Enyi kaka zetu wenye umri wa miaka 60+ ni muda sahihi sasa wa kuandika wosia kwa familia zenu

Enyi kaka zetu wenye umri wa miaka 60+ ni muda sahihi sasa wa kuandika wosia kwa familia zenu

Nimwahi kwenda makaburini nikaona makaburi ya wakubwa na watoto. Nakajifunza kifo hakichagui umri. Kumbe sikuelewa vizuri.
Mkuu kifo hakichagui 100% yeyote yule anaweza kufa hata wa siku1 Moja.

Haya ni mawazo/ushauri wangu nimeona Hadi unafikisha miaka60 kama hujaandika wosia ni vyema na haki ukafanya hivyo.

Nimeona vijana under 50 wengi wao hawajajipata Bado hawana miradi wengi wetu tuna nyumba za kuishi na kausafiri.

Hii miaka 60 wengi wao ni retirement tiyari ...nimeekeza huko juu
 
Ila kama hutaki kuandika na unaona siku zimebaki chache unaweza uza kila ulicho nacho ukajilia bata.
Hapana mkuu labda kama huna Watoto. Ujue tukubali tukatae Mali za urithi Kwa mtoto mwenye akili Huwa zinatoa mwelekeo wake wa maisha!!!

Huwezi linganisha na watoto ambao tumeruthi majina ya ukoo pekee yake na mtu Ambae kwao zipo. Utarumia nguvu kubwa sana kutoboa

Angalia hata kwenye siasa wanavyorithishana vyeo wewe usije na connection ni ngumu mnoo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mungu ni mwema.

Mlioenda kanisani mmetuombea lakini?

Hatuombeaani mabaya lakinivitabu vya dini vimesema wazi kuwa "mwandamu aliezaliwa na mwanamke siku za kuishi huseabika" Hivyo ipo siku utatangulia mbele zake iwe kwa umri huo au chini yake maana wote safari yetu ni moja.

Kwa sababu mwanaume wewe ndiye kiongozi wa familia ni vyema na haki kabla hujaondoka hapo ukaacha mwongozo.Nimeshuhudia watoto wa nje ya ndoa hawapati kitu ili hali ni bao lako kabisa...

Ili kuondoa mkanganyiko huo ni vyema sasa kabla ya yote ukaacha wosia kama mwongozo.Kumbuka ukifa bila mwongozo MKE WAKO ATAOLEWA NA MALI ZAKO ZITATAPANYWA OVYO NA HUYO JAMAA.

Basi ili kuondoa hilo njia bora na salama nikuacha wosia ungali ukiwa hai na afya tele.Hii huondoa kila uhuni wa wanawake waroho wa mali hasa kwa watoto wetu wa nje ya ndoa wakaati ipo wazi mtoto wa nje ya ndoa ndo huwa na upendo wa dhati kwetu.Mungu awabriki sana watoto wetu wa nje ya ndoa.

Finaly mali zako kutumiwa na mwanaume mwenzako asiye jua uchungu ulio upitia watoto wako watakulaani siku zote mioyoni mwao.

UZI TIwatotoa
Andika kwanza wewe! Utakufa lini?
 
Hapana mkuu labda kama huna Watoto. Ujue tukubali tukatae Mali za urithi Kwa mtoto mwenye akili Huwa zinatoa mwelekeo wake wa maisha!!!

Huwezi linganisha na watoto ambao tumeruthi majina ya ukoo pekee yake na mtu Ambae kwao zipo. Utarumia nguvu kubwa sana kutoboa

Angalia hata kwenye siasa wanavyorithishana vyeo wewe usije na connection ni ngumu mnoo.
Ni maamuzi tu mkuu, esp kama una mitoto inatamani ufe sababu ya mali.
Screenshot_20250214-170621_Facebook.jpg
 
Mungu ni mwema.

Mlioenda kanisani mmetuombea lakini?

Hatuombeaani mabaya lakinivitabu vya dini vimesema wazi kuwa "mwandamu aliezaliwa na mwanamke siku za kuishi huseabika" Hivyo ipo siku utatangulia mbele zake iwe kwa umri huo au chini yake maana wote safari yetu ni moja.

Kwa sababu mwanaume wewe ndiye kiongozi wa familia ni vyema na haki kabla hujaondoka hapo ukaacha mwongozo.Nimeshuhudia watoto wa nje ya ndoa hawapati kitu ili hali ni bao lako kabisa...

Ili kuondoa mkanganyiko huo ni vyema sasa kabla ya yote ukaacha wosia kama mwongozo.Kumbuka ukifa bila mwongozo MKE WAKO ATAOLEWA NA MALI ZAKO ZITATAPANYWA OVYO NA HUYO JAMAA.

Basi ili kuondoa hilo njia bora na salama nikuacha wosia ungali ukiwa hai na afya tele.Hii huondoa kila uhuni wa wanawake waroho wa mali hasa kwa watoto wetu wa nje ya ndoa wakaati ipo wazi mtoto wa nje ya ndoa ndo huwa na upendo wa dhati kwetu.Mungu awabriki sana watoto wetu wa nje ya ndoa.

Finaly mali zako kutumiwa na mwanaume mwenzako asiye jua uchungu ulio upitia watoto wako watakulaani siku zote mioyoni mwao.

UZI TIYARI
Ndiyo maana ukasema wewe ukifa mkeo asiolewe? Marehemu wivu mpaka kaburini!
 
Back
Top Bottom