xavihernandezalcantara
Senior Member
- Nov 17, 2020
- 124
- 132
Hivi kati ya Enrique Iglesias na Ed Sheeran nani zaidi kwenye mziki(hasa hits na sauti)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee mademu wengi wanamkubali Enrique, ngoja waje kwanzaHivi kati ya Enrique Iglesias na Ed Sheeran nani zaidi kwenye mziki(hasa hits na sauti)
Huitaji nyimbo zao kama unazijua ni simple tu kujua nani zaidi kwa upande wakoWeka ngoma zao alafu tuk jibu
Kwanini wanamkubari Enrique?Aisee mademu wengi wanamkubali Enrique, ngoja waje kwanza
😀Niko Hapa Nimeshika Rungu Alilotumia Ndugai Kumpiga Mpinzani Wake Wakati Ule Hadi Akazimia!!
Kwanini wanamkubari Enrique?
😂😂😂Haya ngoja tuwasubiriWalikuwa sekindari wakati ana hit songz shazi
Nadhani ana nyimno nyingi ambazo ni romantic, si unajua hawa wadada wanependa soft songs, mfano Hero, My number one, hizo ni nyimbo ambazo ziliwabamba madada wengi sanaKwanini wanamkubari Enrique?
Hiyo Hero🙌Nadhani ana nyimno nyingi ambazo ni romantic, si unajua hawa wadada wanependa soft songs, mfano Hero, My number one, hizo ni nyimbo ambazo ziliwabamba madada wengi sana
Huo wimbo ulinipa mke buashee, maana nilikua nafanya kumuimbia kabisa, demu akaona huyu sio ndio hero mwenyewe, nikaweka ndani mazima mpaka leo ni my wife wangu na tuna watoto wawiliHiyo Hero[emoji119]
Really mkuu???Huo wimbo ulinipa mke buashee, maana nilikua nafanya kumuimbia kabisa, demu akaona huyu sio ndio hero mwenyewe, nikaweka ndani mazima mpaka leo ni my wife wangu na tuna watoto wawili
So anesema mmoja ni kisanga mwingine ni nyoko sasa pima.kati ya nyoko na kisanga nani zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahyo nani zaidi???
Kisangaaa ni hatari(Enrique)😂😂😂So anesema mmoja ni kisanga mwingine ni nyoko sasa pima.kati ya nyoko na kisanga nani zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes ndugu, Mungu amenijalia sauri nzuri ya kuimba, sasa huyu mama nilikua nampenda na nilijua udhaifu wake alikua anapenda sana soft songs, nikajisogeza karibu, siku moja ilikua birthday yake nikamwomba twende out, hapo alikua ananizungusha bado mara staki nataka, nikasema ngoja nijitose tu liwalo na liwe, baada ya dinner nikamwambia nina zawadi yako ya birthday, halafu nikashusha hilo songi, demu mpaka mavhozi yakamtoka, basi kuanzia hiyo siku nikaanza kula kimasikhara, akikasirika tu namwimbia anatulia mpaka leo ni lovely wife with beautful kids broReally mkuu???
Hapo hata mimi nakubaliKisangaaa ni hatari(Enrique)[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera saana mkuu....Yes ndugu, Mungu amenijalia sauri nzuri ya kuimba, sasa huyu mama nilikua nampenda na nilijua udhaifu wake alikua anapenda sana soft songs, nikajisogeza karibu, siku moja ilikua birthday yake nikamwomba twende out, hapo alikua ananizungusha bado mara staki nataka, nikasema ngoja nijitose tu liwalo na liwe, baada ya dinner nikamwambia nina zawadi yako ya birthday, halafu nikashusha hilo songi, demu mpaka mavhozi yakamtoka, basi kuanzia hiyo siku nikaanza kula kimasikhara, akikasirika tu namwimbia anatulia mpaka leo ni lovely wife with beautful kids bro
Asante Mkuu, angejua anipe tu hata bonus ya krismas mkuu ingekua poaHongera saana mkuu....
Enrique natamani angejua hii[emoji3]
😀Tuombe MunguAsante Mkuu, angejua anipe tu hata bonus ya krismas mkuu ingekua poa