English Premiership: 2010-2011

English Premiership: 2010-2011

Arshavin kajitahidi sana leo alikuwa kaanza kunikatisha tamaa,jamaa kawa mvivu ghafla na tofauti na alivyo kuja nadhani tatizo ni Wenger.Arshavin alikuwa ngangali sana alivyokuja.
 
Arsenal mara ya mwisho kushinda away ilikuwa march?
 
yeaaaaaaaaaaaaah safi sana point 3 muhimu sana kutoka kwa hawa jamaa amabao wanajua ubovu wetu huko wapi.
 
Sema season yetu itakuwa ngumu sana pale nyuma .Varmelen anahitaji msaada na pia wanatakiwa wajue jinsi ya kujipanga.huyo Squalic sijui nani i hope ataweza kumudu mikiki ya EPL.
 
mkuu unapenda kutafuta record zako za ajabu lol.sasa march si end of season karibia au unataka kufanya hionekane loong time lol.

Lol niliuliza swali tuu....
Hongereni watani maana naona hawa watoto wamepoteza sana nafasi.
 
Ndio hilo jina tunalolitaka.... We ulitaka abaki nini? Mbona wapinzani mna chokochoko sanaa! Na mtatukoma kipindi hii si ni kugonga tu hadi mtukome nyie msotueshimu... Sita sita kwenda front... Shaa...
 
Ndio hilo jina tunalolitaka.... We ulitaka abaki nini? Mbona wapinzani mna chokochoko sanaa! Na mtatukoma kipindi hii si ni kugonga tu hadi mtukome nyie msotueshimu... Sita sita kwenda front... Shaa...
Hizi bange za kuvutia c.hooni au ni nini?
 
Back
Top Bottom