Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

Mwalimu wako shuleni alikuwa na kazi sana.. wapi nimesema ukicheza mazembe unakuwa grade A

Soma comment zangu za nyuma vizuri.. nimeandika timu vigogo africa zina grade A players wengi hasa 1st eleven zao... hakuna sehemu niliyosema wachezaji wote wa timu vigogo ni grade A... mifano ya mazembe nimetaja majina ya wachezaji watatu tu.. sasa wewe unataja timu nzima ya mazembe.. nimemtaja ben malango ambaye aliuzwa sasa hivi yuko raja.. na nikasema timu za tanzania huwezi kuona zinaenda mazembe kumnunua mtu kama ben malango ama muleka.. nikatoa mfano wa samatta jinsi alivyopanda grade.. na nikasema hata alivyofika mazembe alikuwa anatokea benchi mwanzoni . Ila samatta akakaza na akapanda grade akawa anawasumbua.. mifano yangu nimetaja wachezaji bora tupu.. wewe unataja majina ya wachezaji wanaotokea benchi hizo timu kubwa


Nikauliza swali lini umewai kusikia timu kutoka Tanzania imeenda kwa timu kubwa africa na kumsajili mchezaji tegemezi wa hiyo timu kubwa kama raja walivyofanya kwa ben malango... mchezaji akija kucheza tanzania kutoka timu kubwa ni anakuja kwa mkopo ama amechwa kule na timu kubwa hana namba ya kuanza.. hakuna mchezaji grade A wa timu kubwa anaekuja Tanzania kwa kununuliwa maana thamani ya wachezaji grade A wa timu kubwa ni bei juu sana hatuna bajeti hiyo

Timu kubwa pia zina grade b players pia.. ila zinafanya vizuri sabab wana grade A players wengi katika timu zao... huku sisi hatuna grade A players hata mmoja
Hata Vita na Mazembe wana sajili wachezaji grade C tena kutoka Tanzania, tena wazee, waliochoka, na wameshindwa kuongezewa mikataba, kwa taarifa tu mwaka jana Vita imesajili mchezaji aliye achwa na Simba Zana Coulibaly, na mwaka huu wamesajili mchezaji aliyeachwa na Simba Deo Kanda. Hao Mazembe mwaka jana wamesajili mchezaji aliyeachwa na Azam Hamisi Singano (Mesi)
 
Nami hapa nina hoja kidogo. tuchukulie mfano mauzo ya jezi za timu kwa msimu ni laki tano (500,000/=). Kwa bei ya sasa jezi moja ni wastani wa elfu thelasini (30,000/=). jumla ya pesa ya mauzo ya jezi ni 500,000 x 30,000=15,000,000,000/=. Uwekezaji wa MO kwa mwaka ni bilioni 3 na mauzo ya jezi kwa msimu mmoja ni bilioni 15.
Wajanja wameona fursa za kupiga pesa kwenye industry ya mpira,cha msingi mashabiki tupate raha tu.
 
Hata Vita na Mazembe wana sajili wachezaji grade C tena kutoka Tanzania, tena wazee, waliochoka, na wameshindwa kuongezewa mikataba, kwa taarifa tu mwaka jana Vita imesajili mchezaji aliye achwa na Simba Zana Coulibaly, na mwaka huu wamesajili mchezaji aliyeachwa na Simba Deo Kanda. Hao Mazembe mwaka jana wamesajili mchezaji aliyeachwa na Azam Hamisi Singano (Mesi)

Maana wewe umejibu hoja aliyopaswa kujibu niliyemquote... inabidi nikuulize.. wapi nimekataa kwamba timu kubwa hazina wachezaji wa grade za chini?
 
Professionally, Hersi ni Structural Engineer, na ni mwajiriwa wa GSM, na ni one from GSM's Top Management Team Members.

Yupo GSM kwa miaka mingi tu na wala sio kwamba yupo pale kwa ajili ya Yanga kama wengine wanavyojaribu kumaanisha!

Anafahamika sasa kama ambavyo wengine wote inavyokuwa pindi wanapoingia kwenye sports industry! Na kufahamika kwake kunatokana na GSM kuonesha nia ya kununua hisa za Yanga kama alivyofanya Mo kwa Simba.

