Engr. Hersi Said & Arafat Haji Kamatieni hapo hapo msiachie hadi watakapotubu

Engr. Hersi Said & Arafat Haji Kamatieni hapo hapo msiachie hadi watakapotubu

Majini fc in mayele voice. Wachawi wakubwa nyinyi hampendi kuona wachezaji wazuri wakitafuta changamoto zingine mifano mingi tu tunayo. Walonzi wakubwa nyinyi.
 
Kumbe ishu yenyewe ndiyo iko hivi!! Mayele arudi tu Bongo, aje aungane na rafiki yake Fei Toto na pia akina Yannick Bangala huko Azam. Mpira ndiyo kazi yake. Hivyo hakuna cha ajabu hapo.


Na kuhusu Yanga, basi anatakiwa aelewe timu yetu ni kubwa kuliko mtu yeyote yule. Mashabiki tunamheshimu kama mchezaji wetu mahiri wa zamani. Na yeye pia anatakiwa kuiheshimu Yanga. Maana ina mchango wake pia kwenye mafanikio yake ya sasa.
 
Who is Mayele by then. Why best prayers like Amis Tambwe prayed Dar young African with lots of achievement that Mayele had not ever achieved
But Tambwe has gone to find another challenges out of Young African,still funs are showing respect to him

Mayela aache undava, Anatakiwa ajue yeye hiyo ndio ajira yake, apunguze kumjibu kila mtu mtandaoni
 
Mayele anashusha hadhi yake. Kuna hadhi ukifika unachunga kile unazungumza. Aachane na mashabiki acheze mpira. Mitandao inabeba kila aina ya takataka watu.
 
Kumbe hata chanzo za magoli 5 dhidi ya simba ni majini waliotupiwa wachezaji wa simba. Uto wapuuzi Sana.
 
Kama umemsoma vizuri Mayele hajaonekana kukasirishwa na maneno ya mtandaoni.

Ameenda direct kwa kusema viongozi wa Yanga wamekuwa wakimtumia meseji hizo ambazo yeye zimemkwaza.

Hoja yako ulitakiwa uiwasilishe namna hii halafu then uje na defense yako kuonesha kwanini Mayele ameongea uongo.

Lakini sio kuja na madai mapya ambayo tangu mapema aliweka wazi kwa kuyakanusha kuwa wahusika sio mashabiki wa Simba.

Na hiyo sababu ya kusema kuwa ameamua kuja na hizo tuhuma kwasababu anaenda Azam kwa mkopo sioni kama zina mashiko.

Kwasababu hakuna uhusiano kati ya Yanga na Mayele inayoweza kufikiriwa kuwa jamaa anatafuta sababu ili aondoke Yanga.

Na hakuna sababu ya msingi kwanini isiwezekane kwenda Azam kwa mkopo mpaka atoe kashfa za uongo kwa viongozi.

Hoja yako ya kusema sababu ya Mayele kuja na zile shutuma ni kutokana anaenda Azam kwa mkopo zinapaswa kuchukuliwa kuwa ni facts iwapo njia pekee ya kumfanya aende Azam ni kugombana na Yanga.

Kitu ambacho ni pointless
 
Andiko reefu lakini haliondoi ukweli kuwa yanga ni club inayofuga majini na kuwarushia wachezaji wanaoondoka huku bado wanatumainiwa.

Simba inawashabiki tofauti sana kwani walimpenda Mayele ingawa hakuwa anachezea Simba. Walimpenda kwa umahiri wake na style yake ya kushangilia.

Yanga mnajulikana mna roho mbaya kwani sio mara yenu ya kwanza.
Vipi kuhusu Fei?
FEI hajiamini tena kama alivyokuwa Yanga sijui Dogo wamemtupia majini' mangapi?
 
Acheni unafiki na ulimbukeni Watanzania 🇹🇿 kwenye mitandao ya kijamii kwa watu wenye culture tofauti na ninyi.Tatizo kubwa watu wanawatania wachezaji na kuwafatilia wakidhani ni wanachama au Wana mapenzi na timu kumbe pale ni ajira wanaofuata maokoto tuu.Ndio ninyi ninyi mlimharibia samata mpaka akatimuliwa Uingereza kwa kuandika maugoro na mabrocken yenu ya matusi kwenye ukurasa wa timu mpaka wakaona tatizo ni huyu Mchezaji katoka kwenye watu gani Hawa? Wakamtimulia mbele
 
Na hiyo sababu ya kusema kuwa ameamua kuja na hizo tuhuma kwasababu anaenda Azam kwa mkopo sioni kama zina mashiko.

Kwasababu hakuna uhusiano kati ya Yanga na Mayele inayoweza kufikiriwa kuwa jamaa anatafuta sababu ili aondoke Yanga.

