Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Samba ni forward sasa lol.
Fat Sam huyo anachekesha sana
Arsenal mara ya mwisho kushinda away ilikuwa march?
mkuu unapenda kutafuta record zako za ajabu lol.sasa march si end of season karibia au unataka kufanya hionekane loong time lol.
Mkuu nadhani ni mvua., uwanja unateleza.duuuh hivi vitoto kweli vinajua kupoteza nafasi.
Hizi bange za kuvutia c.hooni au ni nini?Ndio hilo jina tunalolitaka.... We ulitaka abaki nini? Mbona wapinzani mna chokochoko sanaa! Na mtatukoma kipindi hii si ni kugonga tu hadi mtukome nyie msotueshimu... Sita sita kwenda front... Shaa...
Umeota au ni kweli mbona mimi naona Chelsea anaongoza goli 1 au hii tv inanidanganyaHalf time 1-0 Chelsea