Na kwavile GSM hivi sasa wanahusika moja kwa moja na shughuli za Yanga, ndipo ulionekana umuhimu kama sio ulazima wa kuwepo mwakilishi wa GSM pale Yanga ambae kwa upande huo Hersi mwanzoni alichaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, na kwa sasa nadhani anahudumu kama Mwenyekiti (or Makamu) wa Kamati ya Usajiri ya Yanga na pia Mjumbe wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga... yaani from 100% Yanga Wanachama to Yanga owned by shares (kampuni).

Shahada yake ya structural engineering amechukulia DIT
Kwa kuongezea, pale DIT idara ya Building &Civil/Highway Engineering alikua mchezaji tegemeo idarani. Mpambano ulikua mkali kati ya Idara ya Ujenzi na Umeme!
 
Nami hapa nina hoja kidogo. tuchukulie mfano mauzo ya jezi za timu kwa msimu ni laki tano (500,000/=). Kwa bei ya sasa jezi moja ni wastani wa elfu thelasini (30,000/=). jumla ya pesa ya mauzo ya jezi ni 500,000 x 30,000=15,000,000,000/=. Uwekezaji wa MO kwa mwaka ni bilioni 3 na mauzo ya jezi kwa msimu mmoja ni bilioni 15.
Wajanja wameona fursa za kupiga pesa kwenye industry ya mpira,cha msingi mashabiki tupate raha tu.
Hapana haiko hivyo, mfano yanga jezi ilikuwa inauzwa elfu 35 na Gsm ndio watengenezaji na ni wasambazaji, kwa hiyo kwenye hiyo elfu 35 yanga km yanga walikuwa wanapata karibia elfu 5[na haiwezi kuzid hiyo elfu 5 kwa jezi] sina wakika vzr maana nilishasahu, ukifatilia vzr kwenye huu uzwaji wa jezi vilabu vinapata hela ndogo sana ila viongozi waliosuka ilo dili ndio wanapiga hela
 
Usipende kufuatilia mpira vibanda umiza.
Horoya ni timu kubwa kuliko Simba, jua hilo sasa.
Huyo jamaa ni mtupu alafu anajidai mjuaji, Horoya imeanzishwa 1975, Simba imeanzishwa miaka ya 1930,
Horoya ina vikombe zaidi ya 30 tokae ianzishwe, na imechukua Africa cup 1978, Horoya ina uwanja wake wenye capacity 25,000.
Hakuna cha Simba wala Yanga wa kuifananisha na Horoya, tuache ushabiki wa kitoto.
 
Jeuri anayo fanya GSM kwenye mpira imewachanganya sana Mbumbumbu fc. GSM walishatoa angalizo Apo awali wakisema uwezo wa kusajili wachezaji daraja (A) kwa apa Afrika hawana Ila daraja (B) wanao na nimkweli wametimiza walicho sema. Upande wa pili wanapambana kusajili wakina Josh Onyango na wachezaji walio huru.
Hahahaha
 
Mamakonde alitolewa kwa mkopo mamelodi sababu kuna wachezaji wanaomzidi kiwango wengu.. niambia mchezaji gani wa ligi ya Tanzania timu zote anaweza akaanza katika first eleven ya mamelodi sundown, tp mazembe,waydad, raja, enyimba etc... Tanzania hatuna grade A player katika ligi yetu.. wageni wote waliojaa ni grade B player. Ndio maana tunawanunua kutoka gormahia, ud songo etc etc... ushawai ona mchezaji wa kutegemewa wa timu kubwa africa kama mazembe ama mamelodi ananunuliwa na timu ya Tanzania
Asipokuelewa na hapa tafadhaaali sana naomba umuache.
 
