Enyi wachambuzi wa mpira, mbona hampazi sauti juu ya uhuni uliofanywa na TFF kuwadhurumu watoto haki yao?

watoto wanapaswa kushukuru kupewa nafasi ya kuonyesha vipaji vyao , lengo la mashindano ya under 18 ni kutoa platform ya watoto kucheza mpira sio kujiingizia kipato , mtoto halipwi ,washukuru kupewa nauli na nafasi ya kuonyesha vipaji kati ya maelfu ya watoto wa umri wao
 
Wanafundishwa uzalendo,
Sio kila kitu kulalamika tu nyie kenge
unamlipa vipi mtoto? watoto wanapaswa kufurahi kupatiwa nafasi kati ya ma Elfu , watoto wanahitaji basic needs wakiwa kambini , kiufupi kambini pawe Bora kuliko nyumbani , kama hawajawarudisha nyumbani kwao (nauli)ni sahihi TFF kuliangalia hili sio mtoto kulilia malipo .
 
Hakuna mtu anaetaka kudeal na kitu asichokuwa na uhakika nacho
 
Hao vima wanapata laana za bure tu ukute wanachukua jezi wakawape watoto wao nyumbani huku waliofanikisha wakiwapokonya yaani Umasikini wa watu huwa hauwatoki hata wakifanikiwa maana upo kwenye damu...
 
Wanalipwa... Sijui kuhusu football lakini watoto wanalipwa. Waigizaji watoto wanalipwa kwa mfano. Yule dogo wa home alone alikuwa akilipwa na alikuwa chini ya umri wa miaka 15. Mtoto wa will smith baada ya kusainiwa na lebo ya jay z alikuwa akilipwa.
Kwa hiyo si kweli kuwa mtoto wa moaka 15 hafai kulipwa, hicho si kigezo.
 
Ni mpira, tena Specific national team.
 
Mkumbuke wanapambana kwa ajili ya familia zao kuku nyie.
 
= kuwadhulumu
= dhuluma / dhulma.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mzazi unapaswa kuona aibu kama unamtegemea dogo wa miaka 15 atunze familia....
Hao watoto wanatakiwa wafunzwe maana ya haki kwa vitendo,na wasifunzwe uhuni kwa vitendo kama baadhi ya viongozi wa TFF wanavyotaka kuwaaminisha hao watoto kwa kutowapa stahki zao.
 
Ni lini Jezi ilikuwa mali ya mchezaji Bongo hii?
Jezi zinafuliwa na kutumika tena.
 
Ni lini Jezi ilikuwa mali ya mchezaji Bongo hii?
Jezi zinafuliwa na kutumika tena.
So, linapokuja suala la jezi tutumie uzoefu wa bongk wa jezi si mali ya mchezaji tofauti na wenzetu tunafua na kutumika tena.
Ila likija suala la kuwapa pesa, japo sasa tutumie uzoefu wa kimataifa watoto hawapewi pesa.
Typical Tanzanian, kuchagua mifano ya kile kinachomnufaisha. Kama hakimnufaishi utasikia kwanimi tuwaige wao. Kama kinamnufaisha utasikia, hata UK wanafanya hivi hivi.
 
Kuwapa motisha ni jambo zuri, zawadi mbali mbali nakubaliana na wewe.
Vifaa vya Shule, vifaa vya michezo etc.
Lakini Hakutakiwi kuwa na mentality ya tukishinda hela tutagawana.
Hichi ndio nachokikataa, Wanacheza kwa ajili ya Taifa sio ili kupata pesa.
Shida inaanza si watoto wa chini ya 15 ni vijeba, ndio maana unaona wanalalamika.
 
Sasa kumbe wanajua kuwa wamepeleka vijeba? Kama wanajua basi wameanza wao kuvunja sheria basi inabidi tu wavilipe.
Maana huwezi kupanda mbaazi mwisho utake kuvuna mahindi. Soka la TZ lina mambo mengi ya ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…