Enyi ndugu Waislamu, funga yenu isifanye wasiofunga wateseke

Haya tutamwambia Bakhresa.

Si ufunge tu na wewe.
 
Tangu ramadhan imeanza ni mwendo wa kushambulia waislamu na uislamu kwa ujumla

Mwenyezi Mungu anasema; "Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao" (2:120)
 
Ili tuwavunjie heshima?
Lakini tuwavumilie tu wengine ndio hulka yao tu
Mungu atupe Subra kila wakati

Mada hizi tunaziona kila siku ila tuzipuuze tu

Tangu ramadhan imeanza ni mwendo wa kushambulia waislamu na uislamu kwa ujumla

Amesema Mwenyezi Mungu . "Hawatakuwa radhi juu yako Mayahudi wala Wakristo mpaka ufuate mila zao" (2:120)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…