Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

Engineer Hersi Saidi ni nani haswa?

Horoya ina cheap players kuliko simba.. na imefika semi final caf champions league wakati nyingi mmeishia robo... na mwaka huu tena horoya imefika semi final ya caf confederations cup

Zesco ameshafika semi final pia akiwa na cheap player kuliko simba

Ni sawa na lyon kumtoa man city haimaanishi lyon ni club bora yenye wachezaji wazuri kuzidi man city

Ama wolves kumfunga liverpool ama manchester utd haimaanishi wolves ni timu yenye wachezaji wazuri kuzidi liverpool ama man utd

Kuna kitu kinaitwa bahati pia kwenye soka.. simba mlipata hiyo bahati kama waliyoipata horoya ama zesco

Jiulize kwa nini simba kufika robo fainali ni story kubwa huku mazembe na mamelodi wanafika kila msimu kwa miaka kibao
"Football is mathematical and lucky" kwa mwanamichezo yeyote anaelewa soka anajua hili na hapigi kelele za kipumbavu
 
Professionally, Hersi ni Structural Engineer, na ni mwajiriwa wa GSM, na ni one from GSM's Top Management Team Members.

Yupo GSM kwa miaka mingi tu na wala sio kwamba yupo pale kwa ajili ya Yanga kama wengine wanavyojaribu kumaanisha!

Anafahamika sasa kama ambavyo wengine wote inavyokuwa pindi wanapoingia kwenye sports industry! Na kufahamika kwake kunatokana na GSM kuonesha nia ya kununua hisa za Yanga kama alivyofanya Mo kwa Simba.

Na kwavile GSM hivi sasa wanahusika moja kwa moja na shughuli za Yanga, ndipo ulionekana umuhimu kama sio ulazima wa kuwepo mwakilishi wa GSM pale Yanga ambae kwa upande huo Hersi mwanzoni alichaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, na kwa sasa nadhani anahudumu kama Mwenyekiti (or Makamu) wa Kamati ya Usajiri ya Yanga na pia Mjumbe wa Kamati ya Mabadiliko ya Yanga... yaani from 100% Yanga Wanachama to Yanga owned by shares (kampuni).

Shahada yake ya structural engineering amechukulia DIT
DIT wameanza lini kutoa shahada ya structural Engineering
 
... Upande wa pili wanapambana kusajili wakina Josh Onyango na wachezaji walio huru.
Hapo ndipo Hersi alipofanikiwa kucheza na akili za washabiki wa aina yako, kwamba mchezaji aliye huru hana kiwango kizuri kuliko aliye na mkataba! Nadhani alisema hivyo wakati akivunja mikataba ya akina Tuisila na Tonombe kule AS Vita, lakini huyo huyo Hersi hakusema kitu (maana alijua atakuwa anajicontradict) alipowasainisha wachezaji huru akina Sarpong na Yacouba! Ni ajabu washabiki wa Yanga dizaini yako wameendelea kuamini kwamba wachezaji wanaovunjiwa mkataba ndio wazuri zaidi! Umesahaulishwa kwamba hata Yikpe alinunuliwa kutoka Gor Mahia akiwa na mkataba. Umesahaulishwa kwamba Morrison amechukuliwa kama mchezaji huru. Umesahaulishwa kwamba hata Nchimbi ana mkataba!
 
Mleta mada ametaka kujua Said Hers ni nani? Hayo ya ombwe umeyaleta wewe! Haya turudi kwenye lengo la Thread Said Hers ni Nani?
Maadam mada ipo jukwaa la Sport ...ndio tukamjadili kwa muktadha wa huu ...ukiweka kwa ujumla wake ,wengine watakwambia Ana watoto 10,Ana kimada Buza nk !
 
Siasa tu zile upewe 1.2B ukatae
While waweza tafuta mchezaji mzuri kwa 300m..
Sasa mfano kimataifa ile beki ya wawa na onyango..
Kipa manula
Striker ilamfya na magulu???