Mwalimu wako shuleni alikuwa na kazi sana.. wapi nimesema ukicheza mazembe unakuwa grade A

Soma comment zangu za nyuma vizuri.. nimeandika timu vigogo africa zina grade A players wengi hasa 1st eleven zao... hakuna sehemu niliyosema wachezaji wote wa timu vigogo ni grade A... mifano ya mazembe nimetaja majina ya wachezaji watatu tu.. sasa wewe unataja timu nzima ya mazembe.. nimemtaja ben malango ambaye aliuzwa sasa hivi yuko raja.. na nikasema timu za tanzania huwezi kuona zinaenda mazembe kumnunua mtu kama ben malango ama muleka.. nikatoa mfano wa samatta jinsi alivyopanda grade.. na nikasema hata alivyofika mazembe alikuwa anatokea benchi mwanzoni . Ila samatta akakaza na akapanda grade akawa anawasumbua.. mifano yangu nimetaja wachezaji bora tupu.. wewe unataja majina ya wachezaji wanaotokea benchi hizo timu kubwa


Nikauliza swali lini umewai kusikia timu kutoka Tanzania imeenda kwa timu kubwa africa na kumsajili mchezaji tegemezi wa hiyo timu kubwa kama raja walivyofanya kwa ben malango... mchezaji akija kucheza tanzania kutoka timu kubwa ni anakuja kwa mkopo ama amechwa kule na timu kubwa hana namba ya kuanza.. hakuna mchezaji grade A wa timu kubwa anaekuja Tanzania kwa kununuliwa maana thamani ya wachezaji grade A wa timu kubwa ni bei juu sana hatuna bajeti hiyo

Timu kubwa pia zina grade b players pia.. ila zinafanya vizuri sabab wana grade A players wengi katika timu zao... huku sisi hatuna grade A players hata mmoja
Kumbe muda wote nilikuwa naongea na linyani uneducated ndio sababu mgumu kuelewa
 
Horoya ina cheap players kuliko simba.. na imefika semi final caf champions league wakati nyingi mmeishia robo... na mwaka huu tena horoya imefika semi final ya caf confederations cup

Zesco ameshafika semi final pia akiwa na cheap player kuliko simba

Ni sawa na lyon kumtoa man city haimaanishi lyon ni club bora yenye wachezaji wazuri kuzidi man city

Ama wolves kumfunga liverpool ama manchester utd haimaanishi wolves ni timu yenye wachezaji wazuri kuzidi liverpool ama man utd

Kuna kitu kinaitwa bahati pia kwenye soka.. simba mlipata hiyo bahati kama waliyoipata horoya ama zesco

Jiulize kwa nini simba kufika robo fainali ni story kubwa huku mazembe na mamelodi wanafika kila msimu kwa miaka kibao
2011 kama sio 2012 Chelsea ananyanyua ndoo ya UEFA kwa kumuangusha Barca na hatimaye Bayern, kumbuka Bayern na Barca ndo zilikuwa kwenye peak ya hali ya juu saaana.

Hakuna wakati Chelsea ilikuwa weak kama wakati ule, cha ajabu wakanyanyua ndoo.

Kuna mwaka Dortumund alimchapaga Real Madrid 4, Madrid ikiwa imeshiba kabisa kuanzia first eleven mpaka sub.

Madrid alishawahi kulala 6 pale Bernabeu, Madrid akiwa na Ronaldo De Lima, Zinedin Zidane, Figo, Robert Carlos, Iker Cassilas n.k

Kwenye soka nakubaliana na wewe bahati ipo, unaweza ukawa na kikosi bora ila ukapigwa.

Na unaweza kikosi weak lakini ikatoka na matokeo mazuri.

Msimu uloisha tulishuhudia Yanga ikitoa Sare ya 2-2 na Simba, Yanga walikuwa na kikosi gani cha kuto ile draw? Kumbuka hakukuwa na akina Ditrum wala Morrison.
 
Hapana haiko hivyo, mfano yanga jezi ilikuwa inauzwa elfu 35 na Gsm ndio watengenezaji na ni wasambazaji, kwa hiyo kwenye hiyo elfu 35 yanga km yanga walikuwa wanapata karibia elfu 5[na haiwezi kuzid hiyo elfu 5 kwa jezi] sina wakika vzr maana nilishasahu, ukifatilia vzr kwenye huu uzwaji wa jezi vilabu vinapata hela ndogo sana ila viongozi waliosuka ilo dili ndio wanapiga hela
Hizi fedha wanazotumia kusajilia wachezaji, kuandaa siku kama ya kesho, mishahara n.k unataka GSM irudishe kwa namna ipi?
 
