English Grammar: Benki ya Posta Tanzania ni TPB Bank au TPBank? Ni sahihi kwa neno "bank" kutumika mara mbili?

English Grammar: Benki ya Posta Tanzania ni TPB Bank au TPBank? Ni sahihi kwa neno "bank" kutumika mara mbili?

Sawa boss nitaliweka
We umeleta swali vizuri tu wadau wamekujibu lakini bado unabisha ikiimaanisha kwamba hukutaka uelewe bali ubishane. Chukulia mfano mdogo tu watu wanaposema reli ya TAZARA (Tanzania and Zambia Railway) au kampuni ya ulinzi ya SGA(Security Group of Africa) ukisema utoe tafsiri ya moja kwa moja basi tunakosea lakini ili ueleweke kwa watu wengi lazima utoe jina(brand name) ambalo ndio utambulisho wenyewe yaani ukiharibu hapo unapoteza soko.

Na hizi brand name mara nyingi wateja ndio huzianzisha, sasa watu wanajua kwamba hio ni TPB leo hii wakute pameandikwa TP Bank lazima wapotee, au basi tuwe tunasema reli ya TAZA badala ya TAZARA, au kampuni ya ulinzi ya G4 badala ya G4S na mengine mengi tu.

CRD Bank, KC Bank, NM Bank ..
 
We umeleta swali vizuri tu wadau wamekujibu lakini bado unabisha ikiimaanisha kwamba hukutaka uelewe bali ubishane. Chukulia mfano mdogo tu watu wanaposema reli ya TAZARA (Tanzania and Zambia Railway) au kampuni ya ulinzi ya SGA(Security Group of Africa) ukisema utoe tafsiri ya moja kwa moja basi tunakosea lakini ili ueleweke kwa watu wengi lazima utoe jina(brand name) ambalo ndio utambulisho wenyewe yaani ukiharibu hapo unapoteza soko.

Na hizi brand name mara nyingi wateja ndio huzianzisha, sasa watu wanajua kwamba hio ni TPB leo hii wakute pameandikwa TP Bank lazima wapotee, au basi tuwe tunasema reli ya TAZA badala ya TAZARA, au kampuni ya ulinzi ya G4 badala ya G4S na mengine mengi tu.

CRD Bank, KC Bank, NM Bank ..
Sawa boss umeshinda wewe. Mjinga mimi
 
Pole kwa kutosoma biashara mkuu, Sio kosa kutokujua
Kwa ufupi hayo mabenki ni makampuni kama makampuni mengine, Yamefanya corporate registration na Branding upya

Mosi, Leo hii National microfinance Bank haitekelezi lengo Lake la awali kujihusisha na wafanyabiashara wadogo wadogo, Waliimega toka NBC kutekeleza lengo hilo yaani Micro nasisisitiza micro Finance
Leo NMB ina deal na watu wakubwa na wadogo, wana corporate strategy sio tena micro strategy

Pili, Crdb kama Benk ya watu vijijini Leo haitekelezi lengo la Maendeleo vijijini bali imekuwa Corporate Bank, Lengo la awali halipo

Sasa huwezi anzisha kitu au jina jipya is just change of corporate name

NMB ni corporate name halina maana yeyote ile kwa sasa lakini ukiongeza Bank ndio lina maana,
Document za sasa zinasoma NMB Bank na sio National microfinance Bank

NMB haipo sasa hata Brella huipati

Crdb Bank ni corporate name

Crdb kama neno sasa halina maana mpaka lisomeke Crdb Bank

Crdb au NMB has got no meaning kwa sasa OK

Kaka ni kama neno Debit dr au Credit cr hayana maana yeyote ili bali hutegemea mtu atakapoyatumia ok
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na bridge" kwa wakati mmoja wakati maneno yote mawili yana maana sawa???

View attachment 1171492

View attachment 1171493

NB: NSSF nipeni fao langu la mkupuo. Mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue?
 
Watu wanalazimisha ujinga ukubalike.

It is either TPB or TP Bank.

TPB Bank is a moronic duplication.

Hawa ndio watu wanaoandika "shilingi laki 100,000" halafu kutuachia swali kama huyu mtu anamaanisha laki moja au laki laki moja?
Mkuu, nimeamua kuachana nao tu kwa maana ni wengi hao watanishinda tu kwa ubishi
 
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na bridge" kwa wakati mmoja wakati maneno yote mawili yana maana sawa???

