Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Nadhani hatujaelewana......So, linapokuja suala la jezi tutumie uzoefu wa bongk wa jezi si mali ya mchezaji tofauti na wenzetu tunafua na kutumika tena.
Ila likija suala la kuwapa pesa, japo sasa tutumie uzoefu wa kimataifa watoto hawapewi pesa.
Typical Tanzanian, kuchagua mifano ya kile kinachomnufaisha. Kama hakimnufaishi utasikia kwanimi tuwaige wao. Kama kinamnufaisha utasikia, hata UK wanafanya hivi hivi.