Enyi Madaktari acheni ushamba na ulimbukeni wa taaluma zenu

Mimi ndo marafiki zangu sana nawakubali mbona tunakula nao mifumo tunalewa nao wana vibe tu


Kuhusu mambo yao ya kazi me sielewi..labda azingue kwenye operation ila eti kuandikiwa vipimo na dawa ni kazi nayo??Acha wivu
 
Madaktari hawa watoto aseehh ni stress tupu Jamani
 
hakuna kinachoshindikana hata wewe unaweza.........
 
Kumbuka wenginewalisoma kupata sifa kitaa na sio kwa huduma, hivyo lazima wavimbe muwape hiyo sifa kuwa wao vichwa... Wanajiita Dr. Kijana😁😁😁
Serikali isipoweka performance management inayohusisha wateja yaani kupata maoni ya wagonjwa juu ya utendaji wao, sio vile vibox vya sanduku la maoni vilivyo wekwa mbele pale no😁😁 na kusimamia vema hayo maoni utegemee mauzauza kibao, vijana wengi hawako serious na kazi zao... Simu na mtandao ya kijamii ndio haswa vipaumbele vyao... Tutakua Sana.
 
We jamaa bwana. 😁😁😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
jamaa badala anisikilize yeye busy na kuchat nikasema weeee hasira ukapanda, nikamkunja ndani mule, akapiga yowe la woga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la mibongo mnataka watu wafanye kazi bure.

Stupid.

Kati ya huyo Daktari ni Nani mlipa Kodi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…