kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kweli bila kumtumikia ibilisi hii dunia unapotezwa upesi sana.Akina Nandy na matusi yao wana trend na wataendelea kwa nguvu ya vyombo vya habari vingi vikiwa vya ki illuminat.
Naukumbuka sana wimbo changanya changanya ukiwa mzuri,unachezeka,na wenye kugusa hisia sana na kikubwa ukiacha mafunzo.
Uko wapi Enika?
Naukumbuka sana wimbo changanya changanya ukiwa mzuri,unachezeka,na wenye kugusa hisia sana na kikubwa ukiacha mafunzo.
Uko wapi Enika?