Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

Msituletee Habari za Vifo tu vya Viongozi kufia Nje ya Nchi walipokua wanatibiwa.

Na Watanzania hawatakiwi Kuogopa Et kufanya kazi Nchi za waarabu ni hatari, Kuna kuuwawa n.k

Dunia iliingia mikataba ya Kimataifa Kwa pamoja kuhusu haki ya kuishi ya kila mwanadamu na haki hizo lazima ziheshimiwe .

Kufanya kazi Nchi za Nje pale Mtanzania anapopata nafasi ni Fursa Moja kwake, Familia yake na Kwa Taifa, in fact Ni Fedha hizohizo anazokua analipwa huko kama Ujira huzirudisha hapa Nchini Kwa ajili ya Kujennga Nchi.

Sasa ikiwa ni hivo kwanini Tusione nafsi ya mtanzania ni ya THAMANI sana ??

Sitaki kuamini kama tunaweza kupuuzia Nafasi ya Mtanzania Kwa kusema Kifo ni Kifo.

Na Sitaki kuyaamini masuala ya Kumuachia Mungu katika jambo ambalo linahitaji juhudi za Mwanadamu tu.

Tunayo Wizara ya Mambo ya Nje , Kazi yake ni nini??.

Kwamba ni Wizara Kwa ajili ya kutafuta wawekezaji , Uhusiano wa kiinchi na kuratibu Shughuli za Rais awapo nchini humo?.

Case Study , Kuna huyu Binti ( Kati ya Wengi waliokufa na vifo visivyoeleweka) aliyekua akifanya kazi OMAN , kwamba amekutwa Kafia kwenye chemba ya Mavi !!.

Hiyo habari ninaiona mitandaoni tu , ikanitia maswali , Katika Mazishi Ndugu wanaumia, na mwisho wanasema tunamuachia Mungu..... Hapa ndipo kumenifanya niandike Uzi Huu.

Kwamba Serikali hii Haina chochote Cha kufanya kuhakikisha Ndugu wa Marehem wanapata taarifa kamili ?

Na ikiwezekana baada ya kuthibítika kama Kuna mkono wa MTU, wahusika Wakamatwe, waletwe Nchini, na hata wasipokamatwa hukohuko nchini kwao, Kesi iendeshwe ?

Yaan Kwa namna yoyote Ile hata wasipohukumiwa Vifo basi Angalau Familia hii ifutwe machozi Kwa Fidia??.

Tunauwauzia Waarabu maeneo hapa Nchini, lkn haohao waarabu hatuwezi kuwawajibisha juu ya watu wetu?…

Yaan Wageni wa Nchii hiii kwetu tunawapokea na kuwapa Wanachotaka, ila sisi kwao Tuishi kama Maumbwa ?

Kisha MTU Moja anakuja kusimama mbele ya vyombo vya habari na kujisifu, tumefungua Nchi, ona wawekezaji wa kiarabu na mablaa mablaah meeeeengi ya kipuuzi.

Haya Masuala yanatia sana Hasira , ni Masuala ya kukemewa Kwa Matendo na Vitendo.

Ni Maajabu sana vifo vya namna hii kupita tu ka upepo kwenye Mitandao ya Kijamii alafu Serikali imekaa kimya tuuu .

Kwa Serikali sikivu na yenye uwajibikaji Kwa wananchi wake, Jambo hili ni lazima walipokee kupitia mitandao Jamii Kisha kulifanyika kazi na kuja na Taarifa Rasimi.

Kwa namna Nyingi, MWILI WA MAREHEM ULIPASWA USIZIKWE, UCHUNGUZI KUFANYIKA KUJUA KISABABISHI HASA CHA KIFO CHAKE, inawezekana aliuwawa Kwa Sumu ,au kuzibwa pua na mdomo, au kipigo Kisha akadumbukizwa huko .

Serikali lazima iwe PROACTIVE na REACTIVE,, hivi kweli mitandao ya kijamii imereport Taarifa kama hiyo, Bado mlokula Pesa za watanzania mkashiba matumbo, mmekaa tu bila kuonyesha lolote, yaan hata kutangaza, Serikali kupitia Wizara ya Nje, inalishughulikia ? Serikali imeamua kukufanyia Uchunguzi mwili wa MAREHEM Kwa uwepo wa pande zote mbili za Nchi ??.

