baada ya wengine waliotakiwa kukataa.

Try Again kasema siyo kilichompeleka huko.

Katumbi kakataa,alibadilisha mawazo.

Mamelod wakasema hawajafikiria hilo, not interested.

Klabu ambazo zilitakiwa uraisi Ni:

Al Ahly
Simba
Horoya
Asec Mimosas
Sundowns
To Mazembe

Wote alikataa.
Hahahahaha..hii umeitafsiri sio yako ,..
 
Hersi anapata urais baada ya wengine waliotakiwa kukataa.

Try Again kasema siyo kilichompeleka huko.

Katumbi kakataa,alibadilisha mawazo.

Mamelod wakasema hawajafikiria hilo, not interested.

Klabu ambazo zilitakiwa uraisi Ni:

Al Ahly
Simba
Horoya
Asec Mimosas
Sundowns
To Mazembe

Wote alikataa.
Wacha weeeee
 
Hersi anapata urais baada ya wengine waliotakiwa kukataa.

Try Again kasema siyo kilichompeleka huko.

Katumbi kakataa,alibadilisha mawazo.

Mamelod wakasema hawajafikiria hilo, not interested.

Klabu ambazo zilitakiwa uraisi Ni:

Al Ahly
Simba
Horoya
Asec Mimosas
Sundowns
To Mazembe

Wote alikataa.
Wivu ni mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom