Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

Nyangima hapana. Yeye ni mkubwa sana kwangu, ila alisoma Mtwr Tech- Dar Tech- South Africa nadhani. So secondary ni moja na chuo ni kimoja kwa level za awali. Ila yeye siyo age yangu hata kidogo
 
Da mwenye ADE,siyo BEng, uzuri mm ni BEng na ni Registered Prof Eng. Da kumbe bado kaka uko nyuma. Ni kweli wakati wa mfumo ule wa Advanced Diploma in Engineering watu wamesajiliwa GIE na siyo GE. Ila kumbe hata hivyo napoteza muda bure kumbe ni GE,nilifikir ni PE, lete ripoti ya SEAP nikugongee mihuri. Na ndo maana kumbe ni Engineer mwanafunzi, wew ni mgeni kwnye tasnia. Kawaulize hao ERB. Unamawazo ya karne ya ,19
 
Sorrow 2 J, nenda pale ERB leo ujifanye hujui halafu useme wew una BEng je utakuwa ni GIE au GE? Nakumbuka nilivyomaliza tu DIT nikapewa GE,tena kile cheti kipo hadi leo japo skitumii kwa kuwa ni PE in CEngineering
 
Da mwenye ADE,siyo BEng, uzuri mm ni BEng na ni Registered Prof Eng. Da kumbe bado kaka uko nyuma. Ni kweli wakati wa mfumo ule wa Advanced Diploma in Engineering watu wamesajiliwa GIE na siyo GE. Ila kumbe hata hivyo napoteza muda bure kumbe ni GE,nilifikir ni PE, lete ripoti ya SEAP nikugongee mihuri. Na ndo maana kumbe ni Engineer mwanafunzi, wew ni mgeni kwnye tasnia. Kawaulize hao ERB. Unamawazo ya karne ya ,19

Mimi ni PE na hapa ninao watu wa hiyo ADE na wamesajiliwa kama GIE. Ninao watatu hapa ofcn 2 wa DIT na 1 wa Mbeya. Sasa huko mbele sijajua GIE inavyogeuka kuwa PEng
 
Ungeuliza ungejibiwa tu. Kama PE mwenzangu, hongera na habari mhandis mwenzangu. ADE wote ni kweli walipewa GIE, wakati ule ADE inafutwa pale DIT ilitokea tafran, kwamba wale waliopo waunganishwe na BEng, kesi ilifika hadi mahakamani, na ADE walishindwa kesi kwa kuwa hawakusajiliwa kuchukua BEng. Hivyo wakaendelea kupewa hizo Incorporation Certificates. Ila BEng yeyote yule anapewa GE au PE na siyo GIE au PIE.Uzuri ni kuwa shule hizi tunajuana kushirikiana, vitabu tunashirikiana kati ya DIT, MUST, CoET na TCA, kwa hiyo huwez kunidanganya.
 
Ungeuliza ungejibiwa tu. Kama PE mwenzangu, hongera na habari mhandis mwenzangu. ADE wote ni kweli walipewa GIE, wakati ule ADE inafutwa pale DIT ilitokea tafran, kwamba wale waliopo waunganishwe na BEng, kesi ilifika hadi mahakamani, na ADE walishindwa kesi kwa kuwa hawakusajiliwa kuchukua BEng. Hivyo wakaendelea kupewa hizo Incorporation Certificates. Ila BEng yeyote yule anapewa GE au PE na siyo GIE au PIE.Uzuri ni kuwa shule hizi tunajuana kushirikiana, vitabu tunashirikiana kati ya DIT, MUST, CoET na TCA, kwa hiyo huwez kunidanganya.

Nimeelewa. Ahsante
 
kwa mtu mwenye uelewa wa engineering huitaji umakini kujua wahitimu wa udsm- coet na vyuo vingine hapa tz nani zaidi, COET- inategeneza watu wanaofikri wenye uwezo wa kujibu maswali ya why? vingine wanapikwa kujibu maswali ya how, lakini anaye jua why anajua how, lakini anyejua how siolazima ajue why?
kwa wale wasoma fani ya uhandisi na wako mtaani wanapiga mzigo na niwatafiti utagundua nirahisi sana kujifunza how na si why,ndoo maana kwene engineering field watu wasio enda shule wana wa kufanya kazi bila hata kupitia formal education system na ndio maana kwale wa civil contractor hawangali shule sana wanapo ajili bali experiance kwasababu wao wanajibu swali la how nasio why.
KIMSINGI mtu aneyeitwa engeneener kazi yake kubwa ni kujibu swali la why na ndicho coet wanafanya, DIT,MIST n.k hawatoi engineering inavotakiwa wamebase kujibu swali la how ambalo hata liman akikaa kwene fani anaweza jua lakini sio kujua swali la why.
COET- graduates are mostly professionally than any college in tz.
 