Haya Hata Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nayo yamelala, mpaka shida itokee Kwa Mtanzania anayeishi nchini Tena liwe suala la kisiasa, ndio utasikia wanatoka, HIVI TUMEROGWA NA NA NANI??.

Hivi Leo hii MUISRAEL akutwe Kafia CHUMBAN Hotelini Moja hapa Tanzania,,, mtakaa kama mnavyokaa ??

Ok, Afe Kiongozi mwenzenu hapo Nje ya Nchi aloenda Kikazi tu, Kifo Cha namna hiyo, mtakaa miguu juu kama mlivyokaa??.

Mambo haya narudia kusema yanatia Hasira sana Kwa Wananchi.

NI UJINGA MKUBWA WATU KUOGOPA KWENDA KUFANYA KAZI KWA KUHOFIA VIFO VYA NAMNA HII, NCHI ITAJENGWAJE SASA?.

Wakenya waishio ughaibuni wanarudisha nchini kwao Billions of Dollars kujenga Nchi yao,, Watanzania waogope kufanya kazi nje Kwa vitu kama hivi na Serikali Ipo???.

Hoja yangu hapo ni kwamba, Kwann suluhusho la vifo vya aina hii kwa Watanzania iwe ni Kuogopa kwenda kufanya kazi ? .

WACHINA wamejazana Dar, mbona hatuwatendi hivo? Na Tena Kuna wakati WACHINA haohao wanawaua watanzania .

Nihitimishe Kwa uchungu sana, Katika Uchungu MTU huandika kupita kiasi, niwaombee sana Serikali ,Embu Kuweni Serious na Nafasi ya Kila Mtanzania , Walindeni watanzania nje ya Nchi , HAIINGII AKILINI WAARABU WAPEWE MAENEO KWA JINA LA WAWEKEZAJI, WAKATI HUOHUO SISI KWAO TUISHI KAMA WATUMWA.
Tatizo wadada wa kibongo wanaweka tamaa mbele kupanua mapaja kwa maboss zao ndo kunawafanya wakaribie kwenye kaburi
 
Sasa hata Dada Maria ametekwa huko Kenya hii serikali ya CCM iko kimya hivi huko kwa Mwarabu wataingea kweli?!
Nikitaka kuchangia lakini ulivyoingiza habari ya hii movie iliyofeli ya hilo chepuko lenu, nimeamua kukaa kimya tu Ili mjadili kwa upana habari hii iliyokosa uthibitisho na hatimaye muweze kuzimwaga chuki zenu zilizoganda mioyoni mwenu dhidi ya waarabu kwa Raha zenu😊😊😊
 
Msituletee Habari za Vifo tu vya Viongozi kufia Nje ya Nchi walipokua wanatibiwa.

Na Watanzania hawatakiwi Kuogopa Et kufanya kazi Nchi za waarabu ni hatari, Kuna kuuwawa n.k

Dunia iliingia mikataba ya Kimataifa Kwa pamoja kuhusu haki ya kuishi ya kila mwanadamu na haki hizo lazima ziheshimiwe .

Kufanya kazi Nchi za Nje pale Mtanzania anapopata nafasi ni Fursa Moja kwake, Familia yake na Kwa Taifa, in fact Ni Fedha hizohizo anazokua analipwa huko kama Ujira huzirudisha hapa Nchini Kwa ajili ya Kujennga Nchi.

Sasa ikiwa ni hivo kwanini Tusione nafsi ya mtanzania ni ya THAMANI sana ??

Sitaki kuamini kama tunaweza kupuuzia Nafasi ya Mtanzania Kwa kusema Kifo ni Kifo.

Na Sitaki kuyaamini masuala ya Kumuachia Mungu katika jambo ambalo linahitaji juhudi za Mwanadamu tu.

Tunayo Wizara ya Mambo ya Nje , Kazi yake ni nini??.

Kwamba ni Wizara Kwa ajili ya kutafuta wawekezaji , Uhusiano wa kiinchi na kuratibu Shughuli za Rais awapo nchini humo?.

Case Study , Kuna huyu Binti ( Kati ya Wengi waliokufa na vifo visivyoeleweka) aliyekua akifanya kazi OMAN , kwamba amekutwa Kafia kwenye chemba ya Mavi !!.

Hiyo habari ninaiona mitandaoni tu , ikanitia maswali , Katika Mazishi Ndugu wanaumia, na mwisho wanasema tunamuachia Mungu..... Hapa ndipo kumenifanya niandike Uzi Huu.