Maana kagere na boko jua lishazama kimataifa.
Wewe unaamini kale kamakonde kana thamani hiyo?
 
Kwa sisi Wataalamu ..tunamuona Kama mjanja wa mjini,ambaye kwa kutumia Kampuni ya GSM wameona fursa iliyopo Yanga ....wanaitumia!
GSM sio wajinga ....wamebaini kuwa Wapenzi wa Simba na Yanga wanataka furaha kwenye Soka,Tena leo!
Kwa kuwa hakuna mifumo imara ya uendeshaji iliyowekwa wanaamua kucheza na akili za mashabiki!
Ndio maana walimchukua Senzo kwa gharama yoyote!
Na Senzo ,Kama alivyo Morrison alishabaini kuwa Tanzania Kuna ukichaa Cha Soka na Kuna Fedha zinazagaa...ndio maana wanachuma!
Usishangae June 2021 Senzo akatimuliwa!
Deal Done!Wenyewe wanasemaDone Deal!
Na ili kujiweka sawa kibiashara...mwakani Simba watarajie maumivu kwenye usajili!
Haitaji kumjua Ni Nani ...unahitaji kulijua ombwe lilopo kwenye Soka ...linalofanya Wajanja wachume!
Hapa nimezungumzia Yanga tu....upande wa pili Mambo Ni yaleyale ...Kuna Ombwe,linatumiwa ...hata na wenye skill ya kawaida tu Kama Manara!
Tuendelee kula Mtori nyama zimegandamana ' na bakuli chini!
jakaya alimaliza kabisa ile siku ya wananchi
 
Kwa sisi Wataalamu ..tunamuona Kama mjanja wa mjini,ambaye kwa kutumia Kampuni ya GSM wameona fursa iliyopo Yanga ....wanaitumia!
GSM sio wajinga ....wamebaini kuwa Wapenzi wa Simba na Yanga wanataka furaha kwenye Soka,Tena leo!
Kwa kuwa hakuna mifumo imara ya uendeshaji iliyowekwa wanaamua kucheza na akili za mashabiki!
Ndio maana walimchukua Senzo kwa gharama yoyote!
Na Senzo ,Kama alivyo Morrison alishabaini kuwa Tanzania Kuna ukichaa Cha Soka na Kuna Fedha zinazagaa...ndio maana wanachuma!
Usishangae June 2021 Senzo akatimuliwa!
Deal Done!Wenyewe wanasemaDone Deal!
Na ili kujiweka sawa kibiashara...mwakani Simba watarajie maumivu kwenye usajili!
Haitaji kumjua Ni Nani ...unahitaji kulijua ombwe lilopo kwenye Soka ...linalofanya Wajanja wachume!
Hapa nimezungumzia Yanga tu....upande wa pili Mambo Ni yaleyale ...Kuna Ombwe,linatumiwa ...hata na wenye skill ya kawaida tu Kama Manara!
Tuendelee kula Mtori nyama zimegandamana ' na bakuli chini!
Yaaani we hopeless kabisa. Unaamini kabisa kabisa kuwa hili ni jibu la swali lililoulozwa? Najua unajua mambo mengi ya kisoka, lakini mbona umeamua kujitungia swali jingine nakujibu kitu kisicho husiana kabisa na swali? Soma kwanza swali hafu ujibu kitu sahihi!
 
Yaaani we hopeless kabisa. Unaamini kabisa kabisa kuwa hili ni jibu la swali lililoulozwa? Najua unajua mambo mengi ya kisoka, lakini mbona umeamua kujitungia swali jingine nakujibu kitu kisicho husiana kabisa na swali? Soma kwanza swali hafu ujibu kitu sahihi!
Sasa kama majibu unayo mwenyewe ulileta mada yako jamvini ili iweje?

Jinga kabisa.
 
