Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
- Thread starter
- #381
lol 3-3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man U kwa mechi ya pili mfululizo wana choke the lead within last 5 minutes..Je enzi ile ya Man U kufunga magoli ya dk za majeruhi ndio imeisha?
Mizee iko mingi mno!
ha ha..kama profile pic yako!..Wapungue lol
ha ha..kama profile pic yako!..Wapungue lol
Man U kwa mechi ya pili mfululizo wana choke the lead within last 5 minutes..Je enzi ile ya Man U kufunga magoli ya dk za majeruhi ndio imeisha?
hahaaaaaaaaaaaaaa.... refa kabeba leo, huhuhuuuu, naona kapigakipyenga wakati wa last shot!!!
Hakyanani halafu sijui aje mtu aseme La liga ni ligi bora zaidi kwene sayari hii? Nakamtalia hata anipe milioni 100
hahahaaaa... BJ sijui umewaza nini, nimecheka aiseeha ha..kama profile pic yako!..Wapungue lol
bi mkubwa naona refa kaona bora akuokoe maanake mngeadhirika lol.
AW,kweli ilikuwa soo!..aggr wameniharibia w/end acha tu!!!..ndo :A S soccer: mkuu!!
Mkuu naona unakenua tu, ngoja tuketi vyema kuona mechi ya Arsenal na Bolton tuone kama kuna wa kumcheka mwenzakehakuna dawa ya kuzuia kufulia.
Mchungaji Umri sio tatizo kwa hao wachezaji nafikiri umeona viwango vya hao wachezaji so far kwenye Premier League Van de Sar yuko juu hata leo umemuona alivyosave,Nafikiri umeona Scholes ile freekick na pasi aliyompa BerbatovHAhahahahaah
Van der Sar! Neville, Giggs, Scholes mmmhhh heri REV Masa ananguvu za kukimbia dak 180