Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasumbuliwa na majini tuMayele sikudhani angekuwa mpumbafu Kia's hiki ameniudhi mno mshenzi sana
FEI hajiamini tena kama alivyokuwa Yanga sijui Dogo wamemtupia majini' mangapi?Andiko reefu lakini haliondoi ukweli kuwa yanga ni club inayofuga majini na kuwarushia wachezaji wanaoondoka huku bado wanatumainiwa.
Simba inawashabiki tofauti sana kwani walimpenda Mayele ingawa hakuwa anachezea Simba. Walimpenda kwa umahiri wake na style yake ya kushangilia.
Yanga mnajulikana mna roho mbaya kwani sio mara yenu ya kwanza.
Vipi kuhusu Fei?
Na hiyo sababu ya kusema kuwa ameamua kuja na hizo tuhuma kwasababu anaenda Azam kwa mkopo sioni kama zina mashiko.
Kwasababu hakuna uhusiano kati ya Yanga na Mayele inayoweza kufikiriwa kuwa jamaa anatafuta sababu ili aondoke Yanga.
Na hakuna sababu ya msingi kwanini isiwezekane kwenda Azam kwa mkopo mpaka atoe kashfa za uongo kwa viongozi.
Hoja yako ya kusema sababu ya Mayele kuja na zile shutuma ni kutokana anaenda Azam kwa mkopo zinapaswa kuchukuliwa kuwa ni facts iwapo njia pekee ya kumfanya aende Azam ni kugombana na Yanga.
Kitu ambacho ni pointless
YANGA haijatwaaa bali ilikwapua kwà njia chafuAyo ni mambo madogo Sana kuyajadili klabu kubwa kama Yanga, Mayele anaweza Rudi na kuchezea timu yoyote na isilete madhara yoyote kwa Yanga.
Morison alienda Simba na Yanga ikatwaa vikombe vyote yeye Morison akiwa Simba.
Wameondoka Nabi na wasaidizi wake, Mayele, Bangal, Juma Shabani , Feisal ao walikua watu muhimu na Bado Yanga inazidi kutesa na kuwa imara.
Kama ni kweli Mayele anataka kurudi Bongo hauitaji Drama zozote kama alivyofanya Faisal.
Yanga Iko imara Sana ku deal na vitu vidogo kama hivyo kwasasa tu focus kwenye point 3 Kila mchezo hesabu zitakua mwisho wa msimu.
Mayele aliyeogopa kujiunga Azam kwa kuhofia atatengeneza maadui ndio Mayele huyo huyo aliyeji commit kutengeneza maadui kwa kashfa za uongo kuwachafua viongozi wa Yanga?Uwe unasoma na kuelewa sio unasoma tu juu juu ili ukimbilie ku comment.
Nanukuu kilichoandikwa:
"Mayele aliwaambia Azam ya Kwamba "Endapo mkinichukua nyie hamuoni nitatengeneza maadui kutoka kwa timu yangu ya zamani ya Yanga?"
Morrison tena mpaka alitutukana sana na kusema Simba ndiyo Chuo sisi Yanga ni Madrasa. Alipotemwa Simba bado tukamchukua. Hatuna baya. Kama Manaara alifukuzwa Simba tukamchukua sisi. So asijione kabisa. Wakimtema kule tutamchukua.Ayo ni mambo madogo Sana kuyajadili klabu kubwa kama Yanga, Mayele anaweza Rudi na kuchezea timu yoyote na isilete madhara yoyote kwa Yanga.
Morison alienda Simba na Yanga ikatwaa vikombe vyote yeye Morison akiwa Simba.
Wameondoka Nabi na wasaidizi wake, Mayele, Bangal, Juma Shabani , Feisal ao walikua watu muhimu na Bado Yanga inazidi kutesa na kuwa imara.
Kama ni kweli Mayele anataka kurudi Bongo hauitaji Drama zozote kama alivyofanya Faisal.
Yanga Iko imara Sana ku deal na vitu vidogo kama hivyo kwasasa tu focus kwenye point 3 Kila mchezo hesabu zitakua mwisho wa msimu.