Nami hapa nina hoja kidogo. tuchukulie mfano mauzo ya jezi za timu kwa msimu ni laki tano (500,000/=). Kwa bei ya sasa jezi moja ni wastani wa elfu thelasini (30,000/=). jumla ya pesa ya mauzo ya jezi ni 500,000 x 30,000=15,000,000,000/=. Uwekezaji wa MO kwa mwaka ni bilioni 3 na mauzo ya jezi kwa msimu mmoja ni bilioni 15.
Wajanja wameona fursa za kupiga pesa kwenye industry ya mpira,cha msingi mashabiki tupate raha tu.
Tumekuwa ni wepesi wa kulalamika ila huenda tukawa hatuna elimu ya biashara kwa ujumla.

Kuendesha club kama simba au yanga au azam usifikiri ni fedha ndogo ndugu.

Hapo umetamka habari ya jezi tu, unazungumza vipi kuhusu mambo haya?

1. Kusajili wachezaji eneo la kuvunja mikataba, vilabu vyetu vina fedha ya kufanya hizi sajili?

2. Mishahara ya hawa wachezaji wa kigeni, vyanzo vya mapato vya club vinaweza kulipa mishahara hii?

3. Mishahara ya wafanyakazi je? Hapa kuanzia Administration, Management, Department n.k

4. Hujazungumzia operation costs mbalimbali ndan ya Taasisi, mafuta ya gari, kurepair majengo na vifaa n.k

Kama kuna faida wanapata hawa watu basi tambua kuwa sio kubwa sana kifedha zaidi ya wao wenyewe kujitengenezea jina tu.

TP Mazembe Mose Katumbi angebaki na utajiri wake wa madini miaka ya karibuni wala asingekuwa tishio la siasa Congo.

Ila Brand alotengeneza ndani ya Congo kupitia Club ya TP Mazembe ndio ilimpa umaarufu zaidi.

Manji akaja akawa kiongozi Mbagala. Ushawahi kujiuliza kwanini watu kama Kimei wa CRDB licha ya fedha zote walizonazo lakini wanagombea Ubunge?

Matajiri wangapi wanajiingiza ktk siasa? Sitaki nitoe mifano ya mbali, mtazame Mheshimiwa Abood, Aboos ana shida gani na ela za ubunge? Kila baada ya lisaa limoja gari moja inatoka Dar kwenda Moro, na Moro kwenda Dar.

Kuna Shabiby, kuna akina Nimrod Mkono, Andy Chenge n.k hawa wote wana fedha chafu ila unawaona wanataka nafasi tu ili kujijengea heshima ndani ya jamii au kujibrand mwenyewe na kujitengenezea CV.

Hata huyo Abramovic wa Chelsea, wale Maboss wa Man City, PSG hizi club haziwaingizii fedha nyingi saaaana ila tu wameamua kuwekeza kwa ajili ya kutengeneza nafasi ktk jamii.
 
Hizi fedha wanazotumia kusajilia wachezaji, kuandaa siku kama ya kesho, mishahara n.k unataka GSM irudishe kwa namna ipi?
Nilikuwa namjibu jamaa pale juu kuwa hela yote ya jezi inaenda club, kumbe sio kweli,
 
Real betis na levante ni timu ndogo sana na hazina quality players kama real madrid.. ila zote hizi levante na betis zimemfunga real madrid hii season.. hapo unataka kusema levante ni timu bora na ina quality players kuliko madrid

Kikosi cha kwanza cha real madrid kina watu bora tupu na hakuna mchezaji hata mmoja wa levante anaweza akapata namba katika kikosi cha kwanza cha real madrid ila bado wamemfunga madrid nje ndani.

Africa kuna timu vigogo na zina grade A players kibao ila sio ajabu kuona hizi timu zinafungwa na timu zenye grade b na grade c player

Ndio maana nikatoa mfano wa horoya ambaye ana cheap player kuliko hata simba ila amefika nusu fainali caf champions league na kisha msimu uliofata kafika nusu fainali tena ya caf confederations.. na horoya ameshamtoa mazembe robo fainali .. hii haimaanishi horoya ina wachezaji wazuri kuliko mazembe.. bahati ipo pia kwenye mpira... simba mlipata bahati ya kuwafunga al ahly ila kiuhalisia sio level yenu ndio maana wao waliwafunga 5 nyinyi mkawafunga 1
Kwenye mpira bahati ni asilimia 2 tu.. Vingine vyote ni uwezo. Hao Betis pamoja na kumfunga Madrid Je alichukua kombe la Ligi??

