English Premiership: 2010-2011

English Premiership: 2010-2011

hahahahahahahahahaha:smile-big::smile-big: come on WBA.
 
mzee hile schedule ya mwanzo mkaanza kupiga kelele mnacheza playstation sasa shughuli meiona leo.
Naona mmeanza ile schedule yenu vizuri....hahahahaha!!!!!! tusisahau West Brom wamekosa penalty pia, and we put 6 against them .
 
Duh hii barrage ya Arsenal hawa watoto watapona?
 
Come back when you win against the Baggies AT EMIRATES.
 
Uamuzi wa kumng'ang'ania Aluminum peroxide unaanza kumtafuna Wenger..hata hivo timu nzima ilikuwa imejichokea. Bahati ya Arsenal msimu huu ni kwamba Villa, Spurs na Everton nao wanaonekana wamefulia. La sivo wangekuwa kama Liverpool.
 
Weekend tamu sana,nashukuru leo hatuna game maana siku ya leo inaonekana kimeo
 
Uamuzi wa kumng'ang'ania Aluminum peroxide unaanza kumtafuna Wenger..hata hivo timu nzima ilikuwa imejichokea. Bahati ya Arsenal msimu huu ni kwamba Villa, Spurs na Everton nao wanaonekana wamefulia. La sivo wangekuwa kama Liverpool.
Lakini kumbuka Almunia ameokoa penalty.
 
Back
Top Bottom