Kwamba Serikali hii Haina chochote Cha kufanya kuhakikisha Ndugu wa Marehem wanapata taarifa kamili ?

Na ikiwezekana baada ya kuthibítika kama Kuna mkono wa MTU, wahusika Wakamatwe, waletwe Nchini, na hata wasipokamatwa hukohuko nchini kwao, Kesi iendeshwe ?

Yaan Kwa namna yoyote Ile hata wasipohukumiwa Vifo basi Angalau Familia hii ifutwe machozi Kwa Fidia??.

Tunauwauzia Waarabu maeneo hapa Nchini, lkn haohao waarabu hatuwezi kuwawajibisha juu ya watu wetu?…

Yaan Wageni wa Nchii hiii kwetu tunawapokea na kuwapa Wanachotaka, ila sisi kwao Tuishi kama Maumbwa ?

Kisha MTU Moja anakuja kusimama mbele ya vyombo vya habari na kujisifu, tumefungua Nchi, ona wawekezaji wa kiarabu na mablaa mablaah meeeeengi ya kipuuzi.

Haya Masuala yanatia sana Hasira , ni Masuala ya kukemewa Kwa Matendo na Vitendo.

Ni Maajabu sana vifo vya namna hii kupita tu ka upepo kwenye Mitandao ya Kijamii alafu Serikali imekaa kimya tuuu .

Kwa Serikali sikivu na yenye uwajibikaji Kwa wananchi wake, Jambo hili ni lazima walipokee kupitia mitandao Jamii Kisha kulifanyika kazi na kuja na Taarifa Rasimi.

Kwa namna Nyingi, MWILI WA MAREHEM ULIPASWA USIZIKWE, UCHUNGUZI KUFANYIKA KUJUA KISABABISHI HASA CHA KIFO CHAKE, inawezekana aliuwawa Kwa Sumu ,au kuzibwa pua na mdomo, au kipigo Kisha akadumbukizwa huko .

Serikali lazima iwe PROACTIVE na REACTIVE,, hivi kweli mitandao ya kijamii imereport Taarifa kama hiyo, Bado mlokula Pesa za watanzania mkashiba matumbo, mmekaa tu bila kuonyesha lolote, yaan hata kutangaza, Serikali kupitia Wizara ya Nje, inalishughulikia ? Serikali imeamua kukufanyia Uchunguzi mwili wa MAREHEM Kwa uwepo wa pande zote mbili za Nchi ??.

Haya Hata Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nayo yamelala, mpaka shida itokee Kwa Mtanzania anayeishi nchini Tena liwe suala la kisiasa, ndio utasikia wanatoka, HIVI TUMEROGWA NA NA NANI??.

Hivi Leo hii MUISRAEL akutwe Kafia CHUMBAN Hotelini Moja hapa Tanzania,,, mtakaa kama mnavyokaa ??

Ok, Afe Kiongozi mwenzenu hapo Nje ya Nchi aloenda Kikazi tu, Kifo Cha namna hiyo, mtakaa miguu juu kama mlivyokaa??.

Mambo haya narudia kusema yanatia Hasira sana Kwa Wananchi.

NI UJINGA MKUBWA WATU KUOGOPA KWENDA KUFANYA KAZI KWA KUHOFIA VIFO VYA NAMNA HII, NCHI ITAJENGWAJE SASA?.

Wakenya waishio ughaibuni wanarudisha nchini kwao Billions of Dollars kujenga Nchi yao,, Watanzania waogope kufanya kazi nje Kwa vitu kama hivi na Serikali Ipo???.

Hoja yangu hapo ni kwamba, Kwann suluhusho la vifo vya aina hii kwa Watanzania iwe ni Kuogopa kwenda kufanya kazi ? .

WACHINA wamejazana Dar, mbona hatuwatendi hivo? Na Tena Kuna wakati WACHINA haohao wanawaua watanzania .