Kwa sisi Wataalamu ..tunamuona Kama mjanja wa mjini,ambaye kwa kutumia Kampuni ya GSM wameona fursa iliyopo Yanga ....wanaitumia!
GSM sio wajinga ....wamebaini kuwa Wapenzi wa Simba na Yanga wanataka furaha kwenye Soka,Tena leo!
Kwa kuwa hakuna mifumo imara ya uendeshaji iliyowekwa wanaamua kucheza na akili za mashabiki!
Ndio maana walimchukua Senzo kwa gharama yoyote!
Na Senzo ,Kama alivyo Morrison alishabaini kuwa Tanzania Kuna ukichaa Cha Soka na Kuna Fedha zinazagaa...ndio maana wanachuma!
Usishangae June 2021 Senzo akatimuliwa!
Deal Done!Wenyewe wanasemaDone Deal!
Na ili kujiweka sawa kibiashara...mwakani Simba watarajie maumivu kwenye usajili!
Haitaji kumjua Ni Nani ...unahitaji kulijua ombwe lilopo kwenye Soka ...linalofanya Wajanja wachume!
Hapa nimezungumzia Yanga tu....upande wa pili Mambo Ni yaleyale ...Kuna Ombwe,linatumiwa ...hata na wenye skill ya kawaida tu Kama Manara!
Tuendelee kula Mtori nyama zimegandamana ' na bakuli chini!
Tanzania kila mtu ni mtaalamu na wewe tupe cv zako acha kutuburuza kwa mapungufu yako uliojioma.
 
Yaaani we hopeless kabisa. Unaamini kabisa kabisa kuwa hili ni jibu la swali lililoulozwa? Najua unajua mambo mengi ya kisoka, lakini mbona umeamua kujitungia swali jingine nakujibu kitu kisicho husiana kabisa na swali? Soma kwanza swali hafu ujibu kitu sahihi!
😀 😀 😀 Mimi hopeless alafu najua Mambo ya Soka!?Sasa mkuu hiki jinkijiwe Cha Spoti ukiuliza Eng Hersi lazima tukujibu kwa nuktadha wa kijiwe hiki!
Sasa kwenye Spoti tukisnza kusema Ni Eng. Wa mitambo ,au anafundisha Madrasa fulanihuoni tutakuwa tunatoka nje!
 
Hayo mashindano ya kimataifa yataanza lini? Fainali zinachezwa November.
Kwa haraka zaidi labda December au January. Hapo hujazugumzia kwa mfano, Simba ianze na Gor, itabidi wachezaji wote wapimwe halafu wawekwe quarantine two weeks wakiwa Kenya. Hapo patachezeka kweli?
Bado nchi kibao huwezi kuingia na zimefunga shughuli za michezo. Kuna uwezekano mkubwa michuano ikafutwa kwa next season.
UTARATIBU WA MASHINDANO YA CAF
Utaratibu utatumika kama kwa mashindano yaliyomalizika msimu huu ila kilichobadilika ni muda wa mashindano sasa yanaanza rasmi 20 NOVEMBER 2020 na kumalizika 17 JULY 2021 na inavyoosha ni kuwa mwezi November hadi December 2020 ni mechi za Preliminary halafu mwezi February hadi April ndio kuanza Group Stage na mwezi May ni Robo Fainal, Mwezi June ni Nusu Fainal mwisho Fainal ni mwezi July 2021.

RATIBA KAMILI IKO HIVI

Hapa ni kwa Timu zote CL na CC

PRELIMINARY ROUND
20 - 22 November. - 1st Leg
27 - 29 November - 2nd Leg

1ST ROUND
11 - 13 December - 1st Leg
18 - 20 December - 2nd Leg

ZIADA KWA KOMBE LA SHIRIKISHO PEKEE
12 - 13 February 2021 - 1st Leg
18 - 19 February 2021 - 2nd Leg

DRAW GROUP STAGE
- 17 January 2021 - Draw ya Champion League Group Stage.
- 20 February 2021 - Draw ya Confederation Cup Group Stage.

