English Premiership: 2010-2011

De Jong naona keshamvunja mguu Ben Arfa..hiki kijamaa kiguruwe kweli.
 
Last week Tevez alisema kweli, huwa wanazikamia timu kubwa "big 4" lakini wanazembea wanapocheza na timu ndogo. Wasipokaa sawa wanaweza duwazwa!!!
 
Refa kala hela ya waarabu huyu, anafuta penati ya Newcastle hivihivi
 
City wanakuja kuwashika top 4..

it ended 2-1
 
lol, penati kuelekea Liverpool..hawa ndio wanafulia kabisakabisa..
 
Chelsea: Cech, Ivanovic, Alex, Terry, Cole, Mikel, Essien, Ramires, Malouda, Anelka, Drogba
 
lol..Liverpool pass 2 washapoteza mpira..
 
Duh, mpaka Blackpool wanawachezeshea gonga..ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…