Enyi wachambuzi wa mpira, mbona hampazi sauti juu ya uhuni uliofanywa na TFF kuwadhurumu watoto haki yao?

Nadhani hatujaelewana......
 
Yaan kumbe jezi zinabaki kule na kufuliwa tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
that's a point Kuna wakati madogo wawili under 20 ya kina Job, Israel mwenda , walirudishwa Tanzania na Kim Paulsen kutoka Morocco walipaswa kushiriki michuano hiyo ,kisa ni kuwa walipewa ruhusa ya masaa mawili washangae mji lakini walirudi kambini wamelewa chakari , kiufupi wachezaji wengi ni vijeba ndio maana wanaanza kudai malipo, mtoto Kwa umri wa miaka 15 ni form one or two anapaswa kupewa zawadi ya vitabu, uniforms, counterbooks, calculator na hili TFF wanaweza kufanya sio kuwapa hela
 
Watu wanapiga Kelele tu hapa, Chini ya miaka 15 ( Miaka 14 na siku kadhaa kushuka chini)
Mtoto wa miaka 14 anadai hela? Afu anasema familia Inamtegemea.
Akirudi hana Kitu watamshangaa.....
Huyo ni wa U 15 kweli?

Wabongo ni watu wa malalamiko na Kuendeshwa na Mihemko.
 
halipwi kwa sababu na yeye alitunzwa, we jamaa kiazi eh!?
Umesema Fedha za kuwatunza mpaka wafikishe 15 yrs walitoa TFF?
Na mimi nimekuuliza mzazi anapaswa kulipwa kwa kumtunza mtoto?
Kama hapana kwanini uliuliza kitu kama hicho mwanzo.
 
achana na huyo kiazi, wangewanunulia hata watoto nguo si wangekuwa wamesawasaidia wazazi kwenye gharama za mavazi angalau kwa muda, baadhi ya hao watoto wanatoka familia duni.
KWELI KABISA MKUU [emoji736]
 
sio lazima pesa cash, wangeweza hata kufanyiwa shopping mkuu, wazazi wengine kuwanunulia hata watoto viatu vya kuchezea ni kipengele ujue.
Hapa tunakubaliana ila sio kijana wa miaka 14 kupigia hesabu ya kugawana pesa wakishinda team ya Taifa.
 
POSHO APEWE, USIPENDE KUTETEA UJINGA.
 
Umesema Fedha za kuwatunza mpaka wafikishe 15 yrs walitoa TFF?
Na mimi nimekuuliza mzazi anapaswa kulipwa kwa kumtunza mtoto?
Kama hapana kwanini uliuliza kitu kama hicho mwanzo.
Mtoto sio mali ya nchi we kenge ndo maana mtu ana uhuru wa kubadili uraia, hata mchezaji ana uhuru wa kukataa kuchezea timv ya taifa lake, halazimishwi, halafu tunaongelea maslahi hapa, hao watoto kuna kitu wameingiza, ambacho kimsingia walitakiwa wanufaike nacho,
 
Ww ndo unashida mahala mtoto wa miaka 15 kwa dunia ya sasa anaweza kuwa mjanja wa kutafuta pesa zaidi yako ww mzee
 
HUYO DOGO ANAKUAMBIA WAZAZI TUNAPORUDI NYUMBANI WANAJUA TUNAPESA KUMBE HATUJAPEWA KITU.

KWA MANENO KAMA HAYO HUYO NI KIJEBA WAPEWE HATA POSHO WAKAZIPE FAMILIA ZAO.
 
Haipo hivyo kuhusu team ya Taifa.
Pole mkuu na naomba nikuache maana huelewi mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…