View attachment 1171492

View attachment 1171493

NB: NSSF nipeni fao langu la mkupuo. Mtaani maisha ni magumu sana. Mungu anawaona mjue?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu watakuwa wameiona TPB Bank sehemu ndiyo wakaanza kuiiita hivyo.

Na hata kama watu wameanza kuiita benki kimakosa, benki ina wajibu wa kusahihisha na kuelimisha.

Binafsi siwezi kuweka hela kwenye benki ambayo hata kuandika jina lake ni mgogoro.

Unaweza kuweka sh milioni moja, ukakuta ziko laki moja.

Wamesahau kuandika sifuri moja!
Hivi mkuu, ulishawahi kusikia watu wakisema chama cha CCM? sijawahi kusikia, labda watakuwepo wachache sana, karibu wote wanasema CCM au Chama Cha Mapinduzi,
Kwa nini? Sababu wanajua CCM inasimama badala ya nini hivyo hawawezi kurirudia, na kwa nino wanajua? Sababu ni kifupi cha maneno ya kiswahili ambayo ni lugha wanayoifahamu

Tofauti na kitu kama NMB ambacho wengi hawajui ni kifupi cha nini, wengi husikika wakisema Benki ya NMB

So imeanzia kwa watu kutokujua lugha na kuita hivyo na benki nazo zikawapa hivyo hivyo
 
Hivi mkuu, ulishawahi kusikia watu wakisema chama cha CCM? sijawahi kusikia, labda watakuwepo wachache sana, karibu wote wanasema CCM au Chama Cha Mapinduzi,
Kwa nini? Sababu wanajua CCM inasimama badala ya nini hivyo hawawezi kurirudia, na kwa nino wanajua? Sababu ni kifupi cha maneno ya kiswahili ambayo ni lugha wanayoifahamu

Tofauti na kitu kama NMB ambacho wengi hawajui ni kifupi cha nini, wengi husikika wakisema Benki ya NMB

So imeanzia kwa watu kutokujua lugha na kuita hivyo na benki nazo zikawapa hivyo hivyo
Kwa hiyo mameneja wote wa Tanzania Postal Bank, watu wote wanaolipwa kwa kazi za public relations na advertising, hao wanaopewa tenda wote ambao kazi zao ni kuandika mabango, wafanyakazi wote wa Tanzania Postal Bank hawajui Kiingereza?

Kuna tatizo la Kiingereza, hili hata sibishi.

Lakini tatizo kubwa kuliko Kiingereza, ni utamaduni wa kuacha mambo yawe kama yalivyo, yani jambo linaonekana limekosewa, lakini watu hawalisahihishi, wanaliacha tu liwe hivyo hivyo, hata kama wanaona limekosewa.

Ndiyo maana maendeleo katika jamii yenye mawazo mgando ya hivi yanakuwa magumu.

Maana hata umasikini wetu tunaukubali tu, hata kama tunauona na tunajua njia za kuuondoa ni zipi.

Huu ni mfano mdogo wa jina la benki, lakini unaonesha tatizo kubwa sana lililopo katika jamii yetu.
 
Jamaa anang'ang'ania hadi anakera unampatia elimu kwa facts yeye anakazana na maubishi yake nadhani tumuache wenye kutaka kujifunza nadhani wameelewa tayari.
Pole kwa kutosoma biashara mkuu, Sio kosa kutokujua
Kwa ufupi hayo mabenki ni makampuni kama makampuni mengine, Yamefanya corporate registration na Branding upya

Mosi, Leo hii National microfinance Bank haitekelezi lengo Lake la awali kujihusisha na wafanyabiashara wadogo wadogo, Waliimega toka NBC kutekeleza lengo hilo yaani Micro nasisisitiza micro Finance
Leo NMB ina deal na watu wakubwa na wadogo, wana corporate strategy sio tena micro strategy

Pili, Crdb kama Benk ya watu vijijini Leo haitekelezi lengo la Maendeleo vijijini bali imekuwa Corporate Bank, Lengo la awali halipo