Alafu hao Horoya una hakika hawana wachezaji wazuri?? Makambo si alienda huko?? Makambo na Kagere wana tofauti gani??
 
Mpira unachezwa uwanjani ilikuwaje simba iliwatoa timu ya afrika kusini iliyokuwa na kipa aliyecheza world cup, ikawatoa zamalek waliokuwa mabingwa watetezi wa afrika, al ahly ya misri walifungwa taifa wakiwa na wachezaji wanaocheza kwa mkopo to EPL
Hujui unachozungumzs, uwekezaji na thamani ya ligi ya nchi ulizozitaja unaweza kufananisha na ligi ya Tanzania? Atakua mwekezaji mwendawazu anunue mchezaji wa bl.2 amlipe mshahara wa ml.60 kwa mwezi alafu aje kucheza ligi ya Tanzania na asububiri mechi nne za ligi ya mabingwa.
 
Siasa tu zile upewe 1.2B ukatae
While waweza tafuta mchezaji mzuri kwa 300m..
Sasa mfano kimataifa ile beki ya wawa na onyango..
Kipa manula
Striker ilamfya na magulu???

Maana kagere na boko jua lishazama kimataifa.
Mkuu, Dewj ana utajiri wa karibu Trilion 4 huko , billion moja kwake sii kitu kabisa, hapo simba kwa mwaka anatoa pesa yake mfukoni bil 3 kuendesha club,
club yeyote inayotaka kupiga hatua haiwez simama kwa kuuza wachezaj wake muhimu

na kama unadhani ni jambo jepesi kuwapata watu kama Konde boy.. waambie hao waliotoa hiyo bil wawatafute, watawapata watatu

TP Mazembe yenyewe kuuza mchezaj tegemeo ni mziki mzito
 
Hujui unachozungumzs, uwekezaji na thamani ya ligi ya nchi ulizozitaja unaweza kufananisha na ligi ya Tanzania? Atakua mwekezaji mwendawazu anunue mchezaji wa bl.2 amlipe mshahara wa ml.60 kwa mwezi alafu aje kucheza ligi ya Tanzania na asububiri mechi nne za ligi ya mabingwa.
Hivi unaelewa ulichozungumza au umeandika ili mradi uonekane umeandika
 
Siasa tu zile upewe 1.2B ukatae
While waweza tafuta mchezaji mzuri kwa 300m..
Sasa mfano kimataifa ile beki ya wawa na onyango..
Kipa manula
Striker ilamfya na magulu???

Maana kagere na boko jua lishazama kimataifa.
Onyango anatoka kenya anakuja kama akiwa Mchezaji MVP wa kenya premier league.. Ametoka Gor Mahia sio Ndanda

Huyo mkongoman ndani ya msimu mitatu ana goli 44.. hapo hapo amepata injuries ndefu sana, na kufungiwa juu, na sawa tuseme kapata hizo goli kwenye misimu 2, nitafutie wachezaj wenye hizo data hapa Africa wako wangapi.. usipayuke tu
 
Tp mazembe wamemuuza jackson muleka ulaya yule dogo aliempiga kanzu pascal wawa taifa. Dogo ana miaka 21 tu na alikuwa mshambuliaji tegemeo wa mazembe ila imekuja ofa wamemuuza

Na mwaka juzi tp mazembe ilimuuza mshambuliaji wake hatari Ben malango kwenda raja casablanca..

Biashara ya mpira ina faida kubwa sana katika kuuza wachezaji.. ndio maana hata timu kubwa africa zinaipenda biashara ya kuuza.. mmakonde miquissone bongo tunamuona bonge la mchezaji ila mamelodi sundown walimuona hana kiwango kwao wakamtoa kwa mkopo then wakamuuza kabisa
Mamelodi kama wangeona hafai wasingeenda FIFA kudai Mchezaji wao
 
Back
Top Bottom