Nihitimishe Kwa uchungu sana, Katika Uchungu MTU huandika kupita kiasi, niwaombee sana Serikali ,Embu Kuweni Serious na Nafasi ya Kila Mtanzania , Walindeni watanzania nje ya Nchi , HAIINGII AKILINI WAARABU WAPEWE MAENEO KWA JINA LA WAWEKEZAJI, WAKATI HUOHUO SISI KWAO TUISHI KAMA WATUMWA.
Bro pole sana Mkuu... Lakini pamoja na uchungu tulionao wote ila hoja hii ni kama maji kutwanga kwenye kinu. Nchi yetu inahitaji maombi tu labda ndio viongozi watatenda. Thamani ya mtanzania ni nchini tena akifanywa matendo ovu na mtanzania mwenzake, ila nje ya hapa basi atashughulikia akikutwa na madawa tu.

Mungu tusaidie
 
Inaumiza kinyama yaani

Mtu unajaa hasira mpaka unajisemea sjui nilipize kisasi kwa waarabu tunaokaa nao ama vipi
 
Nchi nyingi za Africa zimeshapiga marufuku mabinti kwenda kufanya kazi Uarabuni, lakini Tanzania ukitaja waarabu umetaja watakatifu, shida ni kubwa
 
Uzuri wengi wa wanaoenda huko(wafanyakazi) ni wa dini ile ya mnyazi mungu so acha tu wauane watajua wenyewe sisi labda kwa watasha ndio kidogo tutashituka
 
Msituletee Habari za Vifo tu vya Viongozi kufia Nje ya Nchi walipokua wanatibiwa.

Na Watanzania hawatakiwi Kuogopa Et kufanya kazi Nchi za waarabu ni hatari, Kuna kuuwawa n.k

Dunia iliingia mikataba ya Kimataifa Kwa pamoja kuhusu haki ya kuishi ya kila mwanadamu na haki hizo lazima ziheshimiwe .

Kufanya kazi Nchi za Nje pale Mtanzania anapopata nafasi ni Fursa Moja kwake, Familia yake na Kwa Taifa, in fact Ni Fedha hizohizo anazokua analipwa huko kama Ujira huzirudisha hapa Nchini Kwa ajili ya Kujennga Nchi.

Sasa ikiwa ni hivo kwanini Tusione nafsi ya mtanzania ni ya THAMANI sana ??

Sitaki kuamini kama tunaweza kupuuzia Nafasi ya Mtanzania Kwa kusema Kifo ni Kifo.

Na Sitaki kuyaamini masuala ya Kumuachia Mungu katika jambo ambalo linahitaji juhudi za Mwanadamu tu.

Tunayo Wizara ya Mambo ya Nje , Kazi yake ni nini??.

Kwamba ni Wizara Kwa ajili ya kutafuta wawekezaji , Uhusiano wa kiinchi na kuratibu Shughuli za Rais awapo nchini humo?.

Case Study , Kuna huyu Binti ( Kati ya Wengi waliokufa na vifo visivyoeleweka) aliyekua akifanya kazi OMAN , kwamba amekutwa Kafia kwenye chemba ya Mavi !!.

Hiyo habari ninaiona mitandaoni tu , ikanitia maswali , Katika Mazishi Ndugu wanaumia, na mwisho wanasema tunamuachia Mungu..... Hapa ndipo kumenifanya niandike Uzi Huu.

Kwamba Serikali hii Haina chochote Cha kufanya kuhakikisha Ndugu wa Marehem wanapata taarifa kamili ?

Na ikiwezekana baada ya kuthibítika kama Kuna mkono wa MTU, wahusika Wakamatwe, waletwe Nchini, na hata wasipokamatwa hukohuko nchini kwao, Kesi iendeshwe ?

Yaan Kwa namna yoyote Ile hata wasipohukumiwa Vifo basi Angalau Familia hii ifutwe machozi Kwa Fidia??.

Tunauwauzia Waarabu maeneo hapa Nchini, lkn haohao waarabu hatuwezi kuwawajibisha juu ya watu wetu?…

Yaan Wageni wa Nchii hiii kwetu tunawapokea na kuwapa Wanachotaka, ila sisi kwao Tuishi kama Maumbwa ?

Kisha MTU Moja anakuja kusimama mbele ya vyombo vya habari na kujisifu, tumefungua Nchi, ona wawekezaji wa kiarabu na mablaa mablaah meeeeengi ya kipuuzi.

Haya Masuala yanatia sana Hasira , ni Masuala ya kukemewa Kwa Matendo na Vitendo.

Ni Maajabu sana vifo vya namna hii kupita tu ka upepo kwenye Mitandao ya Kijamii alafu Serikali imekaa kimya tuuu .