Na hakuna sababu ya msingi kwanini isiwezekane kwenda Azam kwa mkopo mpaka atoe kashfa za uongo kwa viongozi.

Hoja yako ya kusema sababu ya Mayele kuja na zile shutuma ni kutokana anaenda Azam kwa mkopo zinapaswa kuchukuliwa kuwa ni facts iwapo njia pekee ya kumfanya aende Azam ni kugombana na Yanga.

Kitu ambacho ni pointless

Uwe unasoma na kuelewa sio unasoma tu juu juu ili ukimbilie ku comment.

Nanukuu kilichoandikwa:

"Mayele aliwaambia Azam ya Kwamba "Endapo mkinichukua nyie hamuoni nitatengeneza maadui kutoka kwa timu yangu ya zamani ya Yanga?"
 
Ayo ni mambo madogo Sana kuyajadili klabu kubwa kama Yanga, Mayele anaweza Rudi na kuchezea timu yoyote na isilete madhara yoyote kwa Yanga.

Morison alienda Simba na Yanga ikatwaa vikombe vyote yeye Morison akiwa Simba.

Wameondoka Nabi na wasaidizi wake, Mayele, Bangal, Juma Shabani , Feisal ao walikua watu muhimu na Bado Yanga inazidi kutesa na kuwa imara.

Kama ni kweli Mayele anataka kurudi Bongo hauitaji Drama zozote kama alivyofanya Faisal.

Yanga Iko imara Sana ku deal na vitu vidogo kama hivyo kwasasa tu focus kwenye point 3 Kila mchezo hesabu zitakua mwisho wa msimu.
YANGA haijatwaaa bali ilikwapua kwà njia chafu
 
Uwe unasoma na kuelewa sio unasoma tu juu juu ili ukimbilie ku comment.

Nanukuu kilichoandikwa:

"Mayele aliwaambia Azam ya Kwamba "Endapo mkinichukua nyie hamuoni nitatengeneza maadui kutoka kwa timu yangu ya zamani ya Yanga?"
Mayele aliyeogopa kujiunga Azam kwa kuhofia atatengeneza maadui ndio Mayele huyo huyo aliyeji commit kutengeneza maadui kwa kashfa za uongo kuwachafua viongozi wa Yanga?

Kama hofu yake ilikuwa ni kutengeneza maadui, huoni hapo option iliyokuwepo katika kutoa hizo shutuma ilikuwa ni kutumia watu wengine yeye asichafuke?

Kwa hiyo maana yake saizi hawezi kujiunga Azam kwasababu tayari ameshatengeneza maadui wengi wa Yanga kutokana na shutuma zake za uongo dhidi ya uongozi wa Yanga?


Kuna kitu hakipo sawa kwa mashabiki wa Yanga
 
Mayele Africa imemfahamu sababu ya Yanga sasa leo iweje atake kuishika masikio klabu kubwa na yenye malengo sahihi kama Yanga. Yeye aende anakotaka hata akitaka kuungana na Papaa Omary wa Njombe pale umbumbumbuni ni sawa tu.
 
Ayo ni mambo madogo Sana kuyajadili klabu kubwa kama Yanga, Mayele anaweza Rudi na kuchezea timu yoyote na isilete madhara yoyote kwa Yanga.

Morison alienda Simba na Yanga ikatwaa vikombe vyote yeye Morison akiwa Simba.

Wameondoka Nabi na wasaidizi wake, Mayele, Bangal, Juma Shabani , Feisal ao walikua watu muhimu na Bado Yanga inazidi kutesa na kuwa imara.

Kama ni kweli Mayele anataka kurudi Bongo hauitaji Drama zozote kama alivyofanya Faisal.

Yanga Iko imara Sana ku deal na vitu vidogo kama hivyo kwasasa tu focus kwenye point 3 Kila mchezo hesabu zitakua mwisho wa msimu.
Morrison tena mpaka alitutukana sana na kusema Simba ndiyo Chuo sisi Yanga ni Madrasa. Alipotemwa Simba bado tukamchukua. Hatuna baya. Kama Manaara alifukuzwa Simba tukamchukua sisi. So asijione kabisa. Wakimtema kule tutamchukua.
 
Ushamba mwingi sana ukiwa na profile kubwa kama ile haitakiwi kuanza maneno ya taarabu , hapo ameanza kujiharibia

Nimeamini katika dunia ya sasa ukitaka kubwa na profile nzuri na iendelee kubaki juu
1) kama ni mfanya biashara usimtukane (kuwadharau)mteja acha atukane yeye
2) mchezaji usiwatukane (kudharau)mashabiki wa timu yoyote hata pinzani ,hata viongozi pia n.k
 
Back
Top Bottom