Sasa huwezi anzisha kitu au jina jipya is just change of corporate name

NMB ni corporate name halina maana yeyote ile kwa sasa lakini ukiongeza Bank ndio lina maana,
Document za sasa zinasoma NMB Bank na sio National microfinance Bank

NMB haipo sasa hata Brella huipati

Crdb Bank ni corporate name

Crdb kama neno sasa halina maana mpaka lisomeke Crdb Bank

Crdb au NMB has got no meaning kwa sasa OK

Kaka ni kama neno Debit dr au Credit cr hayana maana yeyote ili bali hutegemea mtu atakapoyatumia ok
 
Kwa hiyo mameneja wote wa Tanzania Postal Bank, watu wote wanaolipwa kwa kazi za public relations na advertising, hao wanaopewa tenda wote ambao kazi zao ni kuandika mabango, wafanyakazi wote wa Tanzania Postal Bnak hawajui Kiingereza?

Kuna tatizo la Kiingereza, hili hata sibishi.

Lakini tatizo kubwa kuliko Kiingereza, ni utamaduni wa kuacha mambo yawe kama yalivyo, yani jambo linaonekana limekosewa, lakini watu hawalisahihishi, wanaliacha tu liwe hivyo hivyo, hata kama wanaona limekosewa.

Ndiyo maana maendeleo katika jamii yenye mawazo mgando ya hivi yanakuwa magumu.

Maana hata umasikini wetu tunaukubali tu, hata kama tunauona na tunajua njia za kuuondoa ni zipi.

Huu ni mfano mdogo wa jina la benki, lakini unaonesha tatizo kubwa sana lililopo katika jamii yetu.

Quick question for ya...

Is it an ATM or ATM machine?
 
Kiranga usiingie kwenye huu mkenge,do your homework pze!
Kwa hiyo mameneja wote wa Tanzania Postal Bank, watu wote wanaolipwa kwa kazi za public relations na advertising, hao wanaopewa tenda wote ambao kazi zao ni kuandika mabango, wafanyakazi wote wa Tanzania Postal Bank hawajui Kiingereza?

Kuna tatizo la Kiingereza, hili hata sibishi.

Lakini tatizo kubwa kuliko Kiingereza, ni utamaduni wa kuacha mambo yawe kama yalivyo, yani jambo linaonekana limekosewa, lakini watu hawalisahihishi, wanaliacha tu liwe hivyo hivyo, hata kama wanaona limekosewa.

Ndiyo maana maendeleo katika jamii yenye mawazo mgando ya hivi yanakuwa magumu.

Maana hata umasikini wetu tunaukubali tu, hata kama tunauona na tunajua njia za kuuondoa ni zipi.

Huu ni mfano mdogo wa jina la benki, lakini unaonesha tatizo kubwa sana lililopo katika jamii yetu.
 
Quick question for ya...

Is it an ATM or ATM machine?
It is ATM.

ATM in full form is Automated Teller Machine, so saying ATM machine is unnecessary redundancy.

Like daraja la Salender bridge or barabara ya Pugu Road.
 
Kiranga usiingie kwenye huu mkenge,do your homework pze!
I don't do homework, I retired from teaching Ph.D candidates how to do their homework.

I write RFCs and Release Notes.

Kama una kitu cha kubishania kiweke hapa.

TPB Bank is moronic redundancy.

Bisha.
 
It is ATM.

ATM in full form is Automated Teller Machine, so saying ATM machine is unnecessary redundancy.

Like daraja la Salender bridge or barabara ya Pugu Road.

Cool.

Check out this link https://atmbrokerage.com/definitive-guide/

It’s an American company.

They have “ATM machines” all over their website.

What’s my point? My point is, in languages, you have what is/ are called ‘commonly made mistakes’.

And what we have here is one example of that.

Na hayo makosa huwa hayajalishi sana kama mtu hiyo lugha husika ni lugha yake ya kwanza au la.

Kuna watu wengi tu pande hizi ambao huita hizo mashine ‘ATM machine.

Btw, ni Selander. Siyo Salender, kama ulivyoandika.
 
Cool.

Check out this link https://atmbrokerage.com/definitive-guide/

It’s an American company.

They have “ATM machines” all over their website.

What’s my point? My point is, in languages, you have what is/ are called ‘commonly made mistakes’.

And what we have here is one example of that.