CHAMPIONSHIP LEAGUE - GROUP STAGE
12 - 13 February 2021 - Match 1
23 - 24 February 2021 - Match 2
05 - 06 March 2021 - Match 3
16 - 17 March 2021 - Match 4
02 - 04 April 2021 - Match 5
09 - 11 April 2021 - Match 6

CONFEDERATION CUP - GROUP STAGE
10 - 11 March 2021 - Match 1
16 - 17 March 2021 - Match 2
02 - 04 April 2021 - Match 3
09 - 11 April 2021 - Match 4
21 - 22 April 2021 - Match 5
27 - 28 April 2021 - Match 6

30 APRIL 2021 - DRAW
Draw QUARTER FINAL - FINAL kwa Championship League CL na Confederation Cup CC.

QUARTER FINAL - CAF InterClub
14 - 16 May 2021 - 1st Leg
21 - 23 May 2021 - 2nd Leg

SEMI FINAL - CAF Interclub
18 - 21 June 2021 - 1st Leg
25 - 27 June 2021 - 2nd Leg

FINAL CAF INTERCLUB 2020/20201

Confederation Cup - CC
10 JULY 2021

Championship League - CL
17 JULY 2021
 
Habari za saizi aise,

Naombeni kwa anajua vizuri CV ya huyu engineer atuambie

1. kazaliwa wapi na lini?

2. Anaasali ya Somalia /Eritrea au Ethiopia?

3.Yeye na mmiliki wa GSM (ghalibu said) wanaundugu?

4. Anacheo gani yanga?

5. Anachokifanya yanga ni moja ya jukumu lake au kiherehere chakee tu?

6. Je, ni muajiriwa GSM au ni moja ya wamiliki?
Kwa mapenzi wa Yanga na wapenzi wa mpira kwa ujumla Tanzania, ni vizuri kwanza kabla ya kutaka kumfahamu Injinia Hersi Saidi, nawashauri jitahid kwanza kumjua Tajiri yake yaani GSM! Hivi kweli Yanga as a club na viongozi wake na wananchi wote kwa ujumla, mnamfahamu GSM, mfadhili wa Yanga kweli!? Kiufupi labda niwadokeze na kutokea hapo nanyi muanze utafiti wenu; utafiti utakawapa fursa, mwanga na mwangaza wa kumjua mfadhili wa Yanga. GSM stands for GHARIB SALIM MOHAMED. Huyu ndiye mmiliki wa hiyo kampuni inayofadhili Yanga, GSM. Huyo mmiliki anasaidiana na mdogo wake aitwaye SAID SALIM MOHAMED. Hawa ndio walikuwa wamiliki wa kampuni moja iliyokuwa hapa nchini ikiitwa HOME SHOPPING CENTRE, mnaikumbuka HOME SHOPPING CENTRE na vituko vyake dhidi ya Serikali yetu, hasa ya awamu ya tano? Injinia ni mwajiriwa wao tu, labda kwa vile anaijua mikingamo ya humu nchini.

Hawa walikuwa wakidaiwa sana na TRA, wakaona isiwe taabu wakajitangaza WAMEFILISIKA ili wasilipe kodi. Mnafahamu hilo. Leo wamekuja kama GSM na kujiingiza kwenye soka letu kwa bidi sana. Wana nia njema na nchi hii kweli? Wana nia njema na soka letu kweli? Au ni njia nyingine ya kutaka utajiri wetu through football? Worse still these guys are not citizens of Tanzania nor are they investors. Hawa ni wafanyabiashara kama wafanyabiashara wengine tu, they are after FAIDA. Kama hakuna faida, hapo siyo pao. Tusubiri tuone na infact mambo mengi juu ya GSM yataibuka tu, Watanzania hawanaga SIRI. Kwaheri kwa sasa.
 
Back
Top Bottom