Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,016
- 1,886
Hata kilugha ni kizuri bro, hakibadilishi utamu wa mkeWatu mna nyota mm wangu anajua za kilugha tu, akina Fwenya mulamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kilugha ni kizuri bro, hakibadilishi utamu wa mkeWatu mna nyota mm wangu anajua za kilugha tu, akina Fwenya mulamu.
Sikiliza sasa hapa mafundi ( Whitney Houston, Enrique Iglesias - Could I Have This Kiss Forever )Ila bwana Enrique akikutana na sean song lazima liwe🔥🔥🔥🔥🔥
Sauti kama sauti yaani 😊Ila bwana Enrique akikutana na sean song lazima liwe🔥🔥🔥🔥🔥
Sikiliza sasa hapa mafundi ( Whitney Houston, Enrique Iglesias - Could I Have This Kiss Forever )
View attachment 1651595
👌👌👌👌 Thank you
Hahahaaaaa......Mruhusu tu ndugu, huyu jamaa amewabamba wake zetu sana
Hongera Sana mkuuYes ndugu, Mungu amenijalia sauri nzuri ya kuimba, sasa huyu mama nilikua nampenda na nilijua udhaifu wake alikua anapenda sana soft songs, nikajisogeza karibu, siku moja ilikua birthday yake nikamwomba twende out, hapo alikua ananizungusha bado mara staki nataka, nikasema ngoja nijitose tu liwalo na liwe, baada ya dinner nikamwambia nina zawadi yako ya birthday, halafu nikashusha hilo songi, demu mpaka mavhozi yakamtoka, basi kuanzia hiyo siku nikaanza kula kimasikhara, akikasirika tu namwimbia anatulia mpaka leo ni lovely wife with beautful kids bro
Lile goma ni balaaSUBENE LE RADIO Rmx Ft Gente de zona
Kaua sana Enrique hizi ndiyo chimbo za raggae tone wabongo wanapaste huku
Sent from my Nokia 1.3 using JamiiForums mobile app
Eti nywele kama shivo,umenikumbusha monkey wa journey to the west,itv walijua kutukamata kipindi kile🤣🤣🤣🤣🤣🤣Japo ni mwanamuziki wa nyakati mbili tofauti, Enrique is ❤
Nqa uzuri unachangiamo.
Ed ana sura personal sana ya kizungu plus na zile nywele.
Kama Shivo.
Hapana kwa kweli.
My yes to Enrique.
Mana wote wana sauti nzuri, mashairi mazuri.
Enrique pamoja na Umri kwenda ana swags (runs in the family naona.babake alikuwa anasumbua na yeye)
Ed mzungu wa Mashariki ya Mbali mno banaaa.