Na hayo makosa huwa hayajalishi sana kama mtu hiyo lugha husika ni lugha yake ya kwanza au la.

Kuna watu wengi tu pande hizi ambao huita hizo mashine ‘ATM machine’.

Two wrongs do not make a right.

Sawa, comedian akisema ATM Machine wala sihangaiki kumkosoa, kwa sababu najua inawezekana anajua lakini anafanya comedy tu, au hata kama hajui, muktadha wa comedy unampa artistic license ya kusema hivyo.

Pia, nikisikia watu ambao sitegemei wawe wameelimika sana na kujua Kiingereza na mpangilio wa lugha uswahilini wanasema TPB Bank sitashangaa.

Lakini benki inatakiwa kuwa ina exactitude ya kukuhesabia shilingi mpaka senti.Ikitokea benki yenyewe ikawayawaya katika kujiita jina lake, ikatupa mtafaruku wa kuulizana hii benki ni TP Bank au TPB Bank, hilo linanionesha hii bank haina umakini na haifai kuaminiwa kuipa hela zangu.

Kama yenyewe tu inashindwa kuandika jina lake kwa ufasaha, kitu gani kitanipa imani kwamba itaweza kuandika jina langu kwa ufasaha katika vitabu vyake?

Na biashara ya benki inajengwa kwa imani, kama siwezi kuiamini benki katika umakini wake, nitawezaje kufanya nayo biashara?
 
Like daraja la Salender bridge or barabara ya Pugu Road.

Ni Selander bridge. Named after John Einer Selander.

Siyo Salender. Hii ya Salender naona ni Waswahili kushindwa tu kutamka Selander.
 
Two wrongs do not make a right.

Sawa, comedian akisema ATM Machine wala sihangaiki kumkosoa, kwa sababu najua inawezekana anajua lakini anafanya comedy tu, au hata kama hajui, muktadha wa comedy unampa artistic license ya kusema hivyo.

Pia, nikisikia watu ambao sitegemei wawe wameelimika sana na kujua Kiingereza na mpangilio wa lugha uswahilini wanasema TPB Bank sitashangaa.

Lakini benki inatakiwa kuwa ina exactitude ya kukuhesabia shilingi mpaka senti.Ikitokea benki yenyewe ikawayawaya katika kujiita jina lake, ikatupa mtafaruku wa kuulizana hii benki ni TP Bank au TPB Bank, hilo linanionesha hii bank haina umakini na haifai kuaminiwa kuipa hela zangu.

Kama yenyewe tu inashindwa kuandika jina lake kwa ufasaha, kitu gani kitanipa imani kwamba itaweza kuandika jina langu kwa ufasaha katika vitabu vyake?

Na biashara ya benki inajengwa kwa imani, kama siwezi kuiamini benki katika umakini wake, nitawezaje kufanya nayo biashara?

Commonly made mistakes in languages happen everywhere.

It’s part of the human condition.

Nina uhakika hata wewe huwa unafanya hayo makosa.

Au wewe huwa hukosei kwenye haya mambo ya lugha?
 
Ni Selander bridge. Named after John Einer Selander.

Siyo Salender. Hii ya Salender naona ni Waswahili kushindwa tu kutamka Selander.
Sawa, the spelling mistake is mine, but I am pointing out the dupliation of daraja la such and suchbridge au barabara ya Pugu Road.
 
Commonly made mistakes in languages happen everywhere.

It’s part of the human condition.

Nina uhakika hata wewe huwa unafanya hayo makosa.

Au wewe huwa hukosei kwenye haya mambo ya lugha?

Commonly made mistakes in language happen everywhere.

But adopting them in formal bank names is something else.

Ina maana benki haina watu wanaofanya verification na proofreading? Watu waliopewa tender kuchapisha mabango hawaulizi? Wasomi wote wa benki hawajaona hilo?

Hii si commonly made mistake, hii ni accepted way of life, si kweli kwamba wasomi wote wa Tanzania Postal bank hawaoni hili, wamelikubali tu.

Benki kama hii nitaanza kugombana nayo kwa ajili ya jina tu.

Yani naingia benki kabla sijalalamika mstari ulivyo mrefu, naanza kulalamika kwa nini jina la benki lina a moronic redundancy?
 
Back
Top Bottom