ENOKO: Duniani mpaka mbingu ya 10

Uzi mzuri...
 
Fiksi mwanzo, kati na mwisho.

Eric Shigongo naye akiandika kuhusu miungu, si ajabu akaitwa nabii na watu wakasema neno lake ni la mungu.
 
Chai kama chai nyingine nying za jf
 
Kuamini hizi story inakubidi uwe na akiri hatarishi
 
tazama akaanza kuingia kwenye mbingu ya kwanza. Hapa akakutana na bahari kubwa, anasema ukubwa wa bahari ile ni tofauti na bahari ambayo sisi tun
Kwa wale wafuatiliaji wa science , Kuna hii microscope yenye kuitwa Nini sijui ambayo ndiyo imeleta mapinduzi kuhusu idadi ya sayari,juzi wamekuja na jipya kwamba angani Kuna bahari kubwa sana kuliko hizi tulizonazo Duniani, so Kuna kitu hapa ila tungoje mda,Bado Kuna Siri nyingi sana
 
Tuwekee chanzo cha hiyo habari yako usijekuta umeitoa tbc 😁
 
KWA hekima YA wanadamu ndiyo; kwa hekima YAKE HAPANA. MUNGU si MWANADAMU hata aseme uongo
Hili jibu lako ni la kisiasa sana, hebu kua direct aisee achana na mambo ya hekima ambayo haina kipimo maalum
 
This Mungu story is what we call "manufactured reality".

Ni uongo fulani tulioukuza wenyewe mpaka ukaonekana kama ukweli.
Mkuu shukrani sana kwa kitabu cha James kugel how to ready a bible

Nimekisoma na nimejifunza mengi sana, kama utakuwa unafaham vitabu vyengine vyenye mfanana na hicho unaweza kunitajia nikavitafita πŸ™
 
Hili jibu lako ni la kisiasa sana, hebu kua direct aisee achana na mambo ya hekima ambayo haina kipimo maalum
Mshana jr nampenda sana ; ni BINADAMU YUKO WAZI sana. Nyie mnatumia NGUVU NYINGI mno KWA SABABU hamko WAZI. HAKUNA watu ninaowachukia KAMA WATU wanafiki, AU wachawi
 
Mkuu shukrani sana kwa kitabu cha James kugel how to ready a bible

Nimekisoma na nimejifunza mengi sana, kama utakuwa unafaham vitabu vyengine vyenye mfanana na hicho unaweza kunitajia nikavitafita πŸ™
Asante mkuu,

Umesoma "Philosophy of Religion: An Anthology"?

Kama hujasoma naki attach hapa.

Mimi napenda sana chapter ya "The Problem of Evil"

PART IV The Problem of Evil page 276
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…