Wewe hujui field ya engineering. Udsm wantoa Engs wanaotafuta ufumbuzi halafu wengine wa DIT na kadhalika wanaweka kwene matendo. Engineering ya DIT ndugu na vyuo vingine ni za kiufundi mchundo, kama ulikua hujui elewa hivyo.
 
sisi wahandisi tunajua, COET ndo wanchukua watu wenye uwezo mkubwa kulikovyuo vyote, Vilaza wangu wengi waMESOMA DIT, MIST n.k. huwezi kuwalinganisha kwasabau hata ufahumu na uelewa wao wa uko tofauti.
DIT,MIST n.k= NI VETA walioboleshwa wanajua how na sio why.
kama huamini check cuf-off poit za coet na vyuo vingine utaona.
 
sisi wahandisi tunajua, COET ndo wanchukua watu wenye uwezo mkubwa kulikovyuo vyote, Vilaza wangu wengi waMESOMA DIT, MIST n.k. huwezi kuwalinganisha kwasabau hata ufahumu na uelewa wao wa uko tofauti.
DIT,MIST n.k= NI VETA walioboleshwa wanajua how na sio why.
kama huamini check cuf-off poit za coet na vyuo vingine utaona.

wewe utakuwa mgonjwa wa akili tazama Bsc in Textile Engineering wamechukuliwa hadi E E F nilikuwa na cut-off nzuri ya kusoma course nzuri ila nimechagua dit na naenda dit.kila mtu na maamuz uzuri wa mtu jina la chuo halina nafasi yeyote kwenye ajira.ongea kama msomi sio kama mlevi wa vilabuni
 
Kamawe utaweweseka sana na mawazo mgando yako. Tehetehe, yaani ni porojo hadi unaona huyu mtu kasoma au la, huna hoja kabisa.
 
Kwa taarifa yako, Nyie member wa DIT na MUSt ndo mnakariri. Hamjui vitu vinatoka wapi maana, mmeruka stage ya advanced ambayo humwandaa mwanafunzi, Kuwa na REASONING, Engineering is all about designing na ndo maana Bachelor of science in Engineering inamuandaa mwanafunzi kuwa designer mzuri. Hata kwenye work watu wa Technical college wanawategemea watu wa Udsm na similar case kudesign..

Mpaka hapo ulipo umesha-design nini?
 
Ufahamu na uelewa wao uko tofauti how? Fafanua. Hata hii jeuri ya wew kupata kuchangia humu kama siyo kwa tafakuri ya Max Mello ambae ni ex DIT, tusingekujua. Unaleta siasa tu hapa. Engineering ni kufanya kitu kisichokuwepo kije, kama huwez hvyo wew ni politician, unatakiwa urud kwenye siasa
 
Acheni malumbano chapeni kazi kwani wazuri wataendelea kuwa wazuri na watakuwa wanatafutwa popote pale ndani na nje ya nchi!
 
Structural Design and Detailing kwa kutumia Master Series Program kwa mfano,utaifanya utamaliza, kwa kutumia muongozo wa BS,na uhalisia kwenye utendaji. Sasa hao unaowasema ni HOW& WHY ni upogo, kwenye game la uhandisi hamna kitu kama hicho. Am not sure kana ww ni Eng kweli, labda ni mwanangonjera.
 
Dit noma kuna jamaa yangu ni kiboko mpaka inafika wakati najiuliza kwanini asiende mbele yani mchizi kama bill gates
 
Usemi hu ni kweli waungwana

Kuanzia topic hadi content, hakuna grammatical correction wala kuzingatiwa kwa misingi ya istilahi za lugha!

Kaka, kama hujui lugha, uliza, kuliko kujiumbua namna hii. Ujumbe wako unafikaje kwa walengwa?
 
kitendoo tu cha kuwa engineer kinanitofautisha na technician kwa sabab engineer ni knowledge based na technician ni competence based so may be tofauti ipo kwenye malengo ya kozi husika inatoa wahitimu wa aina gan

Kwa ufafanuzi wako, inadhihirisha kuwa DIT hutoa competence based aka fundi mchundo sio engineers.
 
Back
Top Bottom