Kwa Serikali sikivu na yenye uwajibikaji Kwa wananchi wake, Jambo hili ni lazima walipokee kupitia mitandao Jamii Kisha kulifanyika kazi na kuja na Taarifa Rasimi.

Kwa namna Nyingi, MWILI WA MAREHEM ULIPASWA USIZIKWE, UCHUNGUZI KUFANYIKA KUJUA KISABABISHI HASA CHA KIFO CHAKE, inawezekana aliuwawa Kwa Sumu ,au kuzibwa pua na mdomo, au kipigo Kisha akadumbukizwa huko .

Serikali lazima iwe PROACTIVE na REACTIVE,, hivi kweli mitandao ya kijamii imereport Taarifa kama hiyo, Bado mlokula Pesa za watanzania mkashiba matumbo, mmekaa tu bila kuonyesha lolote, yaan hata kutangaza, Serikali kupitia Wizara ya Nje, inalishughulikia ? Serikali imeamua kukufanyia Uchunguzi mwili wa MAREHEM Kwa uwepo wa pande zote mbili za Nchi ??.

Haya Hata Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu nayo yamelala, mpaka shida itokee Kwa Mtanzania anayeishi nchini Tena liwe suala la kisiasa, ndio utasikia wanatoka, HIVI TUMEROGWA NA NA NANI??.

Hivi Leo hii MUISRAEL akutwe Kafia CHUMBAN Hotelini Moja hapa Tanzania,,, mtakaa kama mnavyokaa ??

Ok, Afe Kiongozi mwenzenu hapo Nje ya Nchi aloenda Kikazi tu, Kifo Cha namna hiyo, mtakaa miguu juu kama mlivyokaa??.

Mambo haya narudia kusema yanatia Hasira sana Kwa Wananchi.

NI UJINGA MKUBWA WATU KUOGOPA KWENDA KUFANYA KAZI KWA KUHOFIA VIFO VYA NAMNA HII, NCHI ITAJENGWAJE SASA?.

Wakenya waishio ughaibuni wanarudisha nchini kwao Billions of Dollars kujenga Nchi yao,, Watanzania waogope kufanya kazi nje Kwa vitu kama hivi na Serikali Ipo???.

Hoja yangu hapo ni kwamba, Kwann suluhusho la vifo vya aina hii kwa Watanzania iwe ni Kuogopa kwenda kufanya kazi ? .

WACHINA wamejazana Dar, mbona hatuwatendi hivo? Na Tena Kuna wakati WACHINA haohao wanawaua watanzania .

Nihitimishe Kwa uchungu sana, Katika Uchungu MTU huandika kupita kiasi, niwaombee sana Serikali ,Embu Kuweni Serious na Nafasi ya Kila Mtanzania , Walindeni watanzania nje ya Nchi , HAIINGII AKILINI WAARABU WAPEWE MAENEO KWA JINA LA WAWEKEZAJI, WAKATI HUOHUO SISI KWAO TUISHI KAMA WATUMWA.
Nani awatetee wakati hao mnaotaka wawatetee ndiyo makuwadi wakubwa na wauaji? Mi naona nasi tulipize kisasi kwa ndugu zao walioko kwetu ili waonje dawa yao wenyewe au vipi?
 
Nchi nyingi za Africa zimeshapiga marufuku mabinti kwenda kufanya kazi Uarabuni, lakini Tanzania ukitaja waarabu umetaja watakatifu, shida ni kubwa
Yaan ni kwann suluhisho liwe ni kutokwenda huko kufanya kazi?.
 
Uzuri wengi wa wanaoenda huko(wafanyakazi) ni wa dini ile ya mnyazi mungu so acha tu wauane watajua wenyewe sisi labda kwa watasha ndio kidogo tutashituka
Si sahihi, kuna mawakala wanarubuni vininti vya vijijini na kuviuza huko, vibinti vinatoka hadi Rukwa, Songwe n.k
 
Mleta mada unaishauri serikali inayoongozwa na nani? Huyu huyu aliyesema kifo ni kifo?
 
Mi wakati Mwingine huwa nawaelewa sana wasouth , fursa za south ni zao tu en not otherwise
 
Poleni Sana wafiwa ila ushauri wangu Msiwege mnaenda huko
 
#tunazaliwa hovyo tunakufa hovyo.inaumiza sana nchi hii ......
 
Back
Top Bottom