ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi ndo marafiki zangu sana nawakubali mbona tunakula nao mifumo tunalewa nao wana vibe tu
Kuhusu mambo yao ya kazi me sielewi..labda azingue kwenye operation ila eti kuandikiwa vipimo na dawa ni kazi nayo??Acha wivu
Kuhusu mambo yao ya kazi me sielewi..labda azingue kwenye operation ila eti kuandikiwa vipimo na dawa ni kazi nayo??Acha wivu