Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #21
Sana mkuuNa inakuwa chanzo cha migogoro isiyoisha na watu hufikia hatua ya hata kuuana
Tiyari sio hili tu ni mengi zaidiNaona wosia wako tayari umeuandika kama ID yako.
Kurithisha mkuuHuna cha kuridhisha unaandika wosia wa nini 😂😂😂
Kwani wewe huoni Tyr nimeshaandika mkuu?Kama mtu mwenye umri wa miaka 60+ kwako ni kaka, basi hata wewe pia andika wosia
😂😂😂umeelewa maanaKurithisha mkuu
22 umeenda mbali mno mkuu wa kufa hata wa siku1 tu wengine wanazaliwa wameshakufa tiyari.Anakufa yoyote saa yoyote, hata wa miaka 22 aandike.
Kwani katiba inasema ni kosa kisheria kuzaa Nje ya ndoa?Point ya mtoto wa nje ya mbona umeikazia sana, ni kama umehalalisha ionekane sio kosa kwenye jamii
Mkuu kifo hakichagui 100% yeyote yule anaweza kufa hata wa siku1 Moja.Nimwahi kwenda makaburini nikaona makaburi ya wakubwa na watoto. Nakajifunza kifo hakichagui umri. Kumbe sikuelewa vizuri.
Eee Wala usijari mkuu nimeelewa maana. Kama huna Cha kurithisha hata nguo zako tu? Kuna mzee yeye aliacha wosia kuwa akifa kanzu yake apewe mjukuu wake w Fulani maana hakuwa na Mali😂😂😂umeelewa maana
😂😂😂😂😂😂😂Eee Wala usijari mkuu nimeelewa maana. Kama huna Cha kurithisha hata nguo zako tu? Kuna mzee yeye aliacha wosia kuwa akifa kanzu yake apewe mjukuu wake w Fulani maana hakuwa na Mali
Hoja yangu ni mwenye cha kuandika aandike bila kujali umri.22 umeenda mbali mno mkuu wa kufa hata wa siku1 tu wengine wanazaliwa wameshakufa tiyari.
Hoja Yako ni ipi?
Sahihi 100%Hoja yangu ni mwenye cha kuandika aandike bila kujali umri.
Ila kama hutaki kuandika na unaona siku zimebaki chache unaweza uza kila ulicho nacho ukajilia bata.Sahihi 100%
Hapana mkuu labda kama huna Watoto. Ujue tukubali tukatae Mali za urithi Kwa mtoto mwenye akili Huwa zinatoa mwelekeo wake wa maisha!!!Ila kama hutaki kuandika na unaona siku zimebaki chache unaweza uza kila ulicho nacho ukajilia bata.
Andika kwanza wewe! Utakufa lini?Mungu ni mwema.
Mlioenda kanisani mmetuombea lakini?
Hatuombeaani mabaya lakinivitabu vya dini vimesema wazi kuwa "mwandamu aliezaliwa na mwanamke siku za kuishi huseabika" Hivyo ipo siku utatangulia mbele zake iwe kwa umri huo au chini yake maana wote safari yetu ni moja.
Kwa sababu mwanaume wewe ndiye kiongozi wa familia ni vyema na haki kabla hujaondoka hapo ukaacha mwongozo.Nimeshuhudia watoto wa nje ya ndoa hawapati kitu ili hali ni bao lako kabisa...
Ili kuondoa mkanganyiko huo ni vyema sasa kabla ya yote ukaacha wosia kama mwongozo.Kumbuka ukifa bila mwongozo MKE WAKO ATAOLEWA NA MALI ZAKO ZITATAPANYWA OVYO NA HUYO JAMAA.
Basi ili kuondoa hilo njia bora na salama nikuacha wosia ungali ukiwa hai na afya tele.Hii huondoa kila uhuni wa wanawake waroho wa mali hasa kwa watoto wetu wa nje ya ndoa wakaati ipo wazi mtoto wa nje ya ndoa ndo huwa na upendo wa dhati kwetu.Mungu awabriki sana watoto wetu wa nje ya ndoa.
Finaly mali zako kutumiwa na mwanaume mwenzako asiye jua uchungu ulio upitia watoto wako watakulaani siku zote mioyoni mwao.
UZI TIwatotoa
Ni maamuzi tu mkuu, esp kama una mitoto inatamani ufe sababu ya mali.Hapana mkuu labda kama huna Watoto. Ujue tukubali tukatae Mali za urithi Kwa mtoto mwenye akili Huwa zinatoa mwelekeo wake wa maisha!!!
Huwezi linganisha na watoto ambao tumeruthi majina ya ukoo pekee yake na mtu Ambae kwao zipo. Utarumia nguvu kubwa sana kutoboa
Angalia hata kwenye siasa wanavyorithishana vyeo wewe usije na connection ni ngumu mnoo.
Ndiyo maana ukasema wewe ukifa mkeo asiolewe? Marehemu wivu mpaka kaburini!Mungu ni mwema.
Mlioenda kanisani mmetuombea lakini?
Hatuombeaani mabaya lakinivitabu vya dini vimesema wazi kuwa "mwandamu aliezaliwa na mwanamke siku za kuishi huseabika" Hivyo ipo siku utatangulia mbele zake iwe kwa umri huo au chini yake maana wote safari yetu ni moja.
Kwa sababu mwanaume wewe ndiye kiongozi wa familia ni vyema na haki kabla hujaondoka hapo ukaacha mwongozo.Nimeshuhudia watoto wa nje ya ndoa hawapati kitu ili hali ni bao lako kabisa...
Ili kuondoa mkanganyiko huo ni vyema sasa kabla ya yote ukaacha wosia kama mwongozo.Kumbuka ukifa bila mwongozo MKE WAKO ATAOLEWA NA MALI ZAKO ZITATAPANYWA OVYO NA HUYO JAMAA.
Basi ili kuondoa hilo njia bora na salama nikuacha wosia ungali ukiwa hai na afya tele.Hii huondoa kila uhuni wa wanawake waroho wa mali hasa kwa watoto wetu wa nje ya ndoa wakaati ipo wazi mtoto wa nje ya ndoa ndo huwa na upendo wa dhati kwetu.Mungu awabriki sana watoto wetu wa nje ya ndoa.
Finaly mali zako kutumiwa na mwanaume mwenzako asiye jua uchungu ulio upitia watoto wako watakulaani siku zote mioyoni mwao.
UZI TIYARI
Nimeshaandika kitambo mkuuAndika kwanza wewe